Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Duh...!, simtaji Polepole ili mnione namjua, namjua Polepole since when he was nothing hadi sasa he is something!. Primary nimesoma na mtoto wa Nyerere, Msasani tumecheza sana!. Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, na kuwa nae US, Ben akija New York, tunashinda nae pale Intercontinental ya Crowe Plaza!. UDSM nimesoma na Riz1 na ni close friend mpaka kesho!. JPM ni homeboy wangu, kila nikienda pande zile nafikia kwake and there was an incident ilimbidi Janet kuingia jikoni in person kuandaa menu fulani!.

Hivyo nawajua wote in person!.
Pia kwa mimi being in the media unajua what does that mean, kama ni lobbying uteuzi, ningeisha lobby kitambo!.

Kwa vile humu vilaza ni wengi, wanaodhani Pasco Mayalla ana lobby uteuzi, acha wadhanie, faraja yangu ni ma GT wa JF who can read me in between the lines!, vilaza wengi kwenye mabandiko yangu, wanaishia chaka!.
Pole.
P

Sijaona cha maana ulichokiandika hapa zaidi tu ya Takataka na Uharo mtupu huku ukiendeleza zile zile Sifa zako za kujuana na VIP's wa Tanzania.
 
Basi sawa mkuu, ukipata access usisite kunitonya ili niungane na wewe, niwe angalao mpiga kayamba, naamini ukishamaliza kuchana njia itakuwa nyeupe kupita kwenye uteuzi! Hivyo basi kwa utaalamu wa kupiga kayamba na marimba nilionao na kwa namna nitakavyoutumia siku hiyo basi bila shaka nafasi ya kushika vile vi burufukesi hutosita kunipa ili sasa hata wakati utakapokuwa busy na vikao, makala na mabandiko yako nitakuwa nayapandisha hapa jf kwa niaba...

Nani Kakudanganya kuwa Rais Dkt. JPM huwa anapoteza muda wake Kuteua au Kuwatea Watu wenye Walakini kama Caster Semenya Ndugu?
 
Mkuu Affinitytz, this is very good objective analysis, uchambuzi kama huu ni rarely sana siku hizi humu jf, vilaza wametamalaki

Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
P
Mkuu Paskali,
Tuna changamoto sana ya kila mtu kuandika bila kuangalia historia ya siasa na bila kuwafahamu vyema aina ya watu unaowaandika.
Nikiri kwamba nimejifunza mengi kutoka kwenye analysis zako hapa Jf.
Shukrani
 
Mkuu Paskali,
Tuna changamoto sana ya kila mtu kuandika bila kuangalia historia ya siasa na bila kuwafahamu vyema aina ya watu unaowaandika.
Nikiri kwamba nimejifunza mengi kutoka kwenye analysis zako hapa Jf.
Shukrani

Utakuja na ID's mpya na tofauti tofauti za Kujisifu Kwako hivi hadi Uchoke. au unadhani hujulikani kwa Kupenda Sifa mno na kuwa na Multiple ID's?
 
Umeandika sana ila ukweli ni kuwa:-

1. Wewe ni mgeni sana kwenye siasa za Tanzania

2. Chukua muda fuatilia historia walau ya hao uliowataja kwenye uzi wako. Kama hujui historia ni ngumu kuja na analysis yenye tija.

3. Ukianzisha hoja hapa ruhusu wengine pia wajadili. Acha vita binafsi dhidi ya Pascal Mayalla.
 
Duh...!, simtaji Polepole ili mnione namjua, namjua Polepole since when he was nothing hadi sasa he is something!. Primary nimesoma na mtoto wa Nyerere, Msasani tumecheza sana!. Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, na kuwa nae US, Ben akija New York, tunashinda nae pale Intercontinental ya Crowe Plaza!. UDSM nimesoma na Riz1 na ni close friend mpaka kesho!. JPM ni homeboy wangu, kila nikienda pande zile nafikia kwake and there was an incident ilimbidi Janet kuingia jikoni in person kuandaa menu fulani!.

