Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Hongera sana una roho mbaya kama yangu. Kuna zoba alipigia simu mke wangu saa 4 ya usiku akaanza tongoza. Jamaa anaishi Musoma kikazi na yeye kaoa. Nilichofanya nilimuuliza wife huyo nani akanijibu fulani.

Nilitumia njia za kigaidi nikazama mitandaoni kumtafuta, nikafika Meta nikacheck profile yake nikaona ana mke, nikamcheck mkewe tukaanza chart haikupita mwezi nikamvuta Dar nikaja kumuulia mtaani kwetu. Kwa sababu yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea wala hakupinga kupiga picha za mahaba. Kumpa onyo nikamtumia yule bwege picha moja ya mkewe akiwa peke yake kitandani.

Nilichoshangaa jamaa kawa mkali kama pilipili, nikacheka saaaana.
Greenlabel tea..
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Ulipaswa umsamehe maana alikuomba msamaha! Usikubali kutumiwa na shetani! Uanamume rijali ni kuwa na uwezo wa kukataa na kushinda maovu! Uzinzi ni ishara ya wazi kabisa kwamba wewe ni dhaifu! Mwanaume wa nguvu hatekwi na wanawake kirahisi hivyo! Wanaume wa nguvu huona mwanamke mrembo na bado akasimama imara asianguke kwenye zinaa!

Sasa, kuwa mwanaume na ukamwombe msamaha! Pole.
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!

Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Pole kwa ni uzinzi. pia nakupa pole kwamba mkeo alikonyezwa na alikuwa na mazoea na huyo jamaa lakini wewe unajipa imani kwamba mkeo ni mwaminifu. kwa mwanamke mwaminifu ile kujaribu kumkonyeza tu utaomba poo. endelea kujipa moyo manake ukiyajua mengi utaumia moyo bure. tufanye mkeo ni mwaminifu na hajawahi gongwa na huyo jamaa. over.
 
Duuuh!!

Kama unafikiri tupo Sawa ni kawaida ya watu wasiofikiri vizuri.

Ngoja nikuache na Imani yako.

Njoo unichapie ili nivumilie Ila Kwa akili za namna hii sidhani mama hata hao Malaya unaweza kuzama nyavun
Unaishi maisha ya zama za mawe,kutishia watu ushirikina,watu wamepita na mkeo,kilichobaki unakuja tu kubweka huku JF.
 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Imagine nyakati alizokonyezwa na hakuwahi kumwambia uyu jamaa hadi jamaa alipokuja kujua mwenyewe na wakati mwingine yupo kwenye project huko dodoma. na wife wake alikuwa anafurahia tu kukonyezwa. hawa ndio watu wanaotakiwa kuishi wakiamini na kuaminishwa kwa nguvu zote kwamba wake zao waaminifu kwasababu siku wakija kufumania huwa wanajitundika au wanakunywa sumu. bora wakae wakiamini hivyohivyo. ila anaonekana ni mchanga na mahusiano na hajawajua wanawake vizuri.
 
Kwahiyo mwaka 2013 unaona ni mbali sana sio?

Kwahiyo kuoa 2013 ndio lunathibitisha kua huchapiwi? Jomba wakubwa tumekuelewa,vumilia tu ndio esha tokea,bila shaka hiyo ID ndio inakuongopea na kujiona ni kama joka kweli! Hata hayo majoka yanachapiwa pia.
Tushamuelewa mwambaa...tena pnd kasafir kwenda Dodoma ndo baharia kamlala mkewe..sasa hapa amekuja kupooza machungu kwa kusema kuwa na yy kafanya comeback la kibabe..ndoa hiz zinamambo mengi sanaa
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!

Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.

Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri Hali inayowavuta wanaume wakware WA mjini.

Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia Kama unahamu ya kuliwa Mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu Kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka Kama nane hivi. Anajifanya anaomba Radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.

Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani Mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.

Sasa nimerudi Dsm wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko Kwa jirani yangu wa Hazina.

Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi jumamosi, Nimepiga nikajipigia.

Alafu nilidhani vita yangu ingechukua siku Saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.

