Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Gentamycine acha kujisumbua
 
Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.
Eti eeh . . . halafu kijiweni kwetu mtu mmoja alituuliza hivi dogo Hussein yuko wapi? Hakuna aliyempa jibu sahihi. Juzi tunawaona jamaa wanasema mabo yameanza kuiva. Ngoja walaji tusubiri mlo mezani. Nadhani surprise zipo maana wengine tumezoea ugali halafu mpishi anatuletea tambi
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Na kweki huyu husein kajijenga sana kwanza huko kwenge vyombo vya ulinzi kaweka sana nduguze maana kipindi niko jkt nakunbuka kuna mag ililetwa mzanzibar yeyote alieko huko aende tpdf bila kupingwa na gari lilikuja likawabeba wote kuvumbi kiliyimka baada ya mmoja kuandikwa jina (maana alikuwa likizo)kipindi wenzao wanaodhoreshwa majina kwa kweli alipiga simu kwao kwa mda mfupi vari la C.O wa kikosi lilikuja kumchukua na likampeleka hadi kituoni na nauli kapewa na mp kabisa kasindikiza hapo ndio niliamini hii amri ilitoka juu.
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Ikishindikana sanaa balali atachukua kimasihara
 
Mkuu Paskali,
Kuna watu hawamkumbuki Joni akiwa askari wa mwamvuli enzi za BWM. Either hawakuwepo kwenye ulimwengu wa siasa hivyo hawajui na wamekuwa wavivu kusoma historia au kuuliza kwa "waliokuwepo" walau kuwadodosa.

So, far Joni bana, ni mtu mwingine. Sijawahi sikia balozi/kaimu balozi wa taifa kubwa anaitwa kujieleza katoa wapi taarifa za "ugaidi" au hali ya afya kwenye nchi hii.
Uthubutu wa kukataa kuzungumza na ACACIA na kuitaka kampuni mama Barrick kuja kujieleza; ikabidi Prof. Joni L. Thornton akwee pipa na kumwomba balozi wa Canada amshike mkono ili aweze kuonana na Joni magogoni; ni ajabu kusema Joni ni mwoga.

Joni kasimama pekee na kuonesha mwelekeo kama kiongozi namna ya ku-handle issue ya Covid19; Wengine wakiwa wamehamaki, wanapigiana simu kwa zoom. Joni kwa ujasiri aliamua kuongoza vile anaona kuwa inafaa.

Huyu mtoa hoja, nadhani amekurupuka.
Mkuu kwa kweli Kuna Muda Najisikia Amani sana kuongozwa na Mtu mwenye maamuzi bila kuangalia nani anasemaje hao kina kenyata, Kagame wamekuwa overtaken na External forces hawangalii realistic wao wanataka wawe Praise na external communities bila kuangalia realistic ya mataifa yao sasa wana ua tu Raia, Joni ni bold na huu msala wa corona tungekuwa na kina Lowasa sijui ata ingekuwaje
 
Na kweki huyu husein kajijenga sana kwanza huko kwenge vyombo vya ulinzi kaweka sana nduguze maana kipindi niko jkt nakunbuka kuna mag ililetwa mzanzibar yeyote alieko huko aende tpdf bila kupingwa na gari lilikuja likawabeba wote kuvumbi kiliyimka baada ya mmoja kuandikwa jina (maana alikuwa likizo)kipindi wenzao wanaodhoreshwa majina kwa kweli alipiga simu kwao kwa mda mfupi vari la C.O wa kikosi lilikuja kumchukua na likampeleka hadi kituoni na nauli kapewa na mp kabisa kasindikiza hapo ndio niliamini hii amri ilitoka juu.

Wakati Wewe ukisema Hussein kawajaza Wazenji Ujedani, basi kuna CDF Mmoja ( Namhifadhi ) kajaza hadi Wajukuu, Vitukuu na Vilembwe wake.
 
Wazanziba kuongozwa na mwanamke never

Na CCM wakitaka Wapinzani ( Upinzani ) uchukue Dola ya Zanzibar wajitusu tu wamuweke Mgombea Mwanamke ndipo Watawajua Wazanzibari.
 
Wakati Wewe ukisema Hussein kawajaza Wazenji Ujedani, basi kuna CDF Mmoja ( Namhifadhi ) kajaza hadi Wajukuu, Vitukuu na Vilembwe wake.
Lakini hata kama nini fursa lazima niitumie[emoji2]
 
Lakini hata kama nini fursa lazima niitumie[emoji2]

Idara Nyeti za TISS na hata ile ya CMI ilifanya Kosa moja Kubwa mno la Kuruhusu baadhi ya hawa CDF's wajaze Ndugu zao Lukuki huko Ujedani.
 
Idara Nyeti za TISS na hata ile ya CMI ilifanya Kosa moja Kubwa mno la Kuruhusu baadhi ya hawa CDF's wajaze Ndugu zao Lukuki huko Ujedani.
Tatizo ni maagazo kutoka juu mi kwa macho yangu nimeona watu hawana hata vyeti unaitwa jina unaenda meza kuu unapewa ki memo chenye saini ya mkaguzi eti inaend kupimwa afya usaili ushapita tayari.
 
Tatizo ni maagazo kutoka juu mi kwa macho yangu nimeona watu hawana hata vyeti unaitwa jina unaenda meza kuu unapewa ki memo chenye saini ya mkaguzi eti inaend kupimwa afya usaili ushapita tayari.

Cheza na sehemu zote ila ukishaanza kulifanya Jeshi kuwa Mali ya Ukoo / Kabila fulani kuna Siku yale ya Rwanda na Burundi yatatokea Tanzania.
 
Na CCM wakitaka Wapinzani ( Upinzani ) uchukue Dola ya Zanzibar wajitusu tu wamuweke Mgombea Mwanamke ndipo Watawajua Wazanzibari.
CCM wakimuweka Mama Samia, watakuwa na chansi kubw zaidiya kushinda kwenye sanduku la kura.
kwa kuwa huyu mama Ni mzalendo kidogo na Huenda akakubali vipaumbele vya wazanzibari.
Hata hivyo kura za kina mama atazikwaa ambazo ndio nyingi kuliko wanaume.

Mimi naomba wasimmpe ili CCm ipate kipigo cha mbwa KOKO kama kawaida yao, hlafu mwaka huu wafute tena uchaguzi mchna kweupe bila ya sababu za msingi,waone joto ya jiwe.
 
Cheza na sehemu zote ila ukishaanza kulifanya Jeshi kuwa Mali ya Ukoo / Kabila fulani kuna Siku yale ya Rwanda na Burundi yatatokea Tanzania.
Inategemea na nguvu iliopo kwa wakati huo maana sio wote wanaweza panga kwa pamona maana hawako pamoja labda itokee ukabila ndani ya chombo humo humo ndio inaweza kuwa shida
 
Baada ya Kuona unazidiwa Hoja na wenye Akili kukuzidi JF wameanza Kukushambulia na Kukudharau sasa ndiyo unazuga Kujifanya Mwema?
No sizugi kujifanya mwema, bali kiukweli Pasco Mayalla ni mtu mwema kabisa wa ukweli, hata siku ukisikia Mungu amenipenda zaidi, ujue nimeenda straight to heaven!.
P
 
Back
Top Bottom