Kampuni ya Umbro yaomba tenda ya jezi Simba SC

Simba Sports Clubs
Nguvu Moja
One Team, One Dream



**Umbro
 
Sisi mashabiki tunataka kuendelea kuvaa SANDA! Umbro ya nini tena?
 
Simba hawajali nani ama brand ipi atatengeneza jezi..wao simba wanajali pesa tu imewekwa billioni ngapi mezani..kumbukeni simba hawafanyi biashara ya jezi ila wanauza tenda yaani mkishasaini mkataba simba analipwa billion 2 kwa msimu anachukua chake mapema..kazi inabaki kwa aliyeshinda tenda akatengeneze jezi,asambaze na auze anavyojua yeye ili arudishe hela yake aliyoipa simba na apate faida kama akizubaa simba haina hasara mzabuni apambane na hali yake..hiyo sijui puma,umbro au adidas simba hawajali mambo ya brand wao wanataka mwenye pesa ndefu.
 
Shango wa kinyangiri Singida, hao Simba waache ubabaishaji ni muda wa kuvaa kimataifa na umbro,
 

Huna ujualo mbumbumbu
 
Umbro haitashinda zabuni, na sio kwamba pesa hawana laa bali ni kwamba hawataithaminisha club ya simba kwa pesa itayokuwa demanded.
 
Mchukueni umbro awatengenezee jezi za mpira, muache kuvaa sanda
Kweli wanaacha kuchukua kampuni zinazo tengeneza vifaa vya Michezo Mfano Puma, Kappa, Adidas na Nike wao wanachukua kampuni zinazo tengeneza Madela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…