Kampuni za simu zimepunguza vifurushi vya internet tena

Kampuni za simu zimepunguza vifurushi vya internet tena

Bora tu ujiunge ile voda kasi 30 days uchuuzi wa vijibandle ni hasara tu kwanza unaweza tumia zaidi ya elfu 50 and usumbufu wa kujiunga unga and mb zinakata hovyo... jiunge kasi utakuja elewa
 
Kuna watumiaji wa aina mbali mbali na wengi ni watumiaji ni wale wa starehe,leisure
Bora tu ujiunge ile voda kasi 30 days uchuuzi wa vijibandle ni hasara tu kwanza unaweza tumia zaidi ya elfu 50 and usumbufu wa kujiunga unga and mb zinakata hovyo... jiunge kasi utakuja elewa
 
Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.

View attachment 1958946

View attachment 1958947
Kiswahili changu cha kijaluo. Wamepunguza au wamepunguza [emoji102]
 
Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.

View attachment 1958946

View attachment 1958947
Kwa Airtel hata wauze shilingi mia (sh.100/=) kwa 100gb; siwezi kununua bando lao kwa sababu ni mtandao unaiba pesa, kwa kununua bando lisilo fanya kazi mpaka muda wake unaisha, na hata kupiga simu ni majanga !
 
Hivi kazi ya TCRA ni kufnya nini, wana cheza na akilin za wananchi. Leo wansema wana wasimamia kwa masilai ya wananchi lakini baadae wanarudi pale pale.
Kila siku haya matukio ya Mihemko tumechoika , au na wao TCRA wanaenda kwa kiki kwani hizi ni kiki mpaka Raisi aingiliie kati ndo waanza kufnya kazi.
Hawa watu hawapo serious na kazi zao,
kampuni za simu nao hawana huweledi katika kazi zao , wa set price kwa specific time, sio wanakurupuka tuu, wakiona wanaanza kuiingi hasara wanakuja na haya makato au vifurushi ambavyo ni kuumiza wananchi.
kama wana shindwa kufnya kazi kwa kutoa huduma ya kueleweka wapewe wa hisani wengine wa invest katika teknolojia ya simu/ mitandao
 
Binafsi huwa ninacheza na voda na tigo, voda walinikazia nikapiga chini nikaishi na tigo Kwa kifurushi cha 5000 GB 2,dkk 200 Kwa wiki ,wakaniona kiazi wakafika level ya GB 1.2 dkk 150 Kwa 5000,nikapiga chini kurudi voda nikakuta washanilegezea
Kumbeee, ngoja nipige chini Tigo maana wameleta tamaa kwangu
 
Hivi kazi ya TCRA ni kufnya nini, wana cheza na akilin za wananchi. Leo wansema wana wasimamia kwa masilai ya wananchi lakini baadae wanarudi pale pale.
Kila siku haya matukio ya Mihemko tumechoika , au na wao TCRA wanaenda kwa kiki kwani hizi ni kiki mpaka Raisi aingiliie kati ndo waanza kufnya kazi.
Hawa watu hawapo serious na kazi zao,
kampuni za simu nao hawana huweledi katika kazi zao , wa set price kwa specific time, sio wanakurupuka tuu, wakiona wanaanza kuiingi hasara wanakuja na haya makato au vifurushi ambavyo ni kuumiza wananchi.
kama wana shindwa kufnya kazi kwa kutoa huduma ya kueleweka wapewe wa hisani wengine wa invest katika teknolojia ya simu/ mitandao
TCRA hawana mamlaka ya kupanga bei ya VIFURUSHI vya mawasiliano!!!..Bei zinapangwa na watoa huduma!!
 
Kwa Airtel hata wauze shilingi mia (sh.100/=) kwa 100gb; siwezi kununua bando lao kwa sababu ni mtandao unaiba pesa, kwa kununua bando lisilo fanya kazi mpaka muda wake unaisha, na hata kupiga simu ni majanga !
Wewe Acha uongo badilisha hiyo simu yako mbovu!!..Natumia Airtel sijawahi kukutana na hii unayosema
 
Back
Top Bottom