Kamwaga umenikera sana leo kuwapa Yanga credit za kijinga

Kamwaga umenikera sana leo kuwapa Yanga credit za kijinga

Naomba unielimishe mkuu, kwani Vunja bei kama ni kweli ameingiza jezi fake ili auze elfu 5 kama unavyosema hii inaiathiri vipi simba?

Maana ninachojua mimi ni kuwa Vunjabei ana kandarasi ya 2b kutengeneza jezi ambazo ameilipa Simba, sasa akiuza elfu 5 au elfu 2 hiyo ni juu yake maana ameishamalizana na club tayari, sasa hivi anachotafuta ni kurudisha pesa yake tu
Mkuu, aidha unajitoa ufahamu au wewe ni mpinzani umeamua kuwananga tu Simba

Kwani haujui kuwa Vunja price ana mkataba wa kutengeneza outfit zote za club ya Simba, hata akiamua atengeneze mikoba ya kina mama, mabegi ya mgongoni au ya Safari yenye nembo ya Simba, au akiamua kutengeneza boxer, Chupi, Track suit, Scarfs n.k

Kukujibu swali lako ni kuwa Vunja bei anaweza kutengeneza jezi kwa tani yake anayoipenda maana ana rights zote

Kwa hiyo mkuu hoja yako kama ni hiyo nadhani una chuki tu binafsi na aidha Vunja bei au Simba
Mkataba wa Vunja bei na Simba inamaana hauna vigezo na masharti? Akitengeneza jezi zisizo na ubora ni juu yake. Zikiwa feki ni juu yake ilimradi tu Simba wanapokea bilioni 2?
 
Hii ina maana ya kwamba Jezi fake za simba zikiwa nyingi mtaani, haijalishi simba kachukua Bilion 2,ila inapunguza reputation ya Club katika jezi hasa katika kipindi cha Club transformation.
 
Hii ina maana ya kwamba Jezi fake za simba zikiwa nyingi mtaani, haijalishi simba kachukua Bilion 2,ila inapunguza reputation ya Club katika jezi hasa katika kipindi cha Club transformation.

Kwanza hakuna jezi fake mpaka sasa,hiyo picha mnasambaza ya kusagula ni jezi za misimu iliyopita.Jezi za mpya zinauzwa kama karanga vizuri sana tena Tanzania nzima,siyo Sanderland peke yake kama za Yanga!
 
Kwanza hakuna jezi fake mpaka sasa,hiyo picha mnasambaza ya kusagula ni jezi za misimu iliyopita.Jezi za mpya zinauzwa kama karanga vizuri sana tena Tanzania nzima,siyo Sanderland peke yake kama za Yanga!
Daaah Sema jezi ya simba huku kwetu Mbagala uswahilini kuna wale Waha kutoka Kigoma wanakopesha kwa 15,000/= ili kila siku anakuja kuchukua 1000/=
 
Nilivyosikia eti bei ya jezi ya Simba ni elfu 15 tu hapa Dodoma,nimeahirisha kwenda kununua.

Ni bora ziwe chache kali hata tununue 50,000 kuliko hizi feki.
Hivi kwa nini huwa hamfikirii kulinda brand ya timu badala yake mnauza maruperupe ambayo siku 2 tu inafanya jezi zote zionekane za hoovyo?!
 
Back
Top Bottom