Kamwe katika mabishano hatuwezi kuandika Katiba

Kamwe katika mabishano hatuwezi kuandika Katiba

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
inasikitisha kuona kwa busara zetu au kwa ujinga wetu watanzania leo hii tuko tayari kupoteza nafasi hii hadhimu ya kujenga mwanzo mpya.

badala ya kujadiliana kuandika katiba tunabishana na katika kubishana kamwe hatuwezi kuandika katiba.

kama watanzania tumeshindwa kuwa kitu kimoja katika mchakato huu na matokeo yake ni kuuuvuruga mchakato mzima na kuelekea kuendeleza nchi yetu ambayo ni tajiri kwa rasilimali kuwa masikini kwa kipato.

binafsi simuoni mtanzania yeyote msafi wala simuoni mtanzania yeyote mchafu,

sote kutokana na mifumo tuliyoijenga huko nyuma ndio imetufanya tuwe hivi tulivyo leo.

kama ungekuwa kwenye nafasi ya yule unayemnyooshea kidole wewe leo hii bila shaka ungefanya yale yale na wengine wangekuwa wanakunyooshea vidole wewe. na kama huyu unayemnyooshea vidole angekuwa kwenye nafasi yako angefanya yaleyale unayoyafanya wewe.

kwa haya tunayaona yanatendeka kama ni mazuri au mabaya si ya kuzaliwa nayo mtu bali mazingira yanayomzunguka mtu ndiyo huyasababisha.

ni bora tuadhimie sote kujenga mazingira mapya, mwanzo mpya ili sote tuweze kusonga mbele.

tukubaliane sote kuwa mabaya au mazuri yaliyopita yametokana na sisi wote kwa kila mmoja kuchangia kwa kiasi kilekile lakini kutokana na mapungufu tuliyoyaona basi tujipange turekebishe wapi ili mambo yawe mazuri zaidi.

wapo wenye jaziba lakini ambao mazingira yakibaki vile vile au yakibadilika wakapewa nafasi watafanya mambo yaleyale au mabaya zaidi ya yale wanayoyanyooshea vidole leo. wapo wenye hofu kuwa pengine mambo yakibadilika wanaweza kugeuzwa mbuzi wa kafara lakini yawezekana wakitengenezewa mazingira tofauti wanaweza kuwa mazuri.

tusiwaache watu hawa wenye jaziba na hofu kubishana kutuharibia mchakato wa katiba kwa kila mmoja kuvuta kule anakotaka. kwa hofu yake au jaziba yake.

tunahitaji busara ya kutafuta muafaka wa kuelekea mbele na hapa ni yote ya nyuma tuchukue mchakato wa katiba mpya kuwa ni nafasi ya kutumia uzoefu wa kila mtu kujenga mazingira bora yetu sisi na watoto wetu.

kujenga watoto wetu katika kutafuta na kulinda haki zao ndio njia pekee ya kuwapa watoto wetu urithi bora katika dunia hii inayoelekea katika utandawazi.

tukiweka mambo yaliyopita katika mchakato wa katiba hii tunawarithisha watoto wetu umasikini na hapa mtu yeyote asidhani kuwa yeye peke yake anaweza kuwapa watoto wake utajiri kwani jamii hii isipokaa pamoja na kufanya mambo kwa pamoja huko mbeleni mambo yanaweza kubadilika kwa yule anayedhani kamwachia mtoto utajiri anakuta kumbe kamwachia bomu yule aliyekuwa amekata tamaa akapata neema. mfano ni mimi babu yangu alikimbia utumwa na kipindi hicho alijua amesepona tena sana na marafiki zake wakachukuliwa utumwani. leo hii mimi mjukuu wake ninaishi maisha ya shida katika nchi masikini lakini wajukuu wa rafiki zake wakiishi maisha ya angalau kule marekani. babu siku moja aliwahi kuniambia mjukuu wangu ningejua maisha ya leo yatakuwa hivi kwa jinsi ninavyoona ningejipeleka mwenyewe kuwa mtumwa na leo hii pengine ungekuwa mmarekani mweusi.

tuweke mifumo bora kuwajengea watoto wetu maisha ya baadae badala ya huko mbeleni katika mambo yetu haya ya makundi kutaka kujitengenezea mazingira huko mbeleni wajukuu zetu wakatamani mababu wangekuwa katika hali fulani.
 
