Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

Cowbell si kwa ajili ya watoto tu...maziwa ya unga yanatumiwa na Kila rika

Ni kwajili ya watoto na makundi maalumu, ukitaka maziwa mtu mzima ni bora ukamue maziwa halisi.
 
Nakubaliana na kauli hii: Kazi ya kuongoza watu ni ngumu sana.
Nakumbuka ilishatokea China maziwa ya watoto kuongezwa vitamins fake. Watoto kadhaa walikufa.
Mmiliki wa kiwanda aliuawa kwa kupigwa risasi. Hujuma iligunduliwa kwa wenzetu wa magharibi. Wale wako serious na afya za watu.
Yeah waliongeza kemikali hatari inaitwa melamine kufake maziwa yaonekane Yana protini kubwa ilikua bonge la scandal mwaka 2008
 
Mkuu yaani nchi hii ukiwa sensitive sana utaishi kwa shida sana. Hata huko kwenye depots za makampuni ya vinywaji kama Coca-cola, Pepsi expired products kibao ukiwauliza wanasema eti wanasubiria TFDA/sasa TMDA ndio huwa wanafanya disposal.

Huku mtaani ndio kabisa tunakula ng'ombe, mbuzi na kuku vibudu kila siku.

Kuna siku nilikuwa machinjioni, ng'ombe aliletwa akawa amefia kwenye roli: Wakapewa wagogo wazike, kumbe kule shimoni walikuwa wametega mfuko, wanakatakata vipande wanarusha kwenye mfuko halafu wanauza mitaani.

Hata samaki huko kwenye mabucha zinazoharibika huwa hazitupwi vile vile nyanya magengeni huko ndio bidhaa za mama ntilie hizo.
[/QUOTE
ili ni zaidi ya tatizo na ivi hatufi tutalishwa sana vibudu maana hakuna madhara anayopata mtu akila....
 
Duu jibu swali unachouliulizwa na unachojibu tofauti

Swali gani hapo, nimesema maziwa ya unga ni kwa watoto na makundi maalumu... ukasema kama sina hela!!

Kwahiyo wewe ukiwa na hela ndo unaona ufahari 'kumumunya' maziwa ya kutengenezwa?
 
Swali gani hapo, nimesema maziwa ya unga ni kwa watoto na makundi maalumu... ukasema kama sina hela!!

Kwahiyo wewe ukiwa na hela ndo unaona ufahari 'kumumunya' maziwa ya kutengenezwa?
aah hapo ndipo tulipotezana niliuliza pale kam huna pesa?? nikimaanisha wanaonunua sio kwamba wanaonunua Milk powder hawapendi maziwa harisi bali bajeti na uchumi kumbuka Cowbell unapata mpaka kwa 100 Tzs ila pure milk milk mine minimum ni 600-700.
 
Yaani sijui tuko hivi by design au by decision!?

Unaweza kuhisi bado tunamalizia kubadilika kutok kwenye unyama... Akili kama za mbuzi
Adui wa kwanza kabisa kwetu sisi waafrika Ni Rushwa.Tuko tayari kuua mamilioni ya watu wetu ili ujengewe kagorofa.adui wa pili Ni ujinga.hata humu ndani utagundua Hilo Kama unachunguza vizuri
 
Back
Top Bottom