Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

Mkuu mimi ni Afisa Afya, nazungumzia uhalisia. Kama hao Cowbell wanafanya hivyo ujue ni kawaida yao, siyo mara ya kwanza.

Na hao waliowakamata hawana budget, wanategemea fines na rushwa. Ukiona wanawekana wazi kwenye media na kupelekana polisi ujue hawakuelewana.

Ndio nchi yetu ilivyo. Hata kwenye maduka ya jirani na kwenye depots expired peoducts kibao tu. Supermarkets ndio huwa at least wanajitahidi kufanya ukaguzi.
Wewe sio Afisa Afya ni Mtu mmoja mjinga sana.Maelezo yako hapo juu nikiyafupisha kidogo yakawa mistari michache wewe ungepokea rushwa bila kujali ya baadaye.Ungeenda kuwaambia wanao msitumie maziwa ya Cowbell tumieni Nido.
 
Yaani sijui tuko hivi by design au by decision!?

Unaweza kuhisi bado tunamalizia kubadilika kutok kwenye unyama... Akili kama za mbuzi
Sometimes ni umasikini tu mkuu na uwiano mbovu wa mishahara uliopo.
Asikwambie mtu hayo mashirika watu wanapenda kufanya kazi kwasababu ya Deals kama hizo. Ingekuwa ni mishahara tu, kusingekuwa na tofauti na ualimu.
 
Wewe sio Afisa Afya ni Mtu mmoja mjinga sana.Maelezo yako hapo juu nikiyafupisha kidogo yakawa mistari michache wewe ungepokea rushwa bila kujali ya baadaye.Ungeenda kuwaambia wanao msitumie maziwa ya Cowbell tumieni Nido.
Mkuu wewe hujui chochote au unakwepa kuuona uhalisia. Nambie chanzo cha mapato cha TFDA, NEMC, TBS mpaka wawe na mapato makubwa sana ??
 
Mkuu wewe hujui chochote au unakwepa kuuona uhalisia. Nambie chanzo cha mapato cha TFDA, NEMC, TBS mpaka wawe na mapato makubwa sana ??
Kimefanyika kitu kizuri ila wewe baada ya kuona positive ya kilichofanyika umeamua kuona negative na kuwatuhumu hawa watu kuwa wamefanya hivyo kwasababu wamenyimwa rushwa. Kwamba hawako kwenye bajeti.

Hebu tuambie kuwapa hawa rushwa au kukubali hili kosa kipi kitaigharimu hii kampuni mpaka hao jamaa wagome kutoa rushwa?
Usemayo yapo ila sio mara zote.
 
BODI ya maziwa nchini imekamata tani tatu za maziwa ya unga ya 'Cowbell' yaliyokuwa yanakaribia kuishiwa muda wa matumizi yakiwa yameongezwa muda wa matumizi zaidi...
Kazi nzuri sana Bodi ya Maziwa.

Kuna wapuuzi wataligeuza hili kuwa la kisiasa bila kujali athari za kibinadamu ambazo zingejiri endapo maziwa hayo yataingia mitaani.

Na endapo Bodi ya Maziwa isingechukua hatua, na kungetokea madhara basi wachumia tumbo wangeilaani serikali kama wanavyoilaani sasa kwa kuchukua hatua
 
Mkuu mimi ni Afisa Afya, nazungumzia uhalisia. Kama hao Cowbell wanafanya hivyo ujue ni kawaida yao, siyo mara ya kwanza.

Na hao waliowakamata hawana budget, wanategemea fines na rushwa. Ukiona wanawekana wazi kwenye media na kupelekana polisi ujue hawakuelewana.

Ndio nchi yetu ilivyo. Hata kwenye maduka ya jirani na kwenye depots expired peoducts kibao tu. Supermarkets ndio huwa at least wanajitahidi kufanya ukaguzi.
Ufanyike ukaguzi kwa retailes kujua status ya yaliyopo sokoni....
 
Kwahiyo ndugu yangu wewe hapo ungepokea mlungula, bila kujali maziwa haya yangeumiza watanzania wenzako!?

Naanza kuamini ni sisi kweli, tuliowauza ndg zetu utumwani...

🙂 Huenda hata Yuda alikuwa Mwenye asili yetu.
Labda alimaanisha kupokea mlungula ili taarifa zisiende hewani ila adhabu itoke kimyakimya
 
Huu ni mfano hai kwa wale wavietinamu waliokuja kama Halotel! Baada ya miaka miwili washajifunza kila aina ya utapeli na uhaini. Sababu ndio namna wabongo wanaishi.
Yaani kila anayekuja hapa huja na moyo mweupe wa kibiashara ... Rangi huwa anakutana nayo hapa hapa na washauri ni watanzania hawa hawa ... Ni aibu
 
Kimefanyika kitu kizuri ila wewe baada ya kuona positive ya kilichofanyika umeamua kuona negative na kuwatuhumu hawa watu kuwa wamefanya hivyo kwasababu wamenyimwa rushwa. Kwamba hawako kwenye bajeti..
Mkuu kuwa honest hapa:

Umekamatwa na traffic kwa kosa la barabarani, fine ni Tsh 30,000 ( pesa inayoongezeka kama hukuilipa ndani ya siku 7 ) lakini ukimpa traffic pesa ya kubrush viatu Tsh 10,000 hakuandikii hilo deni.

Nambie wewe hapo utachukua maamuzi yapi ????
 
Hii kitu ni hatar sana na hawa wafanya biashara hii ndio michezo yao, juzi nilienda supermarket moja nikanunua unga wa lishe wa mtoto kuchunguza expired date ni dece 2021 na man date ni DEC 2020 lakini nilipouchunguza kwa makini nikagundua kuna wadudu mle ndani ikabidi nimfuate muuzaji bahat nzur ni kwamba aliniomba radhi ila nilikuwa nataka niwafanye kitu ambacho wasingekuja kukisahau
 
Mkuu kuwa honest hapa:

Umekamatwa na traffic kwa kosa la barabarani, fine ni Tsh 30,000 ( pesa inayoongezeka kama hukuilipa ndani ya siku 7 ) lakini ukimpa traffic pesa ya kubrush viatu Tsh 10,000 hakuandikii hilo deni....
Mkaruka (Kutiki goyu?) Akarushwa nkabhibhi!

Yaani hatupaswi kabisa kuifikiria rushwa hata kwenye backgrounds of our thinking... Ukifanya kila kitu chako kwa kuzingatia taratibu na kuinvest akili when sound them rarely utakutana na majanga...

Kwani kama unaheshimu sheria za barabarani, unabeba nyaraka zako muhimu muda wote na ziko up to date .. kwanini utoe rushwa kwa askari!?
 
Back
Top Bottom