Uku bongo makamu awe makondaIla Hussen anafaa katika hii safari kuliko Makame,na kama wakikosa wote mama Dada apewe usukani maana anaonekana sasa kuwa anaweza kuendesha jahazi.
sababu ni ipi?Hongera kwa kueleza hilo
Naunga mkono
Nilisikia kuwa hussein kagomea uwazir tangu march hivyo vikao vyote na wizaran haendi sikuhizi, nadhan zitakuwa na ukweli
Mpaka sasa joni anaoption nyingine ya act
Kwanza Hussein alikimbia JKT kwa mujibu wa sheria, tuanze na hilo, na hilo liliwezekana kwa sa avu baba yake ni raisi. Ilipaswa asipewe hata dhamana ya kuwa waziri wa mambo ya majeshi
Duh...!.Ukweli mchungu ni kuwa Hussein Mwinyi ndio atakuwa mgombea urais wa CCM Zanzibar 2020. Japokuwa hafai na ushindani ukiwa sawa ndani ya CCM hawezi kupita, lakini ndiye atayepitishwa na CCM. Sababu za kimsingi ziko hapa.
1. Ni mzanzibar pekee ambaye amekuwepo kwenye awamu zote tatu za serikali ya muungano kwa kubebwa kwa 100%. Suala la urais ndani ya CCM ni issue ya kubebana. Kama mara zote amekuwa akibebwa, hata zamu hii atabebwa tu!
2. Ndio mzanzibar pekee iliyeandaliwa kwa muda mrefu zaidi na Tanzania bara kwenda kuiongoza (kuitawala) Zanzibar. Ukiachalia mbali uwaziri wa Afya aliowahi kuishikiria, muda mwingine wote amekuwa waziri wa ulinzi kwenye muungano. Na sote tunajua, Tz bara kuing'ang'ania Zanzibar katika muungano ni agenda ya kiulinzi zaidi.
3. Kabla ya kutafutiwa ubunge huko Zanzibar (mahali ambako hakukulia, hakuishi na hata sasa haishi) Dr.Hussein Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga. Yaana Hussen Mwinyi aliliacha jimbo la Mkuranga (ambalo ni kubwa sana kieneo na idadi ya watu huenda zaidi ya mara 10 ya jimbo alilolifuata Zanzibar). Hayo yalifanyika miaka 10 iliyopita ili kutengeneza njia ya kuupata urais wa Zanzibar wakati huu.
4. Baba yake (Mzee Ally Hassan Mwinyi) amekuwa mtiifu na mwenye kujipendekeza sana kwa Magufuli ili kutengeneza njia kwa mwanaye.
Umefilisiki hadi akiliDuh!, this is not fair at all.
" Jamani msinicheke kufilisika"
"Kufilisika si kilema ni matatizo"
"Ni matatizo ya dunia ndugu zangu"
P
P
- Hili siwezi lizungumzia, maana kupitia JKT kwa mujibu wa sheria sio miongoni mwa sifa za kugombea urais wa JMT or Zanzibar.
- Nakiri kuwa japo kupitia JKT kunaongeza uzalendo na ukakamavu!, hakuna uthibitisho wowote kwa wale wasiopitia JKT sio wazalendo au sio wakakamavu.
- Mimi mwenyewe nilipita JKT kwa mujibu wa sheria, kisha nikaunganisha na JWTZ, lakini nilikuja kutokomea Ughaibuni, wakati kuna watu kibao walijongo JKT ni wazalendo kuliko mimi.
- Kuna watu kibao walipita JKT ni wavivu, wazembe, na ndio mafisadi wakuu, ndio walarushwa wakuu ndio mamluki wakuu, na kuna ambao hawakupita JKT ni wazalendo, wachapakazi na waadilifu.
- Conclusion: Kutokupitia JKT sio hoja, sio kigezo, sio sababu!, tafuta kosa jingine au sababu nyingine yenye mashiko ya why not, lakini sio hii!.
Unafiki utafanya umkose siku zoteHiyo April Fool's day was just a coincidence, hizo hoja ni valid na bado namtafuta Polepole.
P
Lazima awe Polepole for strategic reasons, kideo kiwepo, na kushika mike ili kuchana kidogo, na kuwapaka sana wapinzani ili kuonyeshea wewe ni asset, ili iwe rahisi kupenya ile chekecheke ya vikao vya uteuzi!.Si yupo pale lumumba mkuu..!? Au kwani ni lazima uende kwake? Mbona wengine hivyo vipeperushi wanavichukulia mashinani au ndio unataka kiki..!??
...lakini ujiandae kushikiwa akili na kuanza kuongozwa na remote!
Alikuwepo anaongea lugha gani na hao wazungu?Mkuu Paskali,
Kuna watu hawamkumbuki Joni akiwa askari wa mwamvuli enzi za BWM. Either hawakuwepo kwenye ulimwengu wa siasa hivyo hawajui na wamekuwa wavivu kusoma historia au kuuliza kwa "waliokuwepo" walau kuwadodosa.
