Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Duu mzee wa bikira leo umeparamia single mama wa mtu ! Dunia hii mbona speed sana!


Huyu alikuwa anamtongoza mke wangu wiki tatu mfululizo licha ya kukataliwa amekomaaa, sasa nikamuweka kiporo, akajichanganya kumkonyeza nikiwa nafunga Geti nageuka namkuta anakonyeza 😃😃😃 anazuga anapikicha macho.

Nikamwambia asubiri kujibiwa
 
Hujui wanawake tulia😀😀😀


Wanawake wapi nisiowajua Mkuu.

Nimeoa 2013
Huu mwaka wa 8.

Ninawatoto watano, watatu ni wanje,

Wanawake wapi nisiowajua, labda wa sayari nyingine lakini Kama ni ninyi 😃😃

Ndio maana nikawashauri Vijana wachukue Wanawake Bikra tuu kuliko mitumba kwani nawafahamu vizuri wanawake WA sayari hii.
 
Wanawake wapi nisiowajua Mkuu.

Nimeoa 2013
Huu mwaka wa 8.

Ninawatoto watano, watatu ni wanje,

Wanawake wapi nisiowajua, labda wa sayari nyingine lakini Kama ni ninyi 😃😃

Ndio maana nikawashauri Vijana wachukue Wanawake Bikra tuu kuliko mitumba kwani nawafahamu vizuri wanawake WA sayari hii.
Ok endelea kuamini mawazo yako ila ukweli mchungu ni kwamba mkeo ni mchepuko wa huyo mkonyezaji
 
Mkeo analiwa bila wewe kujua. Kama alimkonyeza ujue wameshakulana we usidhani mkeo hagongwi anagongwa sana tu.


Kama wewe ndio unamgonga nakubaliana na wewe.

Usidhani kila mwanaume anafaa kuibiwa mke, wanaoibiwa wake ni Wale maboya au walioamua kuonewa.

Chukua mke Bikra kisha njoo nikufanyia mpango usichapiwe.

Maana mnasikitisha sana
 
Akiwa na akili achukue hii. Mke wake kamalizwa haraka sana.
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
 
Back
Top Bottom