Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Ukweli huwa nalipa serikalini!Nalipa 30,000/-
Askari simpi rushwa! Achukue za kubrashia viatu kwa boss wake, nilishafanya maamuzi, nikiomba msamaha akikataa namwambia andika, hela itaenda serikalini.
Sibembelezi!
Everyday is Saturday............................... 😎