Kampuni za Wachina hebu kuweni serious

Kampuni za Wachina hebu kuweni serious

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Kwema job seekers wenzangu?

Kuna mchina kani-check somewhere, kaniambia nimtumie CV yangu kuna kazi za sales zinahitaji watu, nimemtumia cv yangu fresh,In return akanitumia job description ya kazi husika ndio nikaona huo mshahara anaotaka kunilipa.

Ofcoz nina uhitaji wa kazi ila nimemjibu thank you endelea na zoezi la kutafuta mtu mwingine, me siko tayari kwa huo mshahara.
Kuna maswali nimejiuliza, haya makampuni ya wachina huwa hayana HR department wakawashauri vizuri namna ya kurecruit watu na issue nzima ya compensation mpaka General Manager mwenyewe anaingia front kuokoteza wafanyakazi, na hiyo mishahara yao wanayotoa kama sio kutafuta kuibiwa ni nini?

Eti mshahara laki 2, serious?

Screenshot_20211123-120635_LinkedIn.jpg
 
Allowance iyo jumlisha na asilimia moja ya mauzo yote sasa kadiria may be kuna mshahara mwingine iyo ni job description tu as announced ila mshahara upo kwenye mkataba maalum ungemuuliza na pia ujue jumla ya mauzo ni ngapi kwa stani uliyokuta upate asalimia moja ya mauzo ujue sh ngapi kwa kukadiria
 
allowance iyo jumlisha na asilimia moja ya mauzo yote sasa kadiria may be kuna mshahara mwingine iyo ni job description tu as announced ila mshahara upo kweny mkataba maalum ungemuuliza na pia ujue jumla ya mauzo ni ngapi kwa stani uliyokuta upate asalimia moja ya mauzo ujue sh ngapi kwa kukadiria
Hakuna malipo mengine mkuu. Target kwa mwezi ni kuanzia 10m.
 
jumlisha asilimia moja ya mauzo yote ebu soma hapo
Kazi za sales ili upate commission ni lazima ufikishe asilimia flani ya target uliyowekewa so what if biashara ikawa mbaya mwezi husika ukamiss target,means utaishi kwa laki 2 mkuu?
 
Mambo vp kiongozi, Mimi ni procurement officer wa kampuni moja hapa mjini, huwa tunanunua vitu vya aina hyo in bulk, mfano tunaweza mumua mzigo mpaka wa milioni 100 kwa wakti mmoja kwa maana huwa tunachukua tenda ya kazi mbalimbali.

Ninachoomba toka kwako nisaidie hiko kiwanda kinaitwaje, na kipo wapi na ikiwezekana mawasiliano yao, nianze kufanya nao kazi kama bei zao zitakwa vizuri

Ahsante
 
Mambo vp kiongozi, Mimi ni procurement officer wa kampuni moja hapa mjini, huwa tunanunua vitu vya aina hyo in bulk, mfano tunaweza mumua mzigo mpaka wa milioni 100 kwa wakti mmoja. kwa maana huwa tunachukua tenda ya kazi mbalimbali

Ninachoomba toka kwako nisaidie hiko kiwanda kinaitwaje, na kipo wapi na ikiwezekana mawasiliano yao, nianze kufanya nao kazi kama bei zao zitakwa vzr
ahsante
Poa, ntakuinbox mkuu
 
Laki 3,vipi makato?
Umefikiria hilo?
Dadeq utaenda home na 50k ya karanga hao mbegu fupi na wahindi washenzi sana nimekumbuka movie ya juzi inaitwa 7 prisoners ni ya mwaka 2021 mpya watu wanapigishwa kazi hmna malipo wala nn ni kula na kulala
 
Nawahurumiaga sana watu wanaofanya kazi kwenye kampuni za wachina au wahindi.

Ila ndio hivyo, kibongo bongo unakua huna namna.
 
Back
Top Bottom