Hivyo nawajua wote in person!.
Pia kwa mimi being in the media unajua what does that mean, kama ni lobbying uteuzi, ningeisha lobby kitambo!.

Kwa vile humu vilaza ni wengi, wanaodhani Pasco Mayalla ana lobby uteuzi, acha wadhanie, faraja yangu ni ma GT wa JF who can read me in between the lines!, vilaza wengi kwenye mabandiko yangu, wanaishia chaka!.
Pole.
P
Kwa nn umeamua kuandika haya?
Au kwa kuwa vijana hawa wamechachamaa leo?
P hukuwahi kufikiri utakuja kuishi kwa lobbying ya kisiasa isipokuwa media
Hakika miaka hii 5 imebadili mfumo wako wa maisha na sasa umeamua kubadilika, naona sasa umekumbuka hadi maisha ya wazazi wako na sifa zao hakika unataka kubadilika !
Unapokwenda kubadilika tafadhali kumbuka misimamo yako ya huku nyuma na daima usiwe sehemu ya mbwa koko
 
Hizi ni speculation wapendwa hazina uhakika na uhalali kisiasa hivyo kuendelea kudhalilishana hapa kwa mb zetu wenyewe ni ulofa wetu wa kiwango cha uprofesa
Cyber space isitudanganye kuwa si lazima kuheshimu sheria ya maumbile hapana! Tumlete karibu roho mtakatifu wa meditation fupi ya hewa kisha tumuone Mungu kwenye maandishi ya watu na kumpinga shetani kwa ustaarabu makinika
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Bavicha bwana....
Pambanieni kwanza kiki yenu iliyobuma ya kumvunja mguu sultani
 
Msingi Mkuu wa majadiliano humu jf ni kubishana kwa hoja, kwa hoja kujibiwa kwa hoja na au kupanguliwa kwa hoja na sio kwa viroja.

Umeleta hoja dhaifu kwa kuzijenga kwenye dhana ya uongo. Joni sote tunamfahamu jinsi alivyo jasiri na asiyeogopa mtu, leo unamsingizia uongo wa mchana kweupe kuwa Joni anamuogopa mtu!.

Nikija kwa Huseni, usikute wewe umemfahamia Hussein hapo ulipomfahamu, its very unfortunately unamtungia uongo wa kubebwa!. Kwa taarifa tuu, Hussein namfahamu kitambo, nimesoma nae Tambaza, wakati Hassan ni rais wa JMT!, hivyo nimesoma na mtoto wa rais and always was simple, humble and down to earth!. Hadi leo hadi kesho kuanzia baba yake Hassan hajawahi kuwa na mtandao wowote na hajawahi kumbeba mwanae Hussein. Hussein amefikia hapo alipofika on his own merits na sio kwasababu baba yake alikuwa rais, hivyo huo pia ni uongo na nimepangua hoja yako ya uongo with facts. Ukiitetea tetea with facts.

Mwisho huwa nitatumia references kwenye hoja zangu, kwa vile Watanzania walio wengi ni vilaza tuu kama ilivyo, japo sijui kiwango cha elimu yako hivyo sorry kukuita kilaza kwasababu tuna hadi watu wenye Ph.D lakini ni vilaza tuu!, mtu huwezi kuandika literacy level au kutoa hoja bila references, ukiona mtu hapendi kusoma reference kwenye hoja yoyote, huyo ni kilaza tuu!.
Hivyo ninapoweka zile references zangu, naziweka kwa ajili ya learned brothers and sisters wanaopenda kusoma hoja with reference facts na sio kwa ajili ya vilaza wasoma heading.

JF was meant for GT, lakini in reality ma GT wapo, ordinary people wapo, simple minds na vilaza pia wapo, JF ni ya wote,enjoy!
Good day.
P
Pascal punguza ujuaji, heshimu michango na mawazo ya wengine hata kama umepishana nao kimtazamo. Kumuita kilaza mtu usiyemfahamu ni sawa nakujiita kilaza wewe mwenyewe.
 
