Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Maini yako yapo matataniAachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maini yako yapo matataniAachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
Jiandae baada ya miaka isiyozidi kumi Ini litakuwa na mtundu kama chujio la togwa. Mora akupe hitaji la moyo wako.Aachane na Konyagi , hii ndio kila kituView attachment 3136060
peps wamechajachua vinywaji vyao hata baadhi ya soda zao kama mirinda nyeusi ya take away imekuwa adimu sasa ivh kuna mountaind dew na mirinda orange kwa wingi. Kwa iyo kampun yao inatia shaka kwa watumiaji wengi kwa sasa.Muda huu nimenunua soda ya take away(PEPSI) ila container lake naona ni laini tofauti na nilivyozoea yaani ni kama rojorojo fulani hivi kiasi kwamba nasita hata kuendelea kunywa hii soda.
Swali ni je, wamebadili container au kuna fake zimeingia sokoni au ni mimi tu ndio nimehisi kitu kama hiki?
Kuna mwingine yoyote ame-note huo utofauti?
Maisha ni leo, hiyo miaka kumi ijayo inawezekana wote tusifikeJiandae baada ya miaka isiyozidi kumi Ini litakuwa na mtundu kama chujio la togwa. Mora akupe hitaji la moyo wako.
Swali lako elekeza kwa walokole na misikitini, humu itakuchukua mwaka kupata jibu.Muda huu nimenunua soda ya take away(PEPSI) ila container lake naona ni laini tofauti na nilivyozoea yaani ni kama rojorojo fulani hivi kiasi kwamba nasita hata kuendelea kunywa hii soda.
Swali ni je, wamebadili container au kuna fake zimeingia sokoni au ni mimi tu ndio nimehisi kitu kama hiki?
Kuna mwingine yoyote ame-note huo utofauti?
Wamebaki kunywa wagonjwa tu 😂😂😂hata watoto siku hzi hawatak soda,
Mi naona walichofanya ni kuwapa viwanda vidogo kama vya mikoani kutengeneza bidhaa zao. Nimekunywa kama bidhaa zao mbili naona ujinga ujinga tu.peps wamechajachua vinywaji vyao hata baadhi ya soda zao kama mirinda nyeusi ya take away imekuwa adimu sasa ivh kuna mountaind dew na mirinda orange kwa wingi. Kwa iyo kampun yao inatia shaka kwa watumiaji wengi kwa sasa.
ulichosema ni kweliMi naona walichofanya ni kuwapa viwanda vidogo kama vya mikoani kutengeneza bidhaa zao. Nimekunywa kama bidhaa zao mbili naona ujinga ujinga tu.
Pia, nahisi kuna wajanja wapo kati. Siyo pespsi hata sprite kuna ujinga flani hivi mikoani. Pia, kumbuka mikoani vinywaji biki expire hawatupi wanauza hivyo hivyo ni jukumu lako kujua.