Ego nimeshakuambia mara nyingi hoja zako mfu zinakugharimu, unaposema humuoni mtanzania yeyote mchafu wala mtanzania yeyote msafi unamaanisha nini? Nimekuambia acha kukurupuka ina maana huna ufahamu wa kupambanua mambo kila linalokuja mbele yako kwako ni sawasawa acha kuwa kichwa cha mwendawazimu,jitafakari upya kwa maneno yako,

mchakato wa kupata katiba mpya hauakuanza leo na wala si wa mtu au kikundi fulani ni wa watanzania wote kama hulijui hilo naomba leo ufahamu,watanzania tumeamua na sasa tunaelekea kuuipigia kura katiba pendekezwa iliyoletwa na bmk ambalo liliwekwa kisheria,ila sijui kama haya unayaelewa maana umesema mwenyewe kwa kinywa chako humuoni mtz yeyote msafi wala mchafu kwa kuwa huna uwezo wala uelewa wa kupambanua kwa taarifa yako wasafi tuko wengine sana kuliko unavyofikiri acha kutupotezea muda na pumba zako.
 
inasikitisha kuona kwa busara zetu au kwa ujinga wetu watanzania leo hii tuko tayari kupoteza nafasi hii hadhimu ya kujenga mwanzo mpya.

badala ya kujadiliana kuandika katiba tunabishana na katika kubishana kamwe hatuwezi kuandika katiba.

kama watanzania tumeshindwa kuwa kitu kimoja katika mchakato huu na matokeo yake ni kuuuvuruga mchakato mzima na kuelekea kuendeleza nchi yetu ambayo ni tajiri kwa rasilimali kuwa masikini kwa kipato.

binafsi simuoni mtanzania yeyote msafi wala simuoni mtanzania yeyote mchafu,

sote kutokana na mifumo tuliyoijenga huko nyuma ndio imetufanya tuwe hivi tulivyo leo.

kama ungekuwa kwenye nafasi ya yule unayemnyooshea kidole wewe leo hii bila shaka ungefanya yale yale na wengine wangekuwa wanakunyooshea vidole wewe. na kama huyu unayemnyooshea vidole angekuwa kwenye nafasi yako angefanya yaleyale unayoyafanya wewe.

kwa haya tunayaona yanatendeka kama ni mazuri au mabaya si ya kuzaliwa nayo mtu bali mazingira yanayomzunguka mtu ndiyo huyasababisha.

ni bora tuadhimie sote kujenga mazingira mapya, mwanzo mpya ili sote tuweze kusonga mbele.

tukubaliane sote kuwa mabaya au mazuri yaliyopita yametokana na sisi wote kwa kila mmoja kuchangia kwa kiasi kilekile lakini kutokana na mapungufu tuliyoyaona basi tujipange turekebishe wapi ili mambo yawe mazuri zaidi.

wapo wenye jaziba lakini ambao mazingira yakibaki vile vile au yakibadilika wakapewa nafasi watafanya mambo yaleyale au mabaya zaidi ya yale wanayoyanyooshea vidole leo. wapo wenye hofu kuwa pengine mambo yakibadilika wanaweza kugeuzwa mbuzi wa kafara lakini yawezekana wakitengenezewa mazingira tofauti wanaweza kuwa mazuri.

tusiwaache watu hawa wenye jaziba na hofu kubishana kutuharibia mchakato wa katiba kwa kila mmoja kuvuta kule anakotaka. kwa hofu yake au jaziba yake.

tunahitaji busara ya kutafuta muafaka wa kuelekea mbele na hapa ni yote ya nyuma tuchukue mchakato wa katiba mpya kuwa ni nafasi ya kutumia uzoefu wa kila mtu kujenga mazingira bora yetu sisi na watoto wetu.

kujenga watoto wetu katika kutafuta na kulinda haki zao ndio njia pekee ya kuwapa watoto wetu urithi bora katika dunia hii inayoelekea katika utandawazi.

