Maradhi gani siyo mtaji ??
Hata sangoma hawezi kukutibu bure.
Nyungu pale muhimbili na mlonganzila ilikuwa 5,000/= @.
Hivi nao walilenga mapato kiasi gani 2021?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maradhi gani siyo mtaji ??
Hata sangoma hawezi kukutibu bure.
Ideas gani hizo? Mi si nimeleta habari njema tu, au ulitaka wapate hasara ndio ufurahi?Pale unapokuwa na idea zilizotawaliwa na hisia ni rahisi sana kushindwa kwani unakuwa unaishi kwenye yenye kufikirika kinyume na uhalisia.
WaSumuka gang mna shida. Mzee na ideas/itikadi zake zimeshafeli na zilizomfelisha ni hizo ideas mfu.
hapa ndipo naamini kweli wazungu wameleta CORONAYeah, ni dollar bilioni 26 kwa mwaka huu, hiyo ni kwa mujibu wa BBC news iliyorushwa hivi punde
Siyo CORONA tu wazungu wameleta magonjwa yoteeehapa ndipo naamini kweli wazungu wameleta CORONA
We jamaa umenikumbusha kipindi hicho nilikuwa field Bagamoyo hakika ilikuwa patashika kuna jamaa alirushiwa chungwa akiwa kalala likatua kwenye tako yule ndugu alihisi popobawa aliruka juu kutoka usingizini huku akipiga kelele kuwa kama hiyo ni bichwa je miili yake ipoje?Nakumbuka enzi zile walivyozusha popobawa, walioiga sana mounga kuuza dawa za kuzuia popobawa asikuingilie, watu walikuwa wanalala nje na jinsi 3 , yaani mass hysteria ni kitu kibaya sana 😂😂😂😅
Ni mwendo wa kupanikishana tu 😂We jamaa umenikumbusha kipindi hicho nilikuwa field Bagamoyo hakika ilikuwa patashika kuna jamaa alirushiwa chungwa akiwa kalala likatua kwenye tako yule ndugu alihisi popobawa aliruka juu kutoka usingizini huku akipiga kelele kuwa kama hiyo ni bichwa je miili yake ipoje?
Kwani utafiti hadi wa kuipata na kuitengeneza hizo chanjo hawakutumia pesa ?acheni mawazo hayo,hapa ndipo naamini kweli wazungu wameleta CORONA
Kweli aisee, tena sidhani kama wanaweza wakawa wanashinikiza tununue, tutanunua tu kwa hiari yetuKwani utafiti hadi wa kuipata na kuitengeneza hizo chanjo hawakutumia pesa ?acheni mawazo hayo,
Wanatarajia chanjo yao kuwa ‘income booster’ kwa miaka mingi ijayo; na wanatarajia kuingiza jumla ya mapato ya dollar bilioni 26 kwa mwaka huu peke yake.
Source : BBC news
SijuiPfizer inatengenezwa nchi gani?
Ladies and Gentlemen....now you know why this tiny virus was invented in the first place....Wanatarajia chanjo yao kuwa ‘income booster’ kwa miaka mingi ijayo; na wanatarajia kuingiza jumla ya mapato ya dollar bilioni 26 kwa mwaka huu peke yake.
Source : BBC news
Well, lets wait and see kama na sisi tutachotwa wazima wazimaLadies and Gentlemen....now you know why this tiny virus was invented in the first place....
Yeah, ukizingatia chanjo hazitoshi ila bado wanawanunulia, upendo wa ajabu sana, waendelee na moyo huo huo wa kuwapenda wa Afrika
Ulikuwa unanijibu mimi au umekosea? Sioni connection ya ulichojibu na nilichosema