Kampuni ya Vunja Bei yashinda tenda ya jezi za Simba Sc

Kweli. .mkuuu
 
Sasa si ndio maana ya kuwekeza mkuu, ukiwekeza hela haswa kubwa kama hiyo lazima utegemee faida kubwa kubwa pia chini ya hapo hakuna mtu angekubali kuwekeza 2bn halafu aambulie hasara au faida ya maandazi
 
Faida yake itarudije?!
Hesabu ndogo tu

Simba ina fans wangap duniani?

Bei ya jezi moja inaanzia ngap?

Majibu ya hapo juu yazidishe.

Utakachopata ni makadirio ya mapato kwa

Muuzo mmoja kwa mtu mmoja.

Haya anza miuzo kama mia hivi.

Maana mtu hawezi nunua jezi mara moja tu.
 
hongera Fred, enzi za Mwendazake ingekuwa vigumu kujitokeza maana kesho tu TRA wangefika kukagua income, expenditure, balance sheet, owners equity, cashflow na notes to financial statements
Duuuh ni noma sana
 
hongera Fred, enzi za Mwendazake ingekuwa vigumu kujitokeza maana kesho tu TRA wangefika kukagua income, expenditure, balance sheet, owners equity, cashflow na notes to financial statements
Yaani mafanikio yanakuwa kosa la jinai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…