Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio mpanda ndege wa mda mrefu, hiyo bei haidumu, hao jamaa ni expensive sana tu kama wengine.Hawa jamaa kutokea dsm to arusha ni usd 52 tu na hamna mbambamba
Na wanandege kubwa kabisaView attachment 2582143View attachment 2582143View attachment 2582144View attachment 2582145
Tsh 125,000... mlishaambiwa muwe mna-quote kwa TZS; sijui kwanini hili somo linakuwa gumu.
bro kwa hii kampuni mara ya 5 now nakata zamani nlikuwa nakata kwa office yao ama namba yao ya whatsapp ikawa ni 150k ama 170k oneway from dsm ila ukikata online inakuwa cheap zaidiWewe sio mpanda ndege wa mda mrefu, hiyo bei haidumu, hao jamaa ni expensive sana tu kama wengine.
Hakuna airline yeyoye inayobena less than 20 people ikubebe toka Dar to Ars kila wakati kwa bei hiyo?
Watashindwa hata kulipa airport parking leave alone masaa ya pilot, fuel na maintenance.
Ikaue tuu hayo mazezeta ya air Tanzania hakuna kituHawa jamaa kutokea dsm to arusha ni usd 52 tu na hamna mbambamba
Na wanandege kubwa kabisaView attachment 2582143View attachment 2582143View attachment 2582144View attachment 2582145
Chek auricWewe sio mpanda ndege wa mda mrefu, hiyo bei haidumu, hao jamaa ni expensive sana tu kama wengine.
Hakuna airline yeyoye inayobena less than 20 people ikubebe toka Dar to Ars kila wakati kwa bei hiyo?
Watashindwa hata kulipa airport parking leave alone masaa ya pilot, fuel na maintenance.
Chek auric
View attachment 2582183
OK sawa wapanda ndege wale wengine walifukuzwa mbona walikua cheap sana na wengi walipanda ndege kupitia wao wangebaki biashara ingekua sana Tanzania sema ndio hivyo tena...kushuka au kupanda kwa fair inategemeana na season kama season high bei inakua kubwa low inapungua ndio wanavyofanya kipindi hiki karibu mashirika mengi yamepunguza bei hata safari za Nje...Wewe sio mpanda ndege wa mda mrefu, hiyo bei haidumu, hao jamaa ni expensive sana tu kama wengine.
Hakuna airline yeyoye inayobena less than 20 people ikubebe toka Dar to Ars kila wakati kwa bei hiyo?
Watashindwa hata kulipa airport parking leave alone masaa ya pilot, fuel na maintenance.
Jamaa bei zao ni rafiki mudaOK sawa wapanda ndege wale wengine walifukuzwa mbona walikua cheap sana na wengi walipanda ndege kupitia wao wangebaki biashara ingekua sana Tanzania sema ndio hivyo tena...kushuka au kupanda kwa fair inategemeana na season kama season high bei inakua kubwa low inapungua ndio wanavyofanya kipindi hiki karibu mashirika mengi yamepunguza bei hata safari za Nje...
Hiyo ni taarifa ya mwaka 2021. Nipe ya mwaka huu.Jamaa bei zao ni rafiki mudaView attachment 2582269
Hawa jamaa kutokea dsm to arusha ni USD 52 tu na hamna mbambamba na wanandege kubwa kabisa.
View attachment 2582143View attachment 2582143View attachment 2582144View attachment 2582145
Kumbukeni this is low season Kwa hiyo wanashusha bei then high season bei inapanda.Hiyo ni taarifa ya mwaka 2021. Nipe ya mwaka huu.