A
Anonymous
Guest
Makampuni ya Simu kwa kipindi kirefu sasa zaidi ya Miaka 10 tangu 2010 yameshindwa kuhakikisha Huduma Bora ya Internet katika tarafa ya Mashati, Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro.
Si network ya kupiga simu au ya kutuma ujumbe mfupi (SMS) wala internet, zote ni mbovumbovu na karaha kwa watumiaji wa kuperuzi Mtandaoni.
Kwa nini sisi tu? Kwani kuna nini huku kwetu? Na sisi ni Wananchi pia tupate huduma nzuri ndugu zenu huku.
Si network ya kupiga simu au ya kutuma ujumbe mfupi (SMS) wala internet, zote ni mbovumbovu na karaha kwa watumiaji wa kuperuzi Mtandaoni.
Kwa nini sisi tu? Kwani kuna nini huku kwetu? Na sisi ni Wananchi pia tupate huduma nzuri ndugu zenu huku.