CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Niliwah kwenda kupiga picha, then kijana mmoja akafaint pale nje ya geti, wanamuangalia tu[emoji35]
Nikawafata pale getini nikawaambia wamuite nurse au doctor wa kituo tusaidiane dogo aliye faint aende hospitali,, kmmk mbwa wale wakajibu hayawahusu. Nikafanya first aid nikaita bajaji tukampeleka barracks hospital.
Kesho yake narudi boya mmoja aliyekuwa pale getini ananiuliza iliendeleaje,, nilimkata jicho nikaingia, ndani,, ni wapuuzi mno
Nikawafata pale getini nikawaambia wamuite nurse au doctor wa kituo tusaidiane dogo aliye faint aende hospitali,, kmmk mbwa wale wakajibu hayawahusu. Nikafanya first aid nikaita bajaji tukampeleka barracks hospital.
Kesho yake narudi boya mmoja aliyekuwa pale getini ananiuliza iliendeleaje,, nilimkata jicho nikaingia, ndani,, ni wapuuzi mno