Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Kweli. .mkuuuHiyo B3 ni makadirio ya kawaida, maana Pcs. 100000 unauza kwa mikoa mi 4 tu. Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma. Ongeza Pcs 15000 za mikoa mingine
Ukitoa gharama za uzalishaji hakosi B1 au B1.5 kama faida kumbuka yeye analipa B1 kwa msimu.
Hapo bado kava za simu, kofia, skafu, miwani na makorokoro kama hayo.
Cha mwisho jamaa ana maduka mikoa mingi kwa hiyo ni rahisi kuuz Jezi nyingi zaidi