Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Hakuna maendeleo kwa sisi kujifungia huku tukiharibu taasisi moja baada ya nyingine. Tujifunze kupokea changamoto maishani.

Taarifa za CAG za kila mwaka zinaonyesha ni kwanini serikali inaona bora kuingia ubia.

Tija yetu ni ndogo, wizi na uharibifu wa kila aina ndio uzoefu tunaouacha kwenye taasisi tunazoziongoza kwa asilimia mia moja.
Shida ya hao watu ni kukariri na kudhani kama nchi wanaulazima ya kuingia kwenye miradi ya renewable energy.

Hakuna mzungu atasifia kwa dhati ‘green energy’ credentials kwa nchi ambayo aina vyanzo vya uhakika kwanza. Watakusifia kinafiki tu kwa sababu hao wanaofanya huo uwekezaji wanatimiza sera zao za ‘carbon trade off’. Ambapo uwekezaji kama huu kwa third world unawapa kibali cha kuendelea kuchafua mazingira huko kwao.

Nyuma ya pazia kwenye aina hii ya uwekezaji ni highly polluting industries huko kwao; wanakulazimishia miradi na bado watapokea dividends za hii miradi uchwara wanayotuletea sisi.

Sasa wewe TANESCO huna faida, uwezi lipa madeni ya ‘cost of sales’, huna capital reserves ya kuboresha miundombinu zako, ulipi kodi, unapokea ruzuku ya hela za walipa kodi tena unataka sijui trillioni tatu.

Halafu unatoka hapo unaenda kuingia mikataba ya kununua umeme kwa lazima at higher unit costs at a time wewe mwenyewe una surplus.

Hakuna tu financiers wa maana huko serikalini, hakuna performance appraisal ya financial statement, hakuna kuangalia value addition, hakuna kuangalia self sufficiency ya biashara na mambo mengine ya msingi; vinginevyo kungekuwa na watu wa maana wanaojali value kwenye biashara wangeshamtimua waziri na huyo mkurugenzi wake.

Hakuna wanachojua kwenye biashara zaidi ya ushamba na kusaka sifa zisizo na kichwa wala miguu waonekane wapo up to date na dunia; wakati wenzao wamewekewa targets za kushusha carbon emissions ambazo sisi hatuna.

Ni Tanzania tu tena serikalini watu kama hao wanaweza pewa sensitive posts.
 
Tukiwaambia nyie wagalatia wa Bongoland ni majuha licha ya vyeti vyenu vya point 7 mnaona tunawaonea. Nilikuwa namsikiliza mwanasheria mmoja akijitapa ni msomi wa Harvard Law School, daaah! Nimechoka kabisa namna msomi wa Harvard alivyo na uwezo mkubwa wa kujenga hoja za kijinga.

Sasa umeme wanawazalishia nyie, ajira kwa watu wenu zitatengenezwa licha. lakini pia, hiyo miradi ya kuzalisha umeme mbona ipo kibao Tanzania. Ila shida yako wewe ni pale mzalishaji anapokuwa mwarabu tu? Seriously pitieni upya mtaala wenu wa Sunday school, mnafundishwa ujinga zaidi kuliko mafundisho ya dini yenu.
Sisi tumejikita sahv kukata mauno na masingeli,uchawa tu hizo kazi zinatutosha
Biashara zingine ni kufungua vipub bar lounge basi

Ova
 
UNASEMA UNAZALISHA UMEME WA GAS...PAAP UNAANZA KUJENGA BWAWA LA NYERERE.. hujakaa sawa unaitaa waarabu wazalishe umeme wauze au wawauzie tanesco alafu watuuzie sisi?? haya ndo yale ya IPTL ya kina rwegemalilaaa. NCHI IMEJAA UHUNIII KILA KONA
Aisee nchi ngumu sana hii
 
Wakati tukijadili kuhusu DP World na TPA, tusisahau kwamba kampuni nyingine ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.

Tusisahau pia kwamba Shirika la Posta limeanzisha ushirikiano na kampuni ya posta ya Falme za Kiarabu.

Sio hilo tu, TPDC imeansisha ushirikiano na kampuni nyingine ya falme za kiarabu.

Waarabu wanauziwa kampuni zetu tu.

=====
View attachment 2662153

Masdar Signs Agreement with Tanzania’s TANESCO to Develop 2 GW Renewable Energy Capacity

Masdar, one of the world’s leading renewable energy companies, announced that it has signed an agreement with Tanzania Electric Supply Company Ltd. (TANESCO) related to the development of renewable energy projects with a total capacity of up to 2 gigawatts (GW).

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar and Maharage Chande, Managing Director of TANESCO, signed the Joint Development Agreement (JDA) on the sidelines of the Tanzania Energy Congress in the presence of Hon. January Makamba, Minister for Energy for Tanzania. The JDA envisages the establishment of a co-owned joint venture (JV) company by the two organizations to progress the project development.

