shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
kuna jamaa yangu alinishauri sana nijiunge na kampuni ya rifaro kipindi inaanza, leo nimemuuliza kafikia wapi ananiambia kampuni imekufa natumia fursa hii kumpa pole yeye na wale wote waliojiunga na hii deci pia kama angalizo ukiona kampuni yoyote ya network marketing ujue ni utapeli tu wanachogeuza ni bidhaa na mbinu ila rengo ni lilelile kuuza watu biashara ikiwa satured vizazi haviongezeki wanaingia mitini.