tukiweka mambo yaliyopita katika mchakato wa katiba hii tunawarithisha watoto wetu umasikini na hapa mtu yeyote asidhani kuwa yeye peke yake anaweza kuwapa watoto wake utajiri kwani jamii hii isipokaa pamoja na kufanya mambo kwa pamoja huko mbeleni mambo yanaweza kubadilika kwa yule anayedhani kamwachia mtoto utajiri anakuta kumbe kamwachia bomu yule aliyekuwa amekata tamaa akapata neema. mfano ni mimi babu yangu alikimbia utumwa na kipindi hicho alijua amesepona tena sana na marafiki zake wakachukuliwa utumwani. leo hii mimi mjukuu wake ninaishi maisha ya shida katika nchi masikini lakini wajukuu wa rafiki zake wakiishi maisha ya angalau kule marekani. babu siku moja aliwahi kuniambia mjukuu wangu ningejua maisha ya leo yatakuwa hivi kwa jinsi ninavyoona ningejipeleka mwenyewe kuwa mtumwa na leo hii pengine ungekuwa mmarekani mweusi.

tuweke mifumo bora kuwajengea watoto wetu maisha ya baadae badala ya huko mbeleni katika mambo yetu haya ya makundi kutaka kujitengenezea mazingira huko mbeleni wajukuu zetu wakatamani mababu wangekuwa katika hali fulani.

Wanaoleta mabishani ni wale wasiotaka kuukubali ukweli kwamba, Katiba hii imejali makundi yote, na utakuta mtu anang'ang'ania na hoja zake bila kukubali ukweli wa mabo na hapo ndipo mabishano yanakuwa yanzidi kuendelea.
 
inasikitisha kuona kwa busara zetu au kwa ujinga wetu watanzania leo hii tuko tayari kupoteza nafasi hii hadhimu ya kujenga mwanzo mpya.

badala ya kujadiliana kuandika katiba tunabishana na katika kubishana kamwe hatuwezi kuandika katiba.

kama watanzania tumeshindwa kuwa kitu kimoja katika mchakato huu na matokeo yake ni kuuuvuruga mchakato mzima na kuelekea kuendeleza nchi yetu ambayo ni tajiri kwa rasilimali kuwa masikini kwa kipato.

binafsi simuoni mtanzania yeyote msafi wala simuoni mtanzania yeyote mchafu,

sote kutokana na mifumo tuliyoijenga huko nyuma ndio imetufanya tuwe hivi tulivyo leo.

kama ungekuwa kwenye nafasi ya yule unayemnyooshea kidole wewe leo hii bila shaka ungefanya yale yale na wengine wangekuwa wanakunyooshea vidole wewe. na kama huyu unayemnyooshea vidole angekuwa kwenye nafasi yako angefanya yaleyale unayoyafanya wewe.

kwa haya tunayaona yanatendeka kama ni mazuri au mabaya si ya kuzaliwa nayo mtu bali mazingira yanayomzunguka mtu ndiyo huyasababisha.

ni bora tuadhimie sote kujenga mazingira mapya, mwanzo mpya ili sote tuweze kusonga mbele.

tukubaliane sote kuwa mabaya au mazuri yaliyopita yametokana na sisi wote kwa kila mmoja kuchangia kwa kiasi kilekile lakini kutokana na mapungufu tuliyoyaona basi tujipange turekebishe wapi ili mambo yawe mazuri zaidi.

wapo wenye jaziba lakini ambao mazingira yakibaki vile vile au yakibadilika wakapewa nafasi watafanya mambo yaleyale au mabaya zaidi ya yale wanayoyanyooshea vidole leo. wapo wenye hofu kuwa pengine mambo yakibadilika wanaweza kugeuzwa mbuzi wa kafara lakini yawezekana wakitengenezewa mazingira tofauti wanaweza kuwa mazuri.

tusiwaache watu hawa wenye jaziba na hofu kubishana kutuharibia mchakato wa katiba kwa kila mmoja kuvuta kule anakotaka. kwa hofu yake au jaziba yake.

tunahitaji busara ya kutafuta muafaka wa kuelekea mbele na hapa ni yote ya nyuma tuchukue mchakato wa katiba mpya kuwa ni nafasi ya kutumia uzoefu wa kila mtu kujenga mazingira bora yetu sisi na watoto wetu.

