Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Kuwa serious na Mambo yanayohusu Afya mkuu,wangeacha ungashangilia?
Mimi nimeandika chochote. Wewe umechagua kuitafsiri unavotaka🤷♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa serious na Mambo yanayohusu Afya mkuu,wangeacha ungashangilia?
🙂Adui wa kwanza kabisa kwetu sisi waafrika Ni Rushwa.Tuko tayari kuua mamilioni ya watu wetu ili ujengewe kagorofa.adui wa pili Ni ujinga.hata humu ndani utagundua Hilo Kama unachunguza vizuri
Na hiki ndicho kilichofanyika bidhaa imesharudi sokoni kama zamaniHapo Cowbell wamekuwa na mkono wa birika tu au kama sivyo walishatoa chochote kwa TMDA na TBS sasa Bodi ya Maziwa na wenyewe wanataka tena, Cowbell wamekaza!!!