Sasa Jana jtumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi Kwa Yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.

Nikamjibu nikamwambia Mimi sio Mfuasi wala sio mwanafunzi WA Kristo, Mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.

Mke wake alikuwa kwenye Gari ananitazama Kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia sms Kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.

Kanikonyezea mke, Mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.

Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.

Hashangai Kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa Kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.


Bikra matter's
Hapa nakuunga mkonyo mkuu
 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Yaan una mawazo km yangu huyu mke wake washapiga ndomaana pamoja na kukonyezwa au kuoneshwa dalili ya kutakwa hakuwahi sema kwa jamaa. Ukiwa na bint mdogo nyumban kila akienda shule anasumbuliwa na vivulana anakuja kushitaki nyumban kadri siku zinavyoenda na binti kukua kiumri basi hayo mashitaka hutayasikia tena ikifika hapo mzazi unajiongeza kuwa binti kakua
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!

Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.

Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri Hali inayowavuta wanaume wakware WA mjini.

Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia Kama unahamu ya kuliwa Mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu Kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka Kama nane hivi. Anajifanya anaomba Radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.

Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani Mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.

Sasa nimerudi Dsm wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko Kwa jirani yangu wa Hazina.

Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi jumamosi, Nimepiga nikajipigia.

Alafu nilidhani vita yangu ingechukua siku Saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.

Sasa Jana jtumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi Kwa Yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.

Nikamjibu nikamwambia Mimi sio Mfuasi wala sio mwanafunzi WA Kristo, Mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.

Mke wake alikuwa kwenye Gari ananitazama Kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia sms Kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.

Kanikonyezea mke, Mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.

Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.

Hashangai Kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa Kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.


Bikra matter's
Debe tupu Haliachi Kutika

.
Huyo anaongea Kwa hisia tuu,

Bikra ukichapiwa ujue unashida tena kubwa Sana.
Debe Tupu HaliachinKutika, Mkuu!
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!

Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.

Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri Hali inayowavuta wanaume wakware WA mjini.

Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia Kama unahamu ya kuliwa Mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu Kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka Kama nane hivi. Anajifanya anaomba Radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.

Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani Mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.

Sasa nimerudi Dsm wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko Kwa jirani yangu wa Hazina.

Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi jumamosi, Nimepiga nikajipigia.

Alafu nilidhani vita yangu ingechukua siku Saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.

Sasa Jana jtumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi Kwa Yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.

Nikamjibu nikamwambia Mimi sio Mfuasi wala sio mwanafunzi WA Kristo, Mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.

Mke wake alikuwa kwenye Gari ananitazama Kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia sms Kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.

Kanikonyezea mke, Mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.

Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.

Hashangai Kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa Kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.


Bikra matter's
Aisee wewe ni muongo wa hatari

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mubali usimubali mkeo analiwa kabsaaa. Usijipe moyo et kukata utepe ndo atatulia. Huenda ndo ulifungulia mbwa wafanye yao. Jaribu kufuatilia kimya kimya, utakuja kufuta huu uzi
 
Hongera sana una roho mbaya kama yangu. Kuna zoba alipigia simu mke wangu saa 4 ya usiku akaanza tongoza. Jamaa anaishi Musoma kikazi na yeye kaoa. Nilichofanya nilimuuliza wife huyo nani akanijibu fulani.

Nilitumia njia za kigaidi nikazama mitandaoni kumtafuta, nikafika Meta nikacheck profile yake nikaona ana mke, nikamcheck mkewe tukaanza chart haikupita mwezi nikamvuta Dar nikaja kumuulia mtaani kwetu. Kwa sababu yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea wala hakupinga kupiga picha za mahaba. Kumpa onyo nikamtumia yule bwege picha moja ya mkewe akiwa peke yake kitandani.

Nilichoshangaa jamaa kawa mkali kama pilipili, nikacheka saaaana.
Ulivunja ndoa ya watu mkuu.
 
Mbwembwe kibao; ma legendary hatunaga muda wa kusimulia vitu vidogo vidogo kama hivyo.
 
Back
Top Bottom