Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
maziwa kqaajiri ya watoto, mipombe michungu kama Double kick kwaajiri Ya watu wazimaWewe ni mtoto?
Africa shithole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maziwa kqaajiri ya watoto, mipombe michungu kama Double kick kwaajiri Ya watu wazimaWewe ni mtoto?
Cowbell si kwa ajili ya watoto tu...maziwa ya unga yanatumiwa na Kila rikaWewe ni mtoto?
maziwa kqaajiri ya watoto, mipombe michungu kama Double kick kwaajiri Ya watu wazima
Africa shithole
Cowbell si kwa ajili ya watoto tu...maziwa ya unga yanatumiwa na Kila rika
kama huna pesaNi kwajili ya watoto na makundi maalumu, ukitaka maziwa mtu mzima ni bora ukamue maziwa halisi.
Yeah waliongeza kemikali hatari inaitwa melamine kufake maziwa yaonekane Yana protini kubwa ilikua bonge la scandal mwaka 2008Nakubaliana na kauli hii: Kazi ya kuongoza watu ni ngumu sana.
Nakumbuka ilishatokea China maziwa ya watoto kuongezwa vitamins fake. Watoto kadhaa walikufa.
Mmiliki wa kiwanda aliuawa kwa kupigwa risasi. Hujuma iligunduliwa kwa wenzetu wa magharibi. Wale wako serious na afya za watu.
kama huna pesa
Duu jibu swali unachouliulizwa na unachojibu tofautiKwahiyo kwako maziwa ya unga ndo bora kuliko 'fuleshi'!!
Hii ni 90% au ulitaka kusema 9.0%??Unaposema ujawai kuyatumia unamaanisha toka umezaliwa au maana naamini 90% yetu tumewai kuyatumia tulivyokuwa watoto.
Wa mjini sio huko kwenu NadosoitoKuna watu wanakunywa maziwa ya unga?
Mimi siyo mkuu. Yupo mkuu mmoja tu, Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. Yeye tu ndiye anastahili kuitwa mkuu.Kama hawanywi yasingekiwepo dukani mkuu.
Kuwa serious na Mambo yanayohusu Afya mkuu,wangeacha ungashangilia?DPP Revenue Authority
Mkuu yaani nchi hii ukiwa sensitive sana utaishi kwa shida sana. Hata huko kwenye depots za makampuni ya vinywaji kama Coca-cola, Pepsi expired products kibao ukiwauliza wanasema eti wanasubiria TFDA/sasa TMDA ndio huwa wanafanya disposal.
Huku mtaani ndio kabisa tunakula ng'ombe, mbuzi na kuku vibudu kila siku.
Kuna siku nilikuwa machinjioni, ng'ombe aliletwa akawa amefia kwenye roli: Wakapewa wagogo wazike, kumbe kule shimoni walikuwa wametega mfuko, wanakatakata vipande wanarusha kwenye mfuko halafu wanauza mitaani.
Hata samaki huko kwenye mabucha zinazoharibika huwa hazitupwi vile vile nyanya magengeni huko ndio bidhaa za mama ntilie hizo.
[/QUOTE
ili ni zaidi ya tatizo na ivi hatufi tutalishwa sana vibudu maana hakuna madhara anayopata mtu akila....
Duu jibu swali unachouliulizwa na unachojibu tofauti
aah hapo ndipo tulipotezana niliuliza pale kam huna pesa?? nikimaanisha wanaonunua sio kwamba wanaonunua Milk powder hawapendi maziwa harisi bali bajeti na uchumi kumbuka Cowbell unapata mpaka kwa 100 Tzs ila pure milk milk mine minimum ni 600-700.Swali gani hapo, nimesema maziwa ya unga ni kwa watoto na makundi maalumu... ukasema kama sina hela!!
Kwahiyo wewe ukiwa na hela ndo unaona ufahari 'kumumunya' maziwa ya kutengenezwa?
Kazi kweli kweli kumfanya Mwafrika ajithaminiDPP Revenue Authority
Adui wa kwanza kabisa kwetu sisi waafrika Ni Rushwa.Tuko tayari kuua mamilioni ya watu wetu ili ujengewe kagorofa.adui wa pili Ni ujinga.hata humu ndani utagundua Hilo Kama unachunguza vizuriYaani sijui tuko hivi by design au by decision!?
Unaweza kuhisi bado tunamalizia kubadilika kutok kwenye unyama... Akili kama za mbuzi