Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 665
- 1,360
Ulitaka tangazo la tenda ulione kwa Millard Ayo au? Simba ilikuwa bado na mkataba na Uhl Sport kitendo cha kutangaza tenda hadharani unadhani kingekuwa na tija?Kwanza Hii Tenda Ya kutengeneza Jezi Za Simba Ilitangazwa Lini? Na Ni Kampuni Zipi Ziliomba Hiyo Tenda?
Mkataba Wa Simba + Uhl Sports uliisha Lini? Na Makubaiano ya Simba Na VB yalianza Lini? Wamedai Kwamba VB wameshinda Tenda, Ndio Maana Nikauliza Hii Tenda Ilitangazwa Lini? Hata Kama Sijaona Huko MAUlitaka tangazo la tenda ulione kwa Millard Ayo au? Simba ilikuwa bado na mkataba na Uhl Sport kitendo cha kutangaza tenda hadharani unadhani kingekuwa na tija? Unadhani kipi bora kuwatangazia watu wote hata wewe ambaye hata chelehani ya ushonaji huna (achana na kumiliki kambuni) au kuwafuata makampuni husika moja kwa moja?
Achana na Mkinga ww,Hakuna Mtu bahili na Hela Ya Ngama Kama Mkinga, Mobeto kila akiomba m.1 Anapewa 200k Tena kwa Shida [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nilidhani atatangawa Nike. Kuja kushtuka VB huyu hapa.
Faida yake itarudije?!Huyu jamaa wa vunja bei yupo kimkakati Sana. Amefanikiwa kwa kweli.
Lakini kuna aina nyingi za manunuzi kwanini unawazia hiyo iliyo kichwani mwako tu?Mkataba Wa Simba + Uhl Sports uliisha Lini? Na Makubaiano ya Simba Na VB yalianza Lini? Wamedai Kwamba VB wameshinda Tenda, Ndio Maana Nikauliza Hii Tenda Ilitangazwa Lini? Hata Kama Sijaona Huko MA
🤣🤣Kuna wale waliokuwa wanademka na ngoma ya Papaa Zahera[emoji1].
Mo kajipigia pande kiaina, kwenye jicho la upembuz tumeshajua Vunja Bei yupo hapo kama wakala tu.Mtendaji Mkuu (CEO), Barbara Gonzalez ameitangaza kampuni ya Vunja Bei kuwa mshindi wa tenda ya jezi za Simba.
Kwa mujibu wa Barbara mkataba wa tenda hiyo unagharimu shilingi bilioni mbili na ni wa miaka miwili.
Hata hivyo Msanii wa bongo fleva ambaye ni Mbunge wa zamani wa Mikumi Prof.Jay amesema jambo ambalo linafanywa na viongozi wa Simba ni zuri na lenye manufaa kwa wachezaji na wanasimba kwa ujumla.
“Simba imeonyesha mfano wa kuwaamini vijana wa Kitanzania na kuwapa dhamana kubwa kwa sababu wanaamini vijana kwenda kuleta mabadiliko.”- Profesa Jay.
Wivu utakuaaAtapata hasara tu,mijezi yenyewe haitanunuliwa,iko kama mitambaa ya Deki
Eti mtu anakomaa kabisa Adidas au Nike alafu akiambiwa jezi laki tatu atalalama tena.Linakuja Topolo linatapika kua wangewatafuta NIKE au ADIDAS hivi bei ya jezi hizo kuna mtu wa kununua?
Mkuuu umepigia kwa bei ya kuuuza hapa means akiuza jez hzo atakuwa amepata Faida je mchakato mzima upoje mpka jezi kuitwa jez na simba kuvaaaJezi Pcs 100,000x 30,000 = BILIONI 3
Hiyo B3 ni makadirio ya kawaida, maana Pcs. 100000 unauza kwa mikoa mi 4 tu. Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma. Ongeza Pcs 15000 za mikoa mingineMkuuu umepigia kwa bei ya kuuuza hapa means akiuza jez hzo atakuwa amepata Faida je mchakato mzima upoje mpka jezi kuitwa jez na simba kuvaaa