Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Niliwah kwenda kupiga picha, then kijana mmoja akafaint pale nje ya geti, wanamuangalia tu[emoji35]

Nikawafata pale getini nikawaambia wamuite nurse au doctor wa kituo tusaidiane dogo aliye faint aende hospitali,, kmmk mbwa wale wakajibu hayawahusu. Nikafanya first aid nikaita bajaji tukampeleka barracks hospital.

Kesho yake narudi boya mmoja aliyekuwa pale getini ananiuliza iliendeleaje,, nilimkata jicho nikaingia, ndani,, ni wapuuzi mno
 
Huyo Boya aliyekuuliza Mgonjwa ambaye hawakumjali anaendeleaje angeniuliza hivyo Mimi kwa ninavyojijua na Majibu yangu muda huu ningekuwa napangiwa Zamu ya Kulima na Kukata Magogo Maporini nikiwa Gerezani Segerea au Ukonga kama si Keko.
 
Huyo Boya aliyekuuliza Mgonjwa ambaye hawakumjali anaendeleaje angeniuliza hivyo Mimi kwa ninavyojijua na Majibu yangu muda huu ningekuwa napangiwa Zamu ya Kulima na Kukata Magogo Maporini nikiwa Gerezani Segerea au Ukonga kama si Keko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah yani nisawa uende hospital y mwimbili kisha ukalalamikie yale maduka y DAWA kule nje mbona dawa bei kubwa.ss hao muhimbili wafanyeje?.Pia kwani lazima utolee pale copy?
Kamishina fanya kazi zako kwa umakini nakukubali mnooo.
 
Hii ni personal attack mkuu 😊 jibu hoja mkuu....

Tujikite kwenye hoja....Kwa Sasa ni hayo tu...

Tunapo Anza mara kempiski mara mwananyamala hatukuelewi elewi mkuu.....
 
Kama DP world wanaweza kubinafsishiwa Uhamiaji itakuwa powa tu tena wakaanzie Uhamiaji Arusha biashara ya paspoti hususan za muda mfupi imeshamiri, DP world wakiilamba Uhamiaji Arusha kazi ikienda vzr ndio wachukue Uhamiaji mikoa mingine.
 
Hili linapaswa kuwa dokezo kabisa hili.

Moderator
 
Ndio maana bima za afya zimetoa bei elekezi Kwa Kila DAWA except Kwa zile dawa ambazo hazipo kwenye bima.........

Ie. Huwezi ku quote bei yako mwenyewe kwenye Bima hio ni example....

Ila ukienda Kwa kutumia cash unaweza kupigwa pesa ndefu ni sawa na udalali wowote ambao mtu anaweza ku ufanya.......
Daaah yani nisawa uende hospital y mwimbili kisha ukalalamikie yale maduka y DAWA kule nje mbona dawa bei kubwa.ss hao muhimbili wafanyeje?.Pia kwani lazima utolee pale copy?
Kamishina fanya kazi zako kwa umakini nakukubali mnooo.
 
Maswala ya steshenari analalamikiwa kamishna wa uhamiaji
Nadhani watanzania tujue nan wa kumlalamikia kwa shida zetu. Copy mlalamikie mtu wa steshenari maswala ya kiofisi lalamikia uhamiaji. Unadhani kamishna wa uhamiaji atatoa mongozo wa bei kwa hao wafanyabiashara?

Ushauri kwako.
Copy toa mbali kidogo na hizo steshenary zinazotazama jengo la uhamiaji. Ukifanya hvyo na wengne hivyo kwa muda wa wiki moja watashusha bei wenyeweee.

Kama kiusalama wao wanaona si vizuri kuingia na mafurushi ofisini ni wewe sasa kuacha mizigo yako nyumbani ama sehemu nyingne salama na pasipo na malipo

Magereza au eneo la magereza tukienda kusalimu ndugu au jamaa waliofungwa au kungoja hukumu zao hatutakiwi kuwa na simu maeneo yale na tunatii na hatulalamiki zaidi zaid simu tanaacha nyumbani au tunaziacha sehemu nyingine za mbali na maeneo ya magereza.