So, far Joni bana, ni mtu mwingine. Sijawahi sikia balozi/kaimu balozi wa taifa kubwa anaitwa kujieleza katoa wapi taarifa za "ugaidi" au hali ya afya kwenye nchi hii.
Uthubutu wa kukataa kuzungumza na ACACIA na kuitaka kampuni mama Barrick kuja kujieleza; ikabidi Prof. Joni L. Thornton akwee pipa na kumwomba balozi wa Canada amshike mkono ili aweze kuonana na Joni magogoni; ni ajabu kusema Joni ni mwoga.
Joni kasimama pekee na kuonesha mwelekeo kama kiongozi namna ya ku-handle issue ya Covid19; Wengine wakiwa wamehamaki, wanapigiana simu kwa zoom. Joni kwa ujasiri aliamua kuongoza vile anaona kuwa inafaa.
Huyu mtoa hoja, nadhani amekurupuka.
Duh...!. Kwa vile Tanzania tuna majeshi ya aina mbili ya Ulinzi na Usalama, mtu anaweza ku dodge JKT lakini akawa recruited 'kule'!.Hiyo siyo hoja
Kama ueledi wa kazi ungekuwa ndiyo kipimo cha kupewa majukumu basi isingetungwa sheria wakati huo mtu usiajiriwe popote kama hukupitia JKT au umedoji JKT.
Hussein kuna kila dalili kuwa alikimbia JKT kwa sababu hakuwa kwenye position ya kusuffer consequences kutokana nababa yake kuwa rais wakati huo.
Linganisha Hussein Mwinyi na Makongoro Nyerere mfu ambaye alikwenda vitani Uganda wakati baba yake ni rais,
Hussein alikimbia JKT kinyume cha sheria halafu leo tunataka kumfanya kamanda wa vikosi maalum vya Zanzibar na pia kuwa mpigiwa saluti na vyombo vya usalama kama raisi wa Zanzibar.
Kama kwenda JKT wakati huo ni kielelezo cha uzalendo basi Hussein Mwinyi siyo mzalendo maana hata kwenye reserve army hayumo tofauti na wote waliopitia huko.
Sasa unataka kumpa uraisi mtu aliyekimbia kujinoa ili. kuwa mlinzi wa akiba wa Taifa lake?
Huyo mzee amekuwa ni kero sana
No hajakurupuka bali ni mmoja wa vilaza tuu waliotamalaki humu jukwaani.Mkuu Paskali,
Kuna watu hawamkumbuki Joni akiwa askari wa mwamvuli enzi za BWM. Either hawakuwepo kwenye ulimwengu wa siasa hivyo hawajui na wamekuwa wavivu kusoma historia au kuuliza kwa "waliokuwepo" walau kuwadodosa.
Huyu mtoa hoja, nadhani amekurupuka.
Ni mambo tuu ya dunia, na dunia duara!.Umefilisiki hadi akili
Hakunaga msukuma mjanja ata kama ushaga enda ughaibuni still bado ni mshamba tu acha kujifanya unajua sana kama nkurunzinzaNi mambo tuu ya dunia, na dunia duara!.
P
Duh...!, simtaji Polepole ili mnione namjua, namjua Polepole since when he was nothing hadi sasa he is something!. Primary nimesoma na mtoto wa Nyerere, Msasani tumecheza sana!. Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, na kuwa nae US, Ben akija New York, tunashinda nae pale Intercontinental ya Crowe Plaza!. UDSM nimesoma na Riz1 na ni close friend mpaka kesho!. JPM ni homeboy wangu, kila nikienda pande zile nafikia kwake and there was an incident ilimbidi Janet kuingia jikoni in person kuandaa menu fulani!.Kila mara unarudia rudia Kumtaja Polepole ndiyo tukuone kuwa uko karibu nae sana na Viongozi Wakuu wa CCM au? Ujuha unakusumbua mno.
Kwa Wasukuma ushamba ni jadi yetu!, tena nikiwa Ughaibuni kuna familia nilikuta wamelowea huko hadi ugali wanakula kwa umma, mimi nilishindwa!, nakula kwa mkono!.Hakunaga msukuma mjanja ata kama ushaga enda ughaibuni still bado ni mshamba tu acha kujifanya unajua sana kama nkurunzinza
Lazima awe Polepole for strategic reasons, kideo kiwepo, na kushika mike ili kuchana kidogo, na kuwapaka sana wapinzani ili kuonyeshea wewe ni asset, ili iwe rahisi kupenya ile chekecheke ya vikao vya uteuzi!.
P
Mkuu Affinitytz, this is very good objective analysis, uchambuzi kama huu ni rarely sana siku hizi humu jf, vilaza wametamalaki2. Profesa Makame aliyehudumu na bado anayehudumu kwenye Wizara mbalimbali za Muungano: huyu pia sio mwanasiasa kigogo huko Visiwani, kama isingekuwa mzee wa Msoga kumpa Wizara basi huyu hakuna ambaye angemzungumza kwa sasa. Ni kiongozi mzuri na presidential material lakini anahitaji "back up" kubwa sana kutoka Bara kwa kuwa ni Mpemba, visiwani watu wanataka Muunguja kwa sasa.
Naomba kuwasilisha.