Kampuni za betting zinapataje faida?

Kampuni za betting zinapataje faida?

Jane Lowassa

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,955
Reaction score
9,041
Mimi sijawahi kubet, sasa juzi nikaona nijaribu. Nikawapa Yanga ushindi, Man City na timu za ligi mbalimbali duniani. Nikaweka sh 2000 ndiyo wakazidisha sijui Mara 50 odds. Utaniutani nikapata meseji nimeshinda elfu 90 wasafibet. Wenyewe sasa wanapataje faida kama.siyo hasara. Yaani elfu 2 hadi 90 elfu?
 
Mimi sijawahi kubet, sasa juzi nikaona nijaribu. Nikawapa Yanga ushindi, Man City na timu za ligi mbalimbali duniani. Nikaweka sh 2000 ndiyo wakazidisha sijui Mara 50 odds. Utaniutani nikapata meseji nimeshinda elfu 90 wasafibet. Wenyewe sasa wanapataje faida kama.siyo hasara. Yaani elfu 2 hadi 90 elfu?

Ngoja waje
 
Mimi sijawahi kubet, sasa juzi nikaona nijaribu. Nikawapa Yanga ushindi, Man City na timu za ligi mbalimbali duniani. Nikaweka sh 2000 ndiyo wakazidisha sijui Mara 50 odds. Utaniutani nikapata meseji nimeshinda elfu 90 wasafibet. Wenyewe sasa wanapataje faida kama.siyo hasara. Yaani elfu 2 hadi 90 elfu?
Soon utaelewa....

Hizo elfu Tisini umezipata kwa wengi waliopoteza..... in short kupata sawa matokeo yote mathematically probability ni ndogo sana..., Huenda hapo ukapoteza kwa miezi kadhaa mingine hence kujikuta umewapa laki tatu....

Pia hawa watu wanaitwa Bookmakers sababu historically ilikuwa wana-balance vitabu odds zinaendana na watu wangapi wanaobet katika kila chaguo... Yaani wanaobet Draw; Win au Loose inabalance mwisho wa siku walioshindwa wanalipa walioshinda na wao bado wanabaki na asilimia (sababu hata ukibet Draw/ Win na Loose) bado kuna pesa inabakia....

Na Accumulators kushinda ni ngumu sana kuliko singles......(Probability ya Kushinda ni ndogo Sana)
 
Leo nimecheza viligi vya Kuwait huko na.Austria hukoo. Nikishinda nakula laki 4. Nimeweka 2550 tu odds 200 total.
Umeanza addiction mbaya sana, mimi mwenyewe kwanza sio mpenzi wa mpira nilikuwa naona watu wanabet na siko na idea yhe first time ninabet nakumbuka betpawa nliweka nadhani 8000 hivi nikala 214000 na nilibet blindly tu ni tena nani atafunga.
Nikaona eh kumbe rahisi hivi nikaingia kazini nikawa nakula lakini wananipata sana nikahamia basket nikawa nawala sana nikaona stake ndogo hazifai nikawa naweka stake za kuanzia 30000 mpaka 200000 happ ndipo nlianza kuliwa.
Kuna siku walipiga over 800000 ndo nliacha rasmi kubet.
 
Mimi sijawahi kubet, sasa juzi nikaona nijaribu. Nikawapa Yanga ushindi, Man City na timu za ligi mbalimbali duniani. Nikaweka sh 2000 ndiyo wakazidisha sijui Mara 50 odds. Utaniutani nikapata meseji nimeshinda elfu 90 wasafibet. Wenyewe sasa wanapataje faida kama.siyo hasara. Yaani elfu 2 hadi 90 elfu?
Jamani msaidieni huyu mama.
Anatia huruma.
 
Leo nimecheza viligi vya Kuwait huko na.Austria hukoo. Nikishinda nakula laki 4. Nimeweka 2550 tu odds 200 total.
Kidogo kidogo unaanza kua addicted.
Utakuja kuuza kila kilicho chako.
Utaanza na gari mwisho utauza nyumba ukapange Buza.
 
Hio ni addiction mbaya sana dadaangu, naomba uache haraka kabla haijakukolea. Nawasilisha
 
Me mtu anayepinga betting namshangaa sana. Coz Katika maisha tuliyokuwa nayo sasa kila kitu ni kamali. Kuthibitisha hili kaombe ajira kuanzia unatuma maombi hadi usaili tayari utakuta laki imeshakata na Ajira hupati.

Kwetu sisi mafundi tunafanya estimation ya ujenzi mara ghafla boss anakula chocho yaani shaghala baghqla .

Ila mleta uzi fafanua ilikuwaje direct win ya Timu mbili ambazo zote ni favourate zimeweza kukupa odds 50. Labda kama ulicheza ngumu kumeza
 
Ukiona mwanamke anajua hadi kubeti hiyoo kwakwel n balaa sanaaa..
 
Back
Top Bottom