Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Si yupo pale lumumba mkuu..!? Au kwani ni lazima uende kwake? Mbona wengine hivyo vipeperushi wanavichukulia mashinani au ndio unataka kiki..!??

...lakini ujiandae kushikiwa akili na kuanza kuongozwa na remote!

Ndugu yangu kwani Wewe leo ndiyo unajua kuwa huyo Boya na Pimbi ni mpenda Sifa ( Kiki ) mno na anataka kujifanya ni Mjuvi wa kila Jambo?
 
Ukweli mchungu ni kuwa Hussein Mwinyi ndio atakuwa mgombea urais wa CCM Zanzibar 2020. Japokuwa hafai na ushindani ukiwa sawa ndani ya CCM hawezi kupita, lakini ndiye atayepitishwa na CCM. Sababu za kimsingi ziko hapa.

1. Ni mzanzibar pekee ambaye amekuwepo kwenye awamu zote tatu za serikali ya muungano kwa kubebwa kwa 100%. Suala la urais ndani ya CCM ni issue ya kubebana. Kama mara zote amekuwa akibebwa, hata zamu hii atabebwa tu!

2. Ndio mzanzibar pekee iliyeandaliwa kwa muda mrefu zaidi na Tanzania bara kwenda kuiongoza (kuitawala) Zanzibar. Ukiachalia mbali uwaziri wa Afya aliowahi kuishikiria, muda mwingine wote amekuwa waziri wa ulinzi kwenye muungano. Na sote tunajua, Tz bara kuing'ang'ania Zanzibar katika muungano ni agenda ya kiulinzi zaidi.

3. Kabla ya kutafutiwa ubunge huko Zanzibar (mahali ambako hakukulia, hakuishi na hata sasa haishi) Dr.Hussein Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga. Yaana Hussen Mwinyi aliliacha jimbo la Mkuranga (ambalo ni kubwa sana kieneo na idadi ya watu huenda zaidi ya mara 10 ya jimbo alilolifuata Zanzibar). Hayo yalifanyika miaka 10 iliyopita ili kutengeneza njia ya kuupata urais wa Zanzibar wakati huu.

4. Baba yake (Mzee Ally Hassan Mwinyi) amekuwa mtiifu na mwenye kujipendekeza sana kwa Magufuli ili kutengeneza njia kwa mwanaye.
 
Mimi niwahakikishie kuwa kuna mwamba mmoja atatokea out of nowhere (Sio Hussein, sio Makame wala Bi Mkubwa) na kufanikiwa kula tunda kimasihara kama ilivyotokea kwa Joni mwenyewe 2015 tunda lilipomdondokea kimasihara.[emoji2]

Nakubaliana nawe kwa hili kwa 100% zote Ndugu kwani tayari kuna Makundi Hasimu Mawili hivyo kuyaua anatakiwa Mtu aliye nje nayo aongoze.
 
Duh...!.
Hoja za bandiko hili ni hoja za uongo mkubwa na za kubaini!.
1. Joni sio mtu muoga na asiejiamini kama unavyomuelezea hapa kumuonyeshea ni mtu muoga, hana confidence na anasumbuliwa na tatizo la insecurity ya kuogopa watu kitu ambacho sii kweli!.
2. Hussein hana mtandao wowote, ni mtu simple, humble and down to earth, anasimama mwenyewe with his own merits, hategemei mbeleko ya yeyote!
3. Kitu pekee ulichopatia kwenye bandiko hili ni Makame kwa sababu ni presidential material kama nilivyo muelezea hapa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
P
Kinyume ndio mwendo. Mbwa mwoga utamjua kwa kubweka kwake. Makeke kibao. Acha kabisa. Jaribu kukumbuka tabia na mwenendo wa Fidel Castro, jasiri shujaa shupavu!
Simple, down to/below/under the earth na merits ni mtandao madhubuti kuliko mingine yote!
 
Jifunze Kuheshimu Mawazo na hata Uwasilishaji wa Members wengine hapa Mtandaoni JamiiForums na acha Kujifanya kuwa Wewe ndiye Einstein au Brainiac wa Jamvi hili zima wakati Kiuhalisia Ukweli siyo huo na hauko hivyo na huenda pia hutobahatika kuwa hivyo. Unaposema Bandiko hili limejaa Hoja za Uwongo Wewe zako ziko wapi na Wewe ni nani mpaka uwe na uwezo wa Kuzithibitsha?