kujenga watoto wetu katika kutafuta na kulinda haki zao ndio njia pekee ya kuwapa watoto wetu urithi bora katika dunia hii inayoelekea katika utandawazi.

tukiweka mambo yaliyopita katika mchakato wa katiba hii tunawarithisha watoto wetu umasikini na hapa mtu yeyote asidhani kuwa yeye peke yake anaweza kuwapa watoto wake utajiri kwani jamii hii isipokaa pamoja na kufanya mambo kwa pamoja huko mbeleni mambo yanaweza kubadilika kwa yule anayedhani kamwachia mtoto utajiri anakuta kumbe kamwachia bomu yule aliyekuwa amekata tamaa akapata neema. mfano ni mimi babu yangu alikimbia utumwa na kipindi hicho alijua amesepona tena sana na marafiki zake wakachukuliwa utumwani. leo hii mimi mjukuu wake ninaishi maisha ya shida katika nchi masikini lakini wajukuu wa rafiki zake wakiishi maisha ya angalau kule marekani. babu siku moja aliwahi kuniambia mjukuu wangu ningejua maisha ya leo yatakuwa hivi kwa jinsi ninavyoona ningejipeleka mwenyewe kuwa mtumwa na leo hii pengine ungekuwa mmarekani mweusi.

tuweke mifumo bora kuwajengea watoto wetu maisha ya baadae badala ya huko mbeleni katika mambo yetu haya ya makundi kutaka kujitengenezea mazingira huko mbeleni wajukuu zetu wakatamani mababu wangekuwa katika hali fulani.

Ni jambo jema kuwa muungwana na Mtanzania mzalendo ni jukumu lang mimi na wewe kuijenga nchi yetu. Na njia pekee ni kuweka misingi imara ambayo imesimikwa kwenye Katiba Inayopendekezwa. Tuungane kuwaelimisha wachache ambao hawatambui umuhimu wa hatua hii kubwa na ya msingi kwa taifa. Tuungane sote kwa umoja wetu kuujulisha umma habari hii njema. Hongera kuwa Mtanzania mwenye uzalendo kwa taifa lake.
 
ni jambo la kusikitisha kuona unaeleza tatizo kuwa wengine wanalo na wakati huo wewe mwenyewe unaonyesha kuwa na tatizo hilo katika maelezo yako.

ni kweli kuwa tatizo ni mtu kug'ang'ania hoja zake lakini unapoongeza kuwa hawataki kukubali kuwa katiba hii imejali makundi yote maana yake hata wewe umeg'angania hoja fulani.

kwa nini tusisikilizane kwa maana kila mmoja anayesema hili limeachwa na yule anayesema kila kitu kipo tujadili na sote tuone ni wapi kama taifa tunapokubali kuwa kila mtu amerdhika.

yawezekana hatuwezi kuridhika wote lakini hiyo isiwe sababu ya kupuuzana bali kila mtu anaposema hapa kuna tatizo tujiulize kweli pale kuna nini na tuitimishe.

lakini kwa sasa masikini ya mungu wananchi wanachanganywa kwa maana tunasikia fulani anapinga, fulani anasapoti sasa wananchi wasapoti au kupinga kwa kufuata makundi au tuelezane kinagaubaga?

Wanaoleta mabishani ni wale wasiotaka kuukubali ukweli kwamba, Katiba hii imejali makundi yote, na utakuta mtu anang'ang'ania na hoja zake bila kukubali ukweli wa mabo na hapo ndipo mabishano yanakuwa yanzidi kuendelea.
 
ni jambo la kusikitisha kuona unaeleza tatizo kuwa wengine wanalo na wakati huo wewe mwenyewe unaonyesha kuwa na tatizo hilo katika maelezo yako.

Ni kweli kuwa tatizo ni mtu kug'ang'ania hoja zake lakini unapoongeza kuwa hawataki kukubali kuwa katiba hii imejali makundi yote maana yake hata wewe umeg'angania hoja fulani.

Kwa nini tusisikilizane kwa maana kila mmoja anayesema hili limeachwa na yule anayesema kila kitu kipo tujadili na sote tuone ni wapi kama taifa tunapokubali kuwa kila mtu amerdhika.

Yawezekana hatuwezi kuridhika wote lakini hiyo isiwe sababu ya kupuuzana bali kila mtu anaposema hapa kuna tatizo tujiulize kweli pale kuna nini na tuitimishe.

