kampuni ya sports pesa tambueni kuwa mla huliwa....

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
kampuni ya sports pesa kila siku mnakula pesa za vijana wanaoshinda wakibahatisha michezo mbalimbali, ila nyinyi mkiliwa mnaumia sana...jana nimeweka 50000 kwa mechi ya singida united na jku dakika ya arobaini na nane naona pesa yangu inarudishwa kwangu , wananitumia meseji kuwa mechi imefutwa...najua waliona wameliwa na wengi wakaamua kurudisha pesa za watu ili wasipigwe zaidi.
 
Aliyenifundisha kubeti kum*ninaπŸ˜₯popote alipoπŸ˜₯πŸ˜₯
Au me ndo cjui kubetπŸ˜₯
Au tatizo nyotaπŸ˜₯
 

Attachments

  • Screenshot_20220930-151047_1.jpg
    28.1 KB · Views: 7
Hii Mbona Chai maana Siku Moja na mechi ID moja meseji ya kwanza na Ya pili Tofauti ni saa moja na dakika kadhaa ila CURRENCY TOFAUTI YA JUU NI KSH na ya chini ni TSH means Meseji ni fabres na haina uhalisia
 
Hii Mbona Chai maana Siku Moja na mechi ID moja meseji ya kwanza na Ya pili Tofauti ni saa moja na dakika kadhaa ila CURRENCY TOFAUTI YA JUU NI KSH na ya chini ni TSH means Meseji ni fabres na haina uhalisia
nidanganye ili nipate faida gani
 
Hii Mbona Chai maana Siku Moja na mechi ID moja meseji ya kwanza na Ya pili Tofauti ni saa moja na dakika kadhaa ila CURRENCY TOFAUTI YA JUU NI KSH na ya chini ni TSH means Meseji ni fabres na haina uhalisia
akikujibu niambie
 
Nataka mliwe mpaka oblongata ziwakae sawa. Vijana wavivu wavivu tu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Mnategemea kubet kutawatoa kimaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…