Acha kutaka Kuaminisha na Kuwaaminisha Watu ( Members ) hapa kuwa kile ambacho Wewe huwa unakiwakilisha hapa basi ndiyo Genuine katika katika Facts zake na kwamba Watu wengine wote hawana uwezo wa ama Kukuzidi au kwenda an extra mile na Mtazamo wako. Sijaanza Kukusoma leo japo huwa sishawishiki Kuchangia katika Mada zako kwakuwa huwa sioni kipya zaidi ya blah blah zako na Kujikweza Kwako Kwingi.

Mwisho kabisa hukuwa na haja ya Kuchangia halafu kuniwekea Mada zako na sijui ni kwanini umekuwa na hii tabia ambayo sioni haya ( aibu ) kuiita ya Kishamba. Kama unapenda Mada zako ziwe zinasomwa na uwe unasomwa sana ili Umaarufu wako unaoutaka hapa JamiiForums uzidi nakushauri omba kwa Uongozi wa JamiiForums uwe na Jukwaa lako liitwalo JF Pascal Mayalla Threads Only ili uridhike kwani Unaboa mno tu.

Nimemaliza.
Huyo analamba makalio ya joni ili apate uteyuzi! Kwisha habari yake wala asikupe homa! Anajitia kujua kumbe mlamba makalio tu!
 
Mkuu Paskali,
Kuna watu hawamkumbuki Joni akiwa askari wa mwamvuli enzi za BWM. Either hawakuwepo kwenye ulimwengu wa siasa hivyo hawajui na wamekuwa wavivu kusoma historia au kuuliza kwa "waliokuwepo" walau kuwadodosa.

So, far Joni bana, ni mtu mwingine. Sijawahi sikia balozi/kaimu balozi wa taifa kubwa anaitwa kujieleza katoa wapi taarifa za "ugaidi" au hali ya afya kwenye nchi hii.
Uthubutu wa kukataa kuzungumza na ACACIA na kuitaka kampuni mama Barrick kuja kujieleza; ikabidi Prof. Joni L. Thornton akwee pipa na kumwomba balozi wa Canada amshike mkono ili aweze kuonana na Joni magogoni; ni ajabu kusema Joni ni mwoga.

Joni kasimama pekee na kuonesha mwelekeo kama kiongozi namna ya ku-handle issue ya Covid19; Wengine wakiwa wamehamaki, wanapigiana simu kwa zoom. Joni kwa ujasiri aliamua kuongoza vile anaona kuwa inafaa.

Huyu mtoa hoja, nadhani amekurupuka.

Siku zote Mke mwema ni lazima tu atakuwa anamuunga mkono Mumewe katika Jambo lolote lile ili Kuimarisha Ndoa yake asije Kuachika akasota.
 
Ukweli mchungu ni kuwa Hussein Mwinyi ndio atakuwa mgombea urais wa CCM Zanzibar 2020. Japokuwa hafai na ushindani ukiwa sawa ndani ya CCM hawezi kupita, lakini ndiye atayepitishwa na CCM. Sababu za kimsingi ziko hapa.

1. Ni mzanzibar pekee ambaye amekuwepo kwenye awamu zote tatu za serikali ya muungano kwa kubebwa kwa 100%. Suala la urais ndani ya CCM ni issue ya kubebana. Kama mara zote amekuwa akibebwa, hata zamu hii atabebwa tu!

2. Ndio mzanzibar pekee iliyeandaliwa kwa muda mrefu zaidi na Tanzania bara kwenda kuiongoza (kuitawala) Zanzibar. Ukiachalia mbali uwaziri wa Afya aliowahi kuishikiria, muda mwingine wote amekuwa waziri wa ulinzi kwenye muungano. Na sote tunajua, Tz bara kuing'ang'ania Zanzibar katika muungano ni agenda ya kiulinzi zaidi.