Lakini kwa sasa masikini ya mungu wananchi wanachanganywa kwa maana tunasikia fulani anapinga, fulani anasapoti sasa wananchi wasapoti au kupinga kwa kufuata makundi au tuelezane kinagaubaga?

tena wewe ndo namba moja kwani hujielewi unaongea mambo ambayo unayajua majibu yake, badlika ego kuwa mzalendo ipende nchi yako.
 
hapa hatutungi insha

maana watanzania ukiwapeleka kwenye kutunga insha wanatunga hivi lakini mambo yenyewe yako hivi.

huhitaji kukurupuka bali unahitaji kutafakari kwa kina kila nililolitaja.

wewe unasema watanzania tumeamua nikuulize ni lini umekuwa msemaji waji wao.

katiba haipigiwi kampeni kama mgombea.

wananchi walitakiwa kutunga katiba na baada ya kutunga inaenda kwa wataalamu kuiweka kitaalamu.

linalofuata ni kwa kila mwananchi kuangalia yale aliyoyataka kama yapo ili kama yapo anapiga ndio an kama hayapo anapiga hapana.

lengo hapa ni wataalamu kuchambua maoni ya wananchi na kuchukua mawazo ya walio wengi lakini yenye manufaa kwa taifa.

sasa baada ya mchakato tumegawanyika makundi hawa wanapiga kampeni ya hapana hawa wanapiga kampeni ya ndio.

hili linatuonyesha mchakato umeporwa na makundi fulani na sio mwananchi kutunga na kuangalia maoni yake au kama kuna maoni bora zaidi bali ni kwenda kupiga kura kusapoti kundi fulani.

lazima tujiulize kuna nini nyuma ya makundi haya? na busara ni kuyaomba makundi na sote watanzania tutumie busara kurudi kwenye mchakato wa wananchi na tofauti za makundi haya tuziweke pembeni kwani zinaonyesha kutupeleka kusikokuwa kuzuri.

binafsi nasema sioni mtanzania msafi wala mchafu kwa maana sijiulizi huyu alifanya nini na yule hajawahi kufanya nini bali najiuliza hivi ni mtanzania yupi leo hii nitampa shilingi elfu kumi aende dukani kununua kitu usichokijua bei akute kinauzwa shilingi elfu mbili aniletee risiti ya elfu mbili na chenji yangu elfu nane, simuoni ndio maana nasema simuoni msafi wala mchafu.

hapa simaniishi kuwa watanzania hawaaminiki bali ni kujua kuwa tukijengeana njaa na kushindwa kusimamiana sote tunageuka wezi kila anayepata nafasi anafoji risiti. lakini maendeleo yanaanzia katika kusimamiana na kuhakikisha kila mmoja anawajibika.

badala ya kujengeana mazingira ya kukatishana tamaa na kila mtu uchumi kugezwa wa ujanja tubadili mifumo yetu ili wale wanaojitahidi wanafanikiwa.

leo hii nenda kanunue mafuta ya vituu swaumu yameandikwa yametengezwa zanzibar lakini kuna mtu sehemu amechukua vichupa akaweka oil ya magari kwa kuwa inafanana rangi na "viscous" anauza kama mafuta hayo. na huyu anayefanya hivi analaumu kiongozi je yeye akipewa uongozi atafanya nini?

tujiulize wengi wetu maisha tumeyapataje ? je ni kwa njia zilizo nyooka? lakini tukitambua kuwa kila mmoja kama mifumo imelegea akipata nafasi atafanya maovu basi tutakubali kuwa sote tu wachafu au wasafi ni mfumo gani unaotuongoza ndio utatufanya tuwe akina nani

tufikirie tunakokwenda ni wapi na ndio tuchague pa kupita badala ya kuhangaika na vitu ambavyo havitatufikisha tuendako

