Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Acha kujisifia wewe weka picha ya mkeo humu akiwa amevaa nguo zake halafu uone kama hazitarudi kwenye simu yako akiwa mtupu katanua mapaja.


😃😃

Huyu ni wathamani unafikiri nimeokota barabarani.

Naa akili zako hizi sidhani Kama atakupa hata nafasi ya salamu.
Maana ninauhakika hata milioni 10 huna kwenye Akaunti
 
Kosa lako ni mikwara,ila kanuni hiyo tunaitumia mabaharia wengi tu,kisha zingatia kinga usije muua mkeo kwa visasi vya kiboya


😃😃😃

Kings muhimu

Ila huyu nataka nimtie mimba au nimfirimbe
 
Inasikitisha sana Bikra Bikra kumbe wewe unatembea na Wake za Wanaume wenzio.
 
Inasikitisha sana Bikra Bikra kumbe wewe unatembea na Wake za Wanaume wenzio.


Unatongoza mke wangu ukiwa na lengo gani??

Mimi Nimemla mke wake ili kujua kinachomfanya mtongoze wangu ni nini wakati anawake.

Wengine ukibeep Sisi tunapiga moja Kwa moja.
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Naona vicheche vinekutana
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care.
Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Ujinga wa ndoa.
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care.
Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.

Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
In
Kwa hiyo speed yako ya kujiona shujaa wa kufanya wake za watu bila hata kinga (kwani umesema waweza hata kumpa mimba)
Usipo badilika utakuja hapa muda sio mrefu kujutia...UKIMWI UPO, umejificha tu kama joka jeusi lililo ficha kichwa
 
Sio rahisi hivyo Mkuu.

Sijaokota mwanamke Mimi, nimechukua kiwandani.

Kama ningekuwa nimemuokota ningeungana na wewe.

Ipo Raha ya kuoa Bikra acheni tuu
Unazungumzia Bikra ipi? Maana zipo mbili,

Halafu hizi mambo zinatengenezwa Mkuu,Binadamu hawekewi dhamana,usijiamini sana.
 
Back
Top Bottom