TUJIFUNZE KUPUNGUZA MALALAMIKO
Hasa yasiyo na tija
 
Daaah yani nisawa uende hospital y mwimbili kisha ukalalamikie yale maduka y DAWA kule nje mbona dawa bei kubwa.ss hao muhimbili wafanyeje?.Pia kwani lazima utolee pale copy?
Kamishina fanya kazi zako kwa umakini nakukubali mnooo.
Watanzania tumezoea kulalamika vitu hadi vya ajabuu. Kama ndugu yetu anamlalamikia kamishna wa uhamiaji kwa bei kubwa ya copy sijui tumekuwajeee
 
Nimejiuliza sana hapoo kwenye hiyo sentensi.
 
Halafu wakuu wote wa Ulinzi na Usalama wameondoka (kustaafu/kutenguliwa) lakini huyu YUMO tu. Huenda kinachombeba ni kwasababu yeye ni.........

Anyway ngoja ninyamaze tu
Niko maabara nalifanyia hili swala kazi , kama ni kweli basi kuna huduma na sisi ............. tutawanyima
 
Nimejiuliza sana hapoo kwenye hiyo sentensi.
Kwamba you people don't have a nurse or a doctor kwa kituo tena makao makuu[emoji15][emoji15][emoji15],, a person fainted infront of your gate,, like for Real?? Can't lend a helping hand??
 
Uwe.na pesa za maelfu kulipia passport halafu ukose 500 au 1500 ya kutoa photocopy kweli ?
Kwahiyo ukiwa na Pesa ndiyo Ufanyiwe huu Uhuni? Kwahiyo Wote wanaohitaji Pasipoti na Kusafiri Nje ni Matajiri?

Wanaolalamikia Tozo za Miamala ya Simu wote ni Masikini? Hakuna Matajiri / Wenye Uwezo Kiasi waliolilalamikia hili?

Malkia Elizabeth wa Uingereza ( RIP Kwake ) ambaye alikuwa Tajiri na Pesa mara Kumi ( 10 ) ya Bajeti yako mpya ( ya sasa ) ya Tsh 44.39 Trillion ila kila akienda kufanya Shopping yake katika Malls zao alikuwa akitajiwa Bei ya Kitu anaomba Kupunguziwa na Kulalamika kabisa. Je, alishindwa Kununua? Na unajua alikuwa anapanda nini Vichwani mwa Wapumbavu wengi wanaodhani ukiwa Tajiri basi Wewe Kazi yako ni kutumia tu hovyo bila Mipango na Malengo?

Kumbe nikiwa Nakudharau huwa sikosei.
 
Kwamba you people don't have a nurse or a doctor kwa kituo tena makao makuu[emoji15][emoji15][emoji15],, a person fainted infront of your gate,, like for Real?? Can't lend a helping hand??
🤣🤣🤣🤣🤣 TANGANYIKAAAA? TANZANIAAA??
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watanzania tumezoea kulalamika vitu hadi vya ajabuu. Kama ndugu yetu anamlalamikia kamishna wa uhamiaji kwa bei kubwa ya copy sijui tumekuwajeee
Huenda ukawa na Mental Case kubwa ila Wewe na Ndugu zako au Mkeo hujagundua / hamjagundua.
 
Huenda ukawa na Mental Case kubwa ila Wewe na Ndugu zako au Mkeo hujagundua / hamjagundua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 basi soon atakuja tanzua hizo changamoto za hao wafanyabiashara unaowalalamikia.
Soon and very soon
 
Hatari sana
 
Kama Wewe ni Mmoja wa UHAMIAJI Staff hapo Kurasini au pale Wizara ya Mambo ya Ndani Posta basi si tu ni Hasara Kubwa Kiutendaji hapo UHAMIAJI na kwa Taifa, bali pia utakuwa ni Juha ( Imbecile ) tukuka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…