Ego nimeshakuambia mara nyingi hoja zako mfu zinakugharimu, unaposema humuoni mtanzania yeyote mchafu wala mtanzania yeyote msafi unamaanisha nini? Nimekuambia acha kukurupuka ina maana huna ufahamu wa kupambanua mambo kila linalokuja mbele yako kwako ni sawasawa acha kuwa kichwa cha mwendawazimu,jitafakari upya kwa maneno yako,

mchakato wa kupata katiba mpya hauakuanza leo na wala si wa mtu au kikundi fulani ni wa watanzania wote kama hulijui hilo naomba leo ufahamu,watanzania tumeamua na sasa tunaelekea kuuipigia kura katiba pendekezwa iliyoletwa na bmk ambalo liliwekwa kisheria,ila sijui kama haya unayaelewa maana umesema mwenyewe kwa kinywa chako humuoni mtz yeyote msafi wala mchafu kwa kuwa huna uwezo wala uelewa wa kupambanua kwa taarifa yako wasafi tuko wengine sana kuliko unavyofikiri acha kutupotezea muda na pumba zako.
 
hapa hatutungi insha

maana watanzania ukiwapeleka kwenye kutunga insha wanatunga hivi lakini mambo yenyewe yako hivi.

Huhitaji kukurupuka bali unahitaji kutafakari kwa kina kila nililolitaja.

Wewe unasema watanzania tumeamua nikuulize ni lini umekuwa msemaji waji wao.

Katiba haipigiwi kampeni kama mgombea.

Wananchi walitakiwa kutunga katiba na baada ya kutunga inaenda kwa wataalamu kuiweka kitaalamu.

Linalofuata ni kwa kila mwananchi kuangalia yale aliyoyataka kama yapo ili kama yapo anapiga ndio an kama hayapo anapiga hapana.

Lengo hapa ni wataalamu kuchambua maoni ya wananchi na kuchukua mawazo ya walio wengi lakini yenye manufaa kwa taifa.

Sasa baada ya mchakato tumegawanyika makundi hawa wanapiga kampeni ya hapana hawa wanapiga kampeni ya ndio.

Hili linatuonyesha mchakato umeporwa na makundi fulani na sio mwananchi kutunga na kuangalia maoni yake au kama kuna maoni bora zaidi bali ni kwenda kupiga kura kusapoti kundi fulani.

Lazima tujiulize kuna nini nyuma ya makundi haya? Na busara ni kuyaomba makundi na sote watanzania tutumie busara kurudi kwenye mchakato wa wananchi na tofauti za makundi haya tuziweke pembeni kwani zinaonyesha kutupeleka kusikokuwa kuzuri.

Binafsi nasema sioni mtanzania msafi wala mchafu kwa maana sijiulizi huyu alifanya nini na yule hajawahi kufanya nini bali najiuliza hivi ni mtanzania yupi leo hii nitampa shilingi elfu kumi aende dukani kununua kitu usichokijua bei akute kinauzwa shilingi elfu mbili aniletee risiti ya elfu mbili na chenji yangu elfu nane, simuoni ndio maana nasema simuoni msafi wala mchafu.

Tufikirie tunakokwenda ni wapi na ndio tuchague pa kupita badala ya kuhangaika na vitu ambavyo havitatufikisha tuendako

kati yako na yeye nani anatunga insha hapo? Kwani umelewa au? Au maneno yake yamekulewesha?
 
mimi ninachoweza kuwashauri wananchi ni kuwa wakimchekea nyani shambani watavuna mabua sasa jukumu lao ni kuangalia na kupima ni wapi wanamchekea nyani kwa kufuata ya kwako au kufuata ya kwangu, au ya yeyote anayesema lakini mimi na wewe inaonekana tuko frequency tofauti hatuwezi kukutana hivyo wachague wenyewe ushauri unaowafaa lakini mimi na wewena kila mmoja yeyote endelee kuwaambia yale ambayo anaona yanafaa

kati yako na yeye nani anatunga insha hapo? Kwani umelewa au? Au maneno yake yamekulewesha?
 
mimi ninachoweza kuwashauri wananchi ni kuwa wakimchekea nyani shambani watavuna mabua sasa jukumu lao ni kuangalia na kupima ni wapi wanamchekea nyani kwa kufuata ya kwako au kufuata ya kwangu, au ya yeyote anayesema lakini mimi na wewe inaonekana tuko frequency tofauti hatuwezi kukutana hivyo wachague wenyewe ushauri unaowafaa lakini mimi na wewena kila mmoja yeyote endelee kuwaambia yale ambayo anaona yanafaa

basi uache kuwapotosha watu kuhusu porojo zako kaka, ukweli wa hii katiba unaijua sasa sijui unachokibisha hapo ni kipi!!
 
