M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Ni miaka mitatu sasa tangu kuwepo kwa vuguvugu la Makampuni ya kutoa huduma za Urasimishaji Viwanja na mashamba kwa gharama ya 250,000 (baadaye gharama ikashuka kuwa 150,000). Lengo likiwa mwenye shamba /viwanja kupewa hati ya umiliki.
Kwa maeneo ya Tegeta Madale, Mivumoni, Goba, Msigani jijini Dar es Salaam, kuna kampuni zilipewa kandarasi kufanya kazi hii.Kwa sasa naona kimya hakuna kinacho endelea, Simu zao hazipatikani, ofisi zao zipo na mara nyingi hazifunguliwi.
Je huko kwenu zoezi hili limefanikiwa? Kuna walio pata hati? Tupeane taarifa wadau
NB: HII NI TAARIFA TANGU APRIL 2021.
https://habarileo.co.tz/habari/2021-04-166079e4141ca55.aspx#
SOMA HII PIA
Lukuvi ashusha gharama za urasimishaji, wanaoishi mijini sasa hati ni lazima
https://www.lands.go.tz/publications/12
Kwa maeneo ya Tegeta Madale, Mivumoni, Goba, Msigani jijini Dar es Salaam, kuna kampuni zilipewa kandarasi kufanya kazi hii.Kwa sasa naona kimya hakuna kinacho endelea, Simu zao hazipatikani, ofisi zao zipo na mara nyingi hazifunguliwi.
Je huko kwenu zoezi hili limefanikiwa? Kuna walio pata hati? Tupeane taarifa wadau
NB: HII NI TAARIFA TANGU APRIL 2021.
https://habarileo.co.tz/habari/2021-04-166079e4141ca55.aspx#
SOMA HII PIA
Lukuvi ashusha gharama za urasimishaji, wanaoishi mijini sasa hati ni lazima
https://www.lands.go.tz/publications/12