Duh...!, simtaji Polepole ili mnione namjua, namjua Polepole since when he was nothing hadi sasa he is something!. Primary nimesoma na mtoto wa Nyerere, Msasani tumecheza sana!. Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, na kuwa nae US, Ben akija New York, tunashinda nae pale Intercontinental ya Crowe Plaza!. UDSM nimesoma na Riz1 na ni close friend mpaka kesho!. JPM ni homeboy wangu, kila nikienda pande zile nafikia kwake and there was an incident ilimbidi Janet kuingia jikoni in person kuandaa menu fulani!.

Hivyo nawajua wote in person!.
Pia kwa mimi being in the media unajua what does that mean, kama ni lobbying uteuzi, ningeisha lobby kitambo!.

Kwa vile humu vilaza ni wengi, wanaodhani Pasco Mayalla ana lobby uteuzi, acha wadhanie, faraja yangu ni ma GT wa JF who can read me in between the lines!, vilaza wengi kwenye mabandiko yangu, wanaishia chaka!.
Pole.
P

Gra
Duh...!, simtaji Polepole ili mnione namjua, namjua Polepole since when he was nothing hadi sasa he is something!. Primary nimesoma na mtoto wa Nyerere, Msasani tumecheza sana!. Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, na kuwa nae US, Ben akija New York, tunashinda nae pale Intercontinental ya Crowe Plaza!. UDSM nimesoma na Riz1 na ni close friend mpaka kesho!. JPM ni homeboy wangu, kila nikienda pande zile nafikia kwake and there was an incident ilimbidi Janet kuingia jikoni in person kuandaa menu fulani!.

Hivyo nawajua wote in person!.
Pia kwa mimi being in the media unajua what does that mean, kama ni lobbying uteuzi, ningeisha lobby kitambo!.

Kwa vile humu vilaza ni wengi, wanaodhani Pasco Mayalla ana lobby uteuzi, acha wadhanie, faraja yangu ni ma GT wa JF who can read me in between the lines!, vilaza wengi kwenye mabandiko yangu, wanaishia chaka!.
Pole.
P


What causes Grandiocity thinking?
 
Umeandika sana ila ukweli ni kuwa:-

1. Wewe ni mgeni sana kwenye siasa za Tanzania

2. Chukua muda fuatilia historia walau ya hao uliowataja kwenye uzi wako. Kama hujui historia ni ngumu kuja na analysis yenye tija.

3. Ukianzisha hoja hapa ruhusu wengine pia wajadili. Acha vita binafsi dhidi ya Pascal Mayalla.

Naona Leo hii ID zako zote utazifungulia moja baada ya nyingine ili mradi tu uonekane kuwa unakubalika wakati kumbe ni Pimbi na Boya mkubwa.
 
Kwa nn umeamua kuandika haya?
Au kwa kuwa vijana hawa wamechachamaa leo?
P hukuwahi kufikiri utakuja kuishi kwa lobbying ya kisiasa isipokuwa media
Hakika miaka hii 5 imebadili mfumo wako wa maisha na sasa umeamua kubadilika, naona sasa umekumbuka hadi maisha ya wazazi wako na sifa zao hakika unataka kubadilika !
Unapokwenda kubadilika tafadhali kumbuka misimamo yako ya huku nyuma na daima usiwe sehemu ya mbwa koko

Kama Kukiandaliwa Upigaji Kura wa Mwandishi wa Habari Mnafiki kabisa Tanzania nzima na anayewachoma Wenzake Mamlakani atashinda Yeye.
 
Pascal punguza ujuaji, heshimu michango na mawazo ya wengine hata kama umepishana nao kimtazamo. Kumuita kilaza mtu usiyemfahamu ni sawa nakujiita kilaza wewe mwenyewe.

Na unaweza kukuta hata wengine tukisema tuonyeshane Matokeo yetu ya Kitaalama tokea Msingi hadi Chuo Kikuu Yeye ndiyo akawa Kilaza sana.
 
Back
Top Bottom