Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Aachane na Konyagi , hii ndio kila kituMwanaume unakunywaje soda,konyagi zimeisha
Wewe ni kondakta wa daladala ?Aachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
Hapana ila mojawapo ya kinacho niletea kipato ni sekta ya usafirishaji kupitia BodabodaWewe ni kondakta wa daladala ?
Wajiandae tunawaletea smart za kopoAachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
Inapunguza wenge barabaraniBodaboda kitu chao
Ova
Sawa we endelea kuwadunga tuInapunguza wenge barabarani
haki bora gongo kuliko hyo makitu,sahv sigusagi hzoBodaboda kitu chao
Ova
Hata wanawake hatunywi soda ni mwendo wa gongo, wanzuki ulanzi n.k.Mwanaume unakunywaje soda,konyagi zimeisha
Mnaendekeza na kupenda mambo ya anasa anasa tu kama unywaji wa soda. Mna weledi wa kugundua gundua mambo ya ajabu badala mngekuwa na weledi huo kwenye mazao ya kilimo huko shambani.Muda huu nimenunua soda ya take away(PEPSI) ila container lake naona ni laini tofauti na nilivyozoea yaani ni kama rojorojo fulani hivi kiasi kwamba nasita hata kuendelea kunywa hii soda.
Swali ni je, wamebadili container au kuna fake zimeingia sokoni au ni mimi tu ndio nimehisi kitu kama hiki?
Kuna mwingine yoyote ame-note huo utofauti?
Picha wekaMuda huu nimenunua soda ya take away(PEPSI) ila container lake naona ni laini tofauti na nilivyozoea yaani ni kama rojorojo fulani hivi kiasi kwamba nasita hata kuendelea kunywa hii soda.
Swali ni je, wamebadili container au kuna fake zimeingia sokoni au ni mimi tu ndio nimehisi kitu kama hiki?
Kuna mwingine yoyote ame-note huo utofauti?
hata watoto siku hzi hawatak soda,Hata wanawake hatunywi soda ni mwendo wa gongo, wanzuki ulanzi n.k.
Soda tumewaachia watoto
Nkshaonaga hz pombe za take away bs naonea sana wanywaji hurumaAachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
Wanaokunywa konyagi hawana future ya maisha.Mwanaume unakunywaje soda,konyagi zimeisha