Maharage Chande, The Executive Director of TANESCO, said: “The agreement we are signing today will bring about a big revolution in the development of renewable energy in the country. Through the first phase of the collaboration, we expect to generate approximately 600 megawatts, and we will continue with other projects until we reach 2,000 megawatts.”

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar, said: “Masdar and TANESCO are working together to support Tanzania’s sustainable development and to provide a secure, clean source of energy for the people of Tanzania. The signing of this agreement demonstrates Masdar’s commitment to the Tanzanian market and to the nation’s energy transition, supporting the target to reach 5,000 MW capacity by 2025. We look forward to working with TANESCO to develop this ambitious program and to provide a clean pathway for growth for Tanzania.”

Through the JV, the two companies are initially targeting the development of renewable energy projects with a capacity of about 600 megawatts (MW) starting with solar photovoltaic (PV) and onshore wind. The JV will further explore the development of projects with a total capacity of at least 2,000 megawatts.

TANESCO, the sole provider of electricity in Tanzania, is looking to add more renewable energy sources to the national grid to meet the country’s growing demand for power and increase energy access. The Tanzanian government is targeting an electrification rate for the entire country of 75 percent by 2035.

Masdar News
Yote haya yanatokea watakuja na kusema yametokea kipindi cha awamu ya Tano kila mtu anamtupia mwenzake ,nchi ngumu sana hii

Ova
 
Nyie Wajinga,mna elimu gani ya kuwafundisha Wakristo!
Mna nongwa sana nyie Waswahili!
Sisi tumeshakubali tangu zamani hatuna, ndio maana tunawataka nyie mlio nayo muitumie vema sio kwa misingi ya chuki, upendeleo na kuchukia baadhi ya mataifa. Imagine, hao waarabu mnawataabisha hata kuwapatia passport. Ni nani haoni contribution ya waarabu katika nchi hii? Surely, sisi tumesoma juzuu zetu, zinatutosha and we very happy for it Sasa tungependa nyie vipanga wa 1.7 mtumie huo uvipanga wenu kuleta changes kwa jamii. Unfortunately, mko busy kwenye wizi, ulevi, roho mbaya, ubaguzi na hoja za kitoto kama hizi zinazoendelea.
 
Wakati tukijadili kuhusu DP World na TPA, tusisahau kwamba kampuni nyingine ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.

Tusisahau pia kwamba Shirika la Posta limeanzisha ushirikiano na kampuni ya posta ya Falme za Kiarabu.

Sio hilo tu, TPDC imeansisha ushirikiano na kampuni nyingine ya falme za kiarabu.

Waarabu wanauziwa kampuni zetu tu.

=====
View attachment 2662153

Masdar Signs Agreement with Tanzania’s TANESCO to Develop 2 GW Renewable Energy Capacity

Masdar, one of the world’s leading renewable energy companies, announced that it has signed an agreement with Tanzania Electric Supply Company Ltd. (TANESCO) related to the development of renewable energy projects with a total capacity of up to 2 gigawatts (GW).

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar and Maharage Chande, Managing Director of TANESCO, signed the Joint Development Agreement (JDA) on the sidelines of the Tanzania Energy Congress in the presence of Hon. January Makamba, Minister for Energy for Tanzania. The JDA envisages the establishment of a co-owned joint venture (JV) company by the two organizations to progress the project development.

Maharage Chande, The Executive Director of TANESCO, said: “The agreement we are signing today will bring about a big revolution in the development of renewable energy in the country. Through the first phase of the collaboration, we expect to generate approximately 600 megawatts, and we will continue with other projects until we reach 2,000 megawatts.”

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar, said: “Masdar and TANESCO are working together to support Tanzania’s sustainable development and to provide a secure, clean source of energy for the people of Tanzania. The signing of this agreement demonstrates Masdar’s commitment to the Tanzanian market and to the nation’s energy transition, supporting the target to reach 5,000 MW capacity by 2025. We look forward to working with TANESCO to develop this ambitious program and to provide a clean pathway for growth for Tanzania.”

Through the JV, the two companies are initially targeting the development of renewable energy projects with a capacity of about 600 megawatts (MW) starting with solar photovoltaic (PV) and onshore wind. The JV will further explore the development of projects with a total capacity of at least 2,000 megawatts.

TANESCO, the sole provider of electricity in Tanzania, is looking to add more renewable energy sources to the national grid to meet the country’s growing demand for power and increase energy access. The Tanzanian government is targeting an electrification rate for the entire country of 75 percent by 2035.

Masdar News
Eee bhana eeee !!!
 
Back
Top Bottom