Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
-
- #21
Serikali ya mama inatuchezea akili sanaaaaaa,si vyakula wala gharama za vitu vingine vyote vinapandishwa.
Bora tu ujiunge ile voda kasi 30 days uchuuzi wa vijibandle ni hasara tu kwanza unaweza tumia zaidi ya elfu 50 and usumbufu wa kujiunga unga and mb zinakata hovyo... jiunge kasi utakuja elewa
Kiswahili changu cha kijaluo. Wamepunguza au wamepunguza [emoji102]Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.
View attachment 1958946
View attachment 1958947
Huyu mama tumepigwa peupe hawezi kuongoza nchi, raisi mwanamke tuwaachie nchi za ulaya uko.
Kwa Airtel hata wauze shilingi mia (sh.100/=) kwa 100gb; siwezi kununua bando lao kwa sababu ni mtandao unaiba pesa, kwa kununua bando lisilo fanya kazi mpaka muda wake unaisha, na hata kupiga simu ni majanga !Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.
View attachment 1958946
View attachment 1958947
Hakuna kitu kama hicho (Tigo na Zantel ni mtu na mdogo wake) Airtel na TTCL ni partners!!..Voda na CCM ni Marafiki wa kudumu!!..Wanauhasama kwa ndani ndani, Voda na tigo ni marafiki, Tigo na Zantel marafiki na Airtel na Ttcl ni marafiki
Nb, marafiki maana yake ni good terms
Wewe umeweza kujiongoza hata mwenyewe?Huyu mama tumepigwa peupe hawezi kuongoza nchi, raisi mwanamke tuwaachie nchi za ulaya uko.
Kumbeee, ngoja nipige chini Tigo maana wameleta tamaa kwanguBinafsi huwa ninacheza na voda na tigo, voda walinikazia nikapiga chini nikaishi na tigo Kwa kifurushi cha 5000 GB 2,dkk 200 Kwa wiki ,wakaniona kiazi wakafika level ya GB 1.2 dkk 150 Kwa 5000,nikapiga chini kurudi voda nikakuta washanilegezea
TCRA hawana mamlaka ya kupanga bei ya VIFURUSHI vya mawasiliano!!!..Bei zinapangwa na watoa huduma!!Hivi kazi ya TCRA ni kufnya nini, wana cheza na akilin za wananchi. Leo wansema wana wasimamia kwa masilai ya wananchi lakini baadae wanarudi pale pale.
Kila siku haya matukio ya Mihemko tumechoika , au na wao TCRA wanaenda kwa kiki kwani hizi ni kiki mpaka Raisi aingiliie kati ndo waanza kufnya kazi.
Hawa watu hawapo serious na kazi zao,
kampuni za simu nao hawana huweledi katika kazi zao , wa set price kwa specific time, sio wanakurupuka tuu, wakiona wanaanza kuiingi hasara wanakuja na haya makato au vifurushi ambavyo ni kuumiza wananchi.
kama wana shindwa kufnya kazi kwa kutoa huduma ya kueleweka wapewe wa hisani wengine wa invest katika teknolojia ya simu/ mitandao
Nyie si mlitaka wawekezaji ndio walipe Kodi zaidi!!!..Kodi bro,wamepandishiwa.
Kwahiyo na sisi ndio wanatunyonga zaidi.
Kuna mtu alituambia tuvumilianee kwanza tujenge 'nchi',naona ndio tupo kwenye foundation.
Wewe Acha uongo badilisha hiyo simu yako mbovu!!..Natumia Airtel sijawahi kukutana na hii unayosemaKwa Airtel hata wauze shilingi mia (sh.100/=) kwa 100gb; siwezi kununua bando lao kwa sababu ni mtandao unaiba pesa, kwa kununua bando lisilo fanya kazi mpaka muda wake unaisha, na hata kupiga simu ni majanga !
Mkuu sorry una umri gani?Wewe umeweza kujiongoza hata mwenyewe?
Lazima gharama za maisha zibadilike (Kupanda,Kushuka) huyu alijua tutajua uchafu wake ndio maana alitaka kungangania....Tutamkumbuka Kwa kuwapa Marafiki zake Ubunge!!!"Mtanikumbuka" alisikika jamaa fulani watu wakamdharau
Umri sio shida unajielewa?!!...Wewe unataka kuongozwa na Mtu!!..Una shindwa kujiongoza Mwenyewe?..Mkuu sorry una umri gani?
Ningependa kujua umri wako kwanza?Umri sio shida unajielewa?!!...Wewe unataka kuongozwa na Mtu!!..Una shindwa kujiongoza Mwenyewe?..