3. Kabla ya kutafutiwa ubunge huko Zanzibar (mahali ambako hakukulia, hakuishi na hata sasa haishi) Dr.Hussein Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga. Yaana Hussen Mwinyi aliliacha jimbo la Mkuranga (ambalo ni kubwa sana kieneo na idadi ya watu huenda zaidi ya mara 10 ya jimbo alilolifuata Zanzibar). Hayo yalifanyika miaka 10 iliyopita ili kutengeneza njia ya kuupata urais wa Zanzibar wakati huu.

4. Baba yake (Mzee Ally Hassan Mwinyi) amekuwa mtiifu na mwenye kujipendekeza sana kwa Magufuli ili kutengeneza njia kwa mwanaye.

Endelea Kujidanganya ila huyu unayedhani kuwa atakuwa basi hatokuwa na najua wengi wenu mnaweza mkashangaa na msiamini Kinachokuja.
 
Huyo analamba makalio ya joni ili apate uteyuzi! Kwisha habari yake wala asikupe homa! Anajitia kujua kumbe mlamba makalio tu!

Nimeshalidharau Siku nyingi sana Ndugu halafu huwa napenda kweli Kulisanifu huku lenyewe likijidanganya kuwa ni Genius JamiiForums nzima.
 
Msingi Mkuu wa majadiliano humu jf ni kubishana kwa hoja, kwa hoja kujibiwa kwa hoja na au kupanguliwa kwa hoja na sio kwa viroja.

Umeleta hoja dhaifu kwa kuzijenga kwenye dhana ya uongo. Joni sote tunamfahamu jinsi alivyo jasiri na asiyeogopa mtu, leo unamsingizia uongo wa mchana kweupe kuwa Joni anamuogopa mtu!.

Nikija kwa Huseni, usikute wewe umemfahamia Hussein hapo ulipomfahamu, its very unfortunately unamtungia uongo wa kubebwa!. Kwa taarifa tuu, Hussein namfahamu kitambo, nimesoma nae Tambaza, wakati Hassan ni rais wa JMT!, hivyo nimesoma na mtoto wa rais and always was simple, humble and down to earth!. Hadi leo hadi kesho kuanzia baba yake Hassan hajawahi kuwa na mtandao wowote na hajawahi kumbeba mwanae Hussein. Hussein amefikia hapo alipofika on his own merits na sio kwasababu baba yake alikuwa rais, hivyo huo pia ni uongo na nimepangua hoja yako ya uongo with facts. Ukiitetea tetea with facts.

Mwisho huwa nitatumia references kwenye hoja zangu, kwa vile Watanzania walio wengi ni vilaza tuu kama ilivyo, japo sijui kiwango cha elimu yako hivyo sorry kukuita kilaza kwasababu tuna hadi watu wenye Ph.D lakini ni vilaza tuu!, mtu huwezi kuandika literacy level au kutoa hoja bila references, ukiona mtu hapendi kusoma reference kwenye hoja yoyote, huyo ni kilaza tuu!.
Hivyo ninapoweka zile references zangu, naziweka kwa ajili ya learned brothers and sisters wanaopenda kusoma hoja with reference facts na sio kwa ajili ya vilaza wasoma heading.

JF was meant for GT, lakini in reality ma GT wapo, ordinary people wapo, simple minds na vilaza pia wapo, JF ni ya wote,enjoy!
Good day.
P

Kwanza Hussein alikimbia JKT kwa mujibu wa sheria, tuanze na hilo, na hilo liliwezekana kwa sa avu baba yake ni raisi. Ilipaswa asipewe hata dhamana ya kuwa waziri wa mambo ya majeshi
 
Kwanza Hussein alikimbia JKT kwa mujibu wa sheria, tuanze na hilo, na hilo liliwezekana kwa sa avu baba yake ni raisi. Ilipaswa asipewe hata dhamana ya kuwa waziri wa mambo ya majeshi

Nakuonea Huruma kuwa unapoteza muda wako Kujibizana na huyo Mtu ambaye anajiona ni wa Muhimu kuliko JF Members wote waliopo hapa.
 
Baba Huseni amekuwa akijishusha kwa kamanda Joni saana ili kumtengenezea mwanae Huseni njia, anajua Joni anachotaka huwa kinakua pendeni msipende!! Ukila chabo vizuri safari hii atatokea mtu wa kulekule ambaye bara hatumjuuuui hapo nahisi bahuseni atajikuta Membe kiaina ....
 
Back
Top Bottom