Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Labda kapigwa
GENTAMYCINE nipigwe...!! Unaota kweli na huenda nyie mnaobishia hili ndiyo Wamiliki wa hizo Stationeries ninazozipigia Kelele hapo Nje UHAMIAJI Kurasini.

Hivi kama Bei ya Copy hiyo ya Tsh 500 kwa Kurasa ( Page ) imeandikwa na Kubandikwa ili Mteja aione huko 'Kupigwa' hapa kunaingiaje labda?

Nikiwaiteni damn Fools mnakasirika.

Cc: bongo dili
 
Tz siku hizi kila mwenye kitengo anajifanyia anavyotaka yeye,akikupenda utapata huduma faster bila kuchelewa,na akikuchukia utapigwa danadana hadi ukate tamaa na issue yako!!
 
Usichanganye kopy na ku print

Copy kawaida ni 100
Copy colour ni 200 had 500
Acheni kunibishia na Kunilazimisha Niwadharau na niwaone Majuha ( Fools ) sawa?

Sifa kubwa ya GENTAMYCINE ni Kujiamini 100% kwa Taarifa zangu niziletazo hapa JamiiForums sawa?

Narudia kusema tena kuwa Copy ya Kawaida hapo ni Tsh 500/= na siyo Tsh 100/= au Tsh 200/= kama mnavyosema sawa?

Na ningewaona mna Akili kama baada ya kuja na hii Taarifa yangu mngeenda Kupeleoeza katika hizo Stationeries ili mjirishe Matokeo yake mnabisha na kunibishia Mtu ambaye nimeshuhudia Mwenyewe.

Na hata hiyo Bei ya Tsh 500/= ya Kurasa ( Page ) Moja tu kwa Copy ya Kawaida hapo katika hiyo Stationery imeandikwa na Kubandikwa Ukutani.
 
Acheni kunilazimisha Niwadharau na Niwaite Wapumbavu halafu mkasirike sawa?

Hiyo Bei ya Copy ya Kawaida ya Tsh 500/= kwa Kurasa Moja imeandikwa na ipo Ukutani.

Kama una muda nenda Ukajiridhishe na nikisemacho na huwa sitoi Taarifa ya Uwongo.
Weka picha
 
MIMI CJAKUELEW KBSA , NIMETOA BEI ZA HUDUM YA COPY HAPO JUU AMBAYO TZ MZIMA VIJJN NA MIJIN NDIO BEI

BEI HYO ATAKIW 1000 SAW ILA HAYO MAZINGRA YASIWE NA UHUSIANO WA 10% ZA ASKR YA MIGRATION
 
Siku zote uongozi wa nchi ukiwa mbovu gharama hulipwa na kila mtu. Mwanzisha thread anataka waliolianzisha tatizo walitatue! Haya ni maajabu. Raia wa Tanzania ni kama wanatumia robo ya bongo zao kutafakari mambo. Hivi hamni kuwa haya yote ni matokeo ya uongozi mbovu na njia pekee ya kuyaondoa ni kubadilisha uongozi?
 
Samaki huoza kuanzia kichwani
 
Sasa unashindwa kupata passport kwa sababu ya barua ya mwaliko?

Wewe hustahili kumiliki passport bado akili yako ni goigoi.
 
Hapo getini wana scanner mashine au hawana?
Wanazo tena Mbili ila sijui kwanini wanakuwa Wapuuzi na Majuha hivi au Wakubwa zao hawalifanyii Kazi.

Na Wiki ijayo kati ya Jumatano au Ijumaa naenda hapo tena na kuna Taarifa nyingine nitatoka nayo.
 
MIMI CJAKUELEW KBSA , NIMETOA BEI ZA HUDUM YA COPY HAPO JUU AMBAYO TZ MZIMA VIJJN NA MIJIN NDIO BEI

BEI HYO ATAKIW 1000 SAW ILA HAYO MAZINGRA YASIWE NA UHUSIANO WA 10% ZA ASKR YA MIGRATION
Nonsensical.
 
Nchi ina kundi kubwa la watu waliosoma lakini ni wajinga kupita maelezo na ndio maana nchi inaenda kwa mwendo wa kobe. Hongera Sana mtoa mada.
 
Unaingia na mizigo kwani umesikia ni stendi pale?
Kwani akiingia na mizigo amevunja sheria gani ya nchi? Hiyo mizigo akiibeba mgongoni kwake inaathiri vipi utoaji wa huduma? Bila shaka wewe ni miongoni mwa wanaotaka barua ya kualikwa kutoka nje ya nchi ili kumpatia passport. Hoja za mtoa mada ziko nyeupe kabisa, fanyieni kazi.
 
Nchi ina kundi kubwa la watu waliosoma lakini ni wajinga kupita maelezo na ndio maana nchi inaenda kwa mwendo wa kobe. Hongera Sana mtoa mada.
Asante kwa Kongole Mkuu kwa kuanzisha hii Mada. GENTAMYCINE popote nikienda au nikitembelea huwa sikubali nitoke bila kujua Changamoto ya hapo na kinachonisaidia hakuna anayejua kuwa huyu aliyeko humu ndani Ofisini au mbele yangu ndiyo GENTAMYCINE Mwenyewe.
 
Mkuu kwa Akili Kubwa ulizonazo Kujibizana / Kumjibu huyo Juha IFAC ni matumizi mabaya ya Utajiri wako mkubwa wa Maarifa na Fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…