Ni ngumu kwa nchi kuchukua hatua directly sababu wana-assume kwamba kila mtu anafanya kwa wito wake na anaupeo kwa kutosha (ni mtu mzima)..., Ila nchi inashangilia kwa kodi wanazopata bila kujali long term effects...
Bali inachobidi kufanyika ni kupunguza matangazo directly ambayo yanafanya recruitment hata kwa watoto..., Betting Firms / Outlets zote ziwe na kibali na wahakikishe under 18 hawaingii wala kufanya betting...
Pili mchezo huu uende na ushauri sio tu kuwaambia watu watusue mapeme bila kuwahabarisha hatari ya kutusuliwa wao......, Yaani kila tukioneshwa Mtu aliyepata trillioni kadhaa kule Nigeria pia tuone aliyeuza nyumba na kufukuzwa na mke wake kule Naivasha....
Addiction yoyote ni mbaya, kwahio hizo pesa Serikali inazopata through gambling / addiction zitumike pia kutoa elimu ya madhara ya gambling as well as watengeneze sera za kuwapatia watu ajira zenye ujira ili watu wapate kipato na sio hizi illusion za one day Yes....