nani anapotosha si swala lako ni la kila msomaji kuamua.

basi uache kuwapotosha watu kuhusu porojo zako kaka, ukweli wa hii katiba unaijua sasa sijui unachokibisha hapo ni kipi!!
 
tena wewe nimekukumbuka babu yako ndiye aliyepewa kioo cha kujitazama akawauza ndugu zetu katika utumwa, lakini hayo yalikwisha hatumuulizi ila hapa lazima tuweke mambo sawa hakuna tena kuruhusu mwenzetu mmoja ana pewa rushwa anaruhusu mali zetu kama madini au mafuta kuchukuliwa bila ya sisi watanzania kupata chochote huku aliyepewa rushwa akijenga majengo ya kifahari.

katiba ndio mwanzo wa kuiweka sawa ili kuziba mianya yote.

basi uache kuwapotosha watu kuhusu porojo zako kaka, ukweli wa hii katiba unaijua sasa sijui unachokibisha hapo ni kipi!!
 
tena wewe nimekukumbuka babu yako ndiye aliyepewa kioo cha kujitazama akawauza ndugu zetu katika utumwa, lakini hayo yalikwisha hatumuulizi ila hapa lazima tuweke mambo sawa hakuna tena kuruhusu mwenzetu mmoja ana pewa rushwa anaruhusu mali zetu kama madini au mafuta kuchukuliwa bila ya sisi watanzania kupata chochote huku aliyepewa rushwa akijenga majengo ya kifahari.

Katiba ndio mwanzo wa kuiweka sawa ili kuziba mianya yote.

huyo babu yako uliwahi kumuona wapi? We bado unaamini mambo ya kihistoria? Acha ushamba wewe, hatuzungumzii mambo ya kihistoria hapa, umeshaambia historia, so inaweza kuwa kweli au isiyo ya kweli, usipendeke kukalili vitu.
 
katiba mpya ndio sehemu pekee ya kuwadhibiti wababaishaji wote katika utawala, kama mtu hawezi uongozi kwa kushindwa kuwa mbunifu au kusimamia tuweke mifumo ila madalali wanaowanyonya wakulima, wanowanyonya wafanyakazi watoke kwenye uongozi.

ni vigumu kuwabaini kwani wengi wanakuja na mbwembwe na vijembe na kuaminika.

lakini tukiweka mifumo ya kusimamiana basi mifumo yenyewe itawachambua na tutakuwa na viongozi bora wanaowatumikia wananchi.

tuweke mifumo ya kila mmoja kubeba mzigo wake.

lakini wanaojijua ni mizigo wanataka kulazimisha makundi kuhukumiwa pamoja ili wanusurike.

huna jipya wewe kojoa ulale bhana, unaleta blaa blaa tu humu ndani!!
 
bila historia wewe haupo!

lazima tujifunze kutokana na historia zetu ili tusirudie makosa tuliowahi kuyatenda huko nyuma


huyo babu yako uliwahi kumuona wapi? We bado unaamini mambo ya kihistoria? Acha ushamba wewe, hatuzungumzii mambo ya kihistoria hapa, umeshaambia historia, so inaweza kuwa kweli au isiyo ya kweli, usipendeke kukalili vitu.
 
katika kila kundi kuna watu wenye nia nzuri, lakini katika kila kundi pia wapo wanaochelewa kuwaza na wapo wenye nia mbaya pia.

kundi linaongozwa na mawazo gani ndio taswila nzima ya kundi bila kujali unapinga au unasapoti.

kama wewe unawaza kwa nini uongozwe na asiye waza?

kama wewe una nia nzuri kwa nini uongozwe na asiye na nia nzuri?

wote tukiwaza mazuri kwa nchi yetu naamini tutakubaliana
 
katiba mpya ndio sehemu pekee ya kuwadhibiti wababaishaji wote katika utawala, kama mtu hawezi uongozi kwa kushindwa kuwa mbunifu au kusimamia tuweke mifumo ila madalali wanaowanyonya wakulima, wanowanyonya wafanyakazi watoke kwenye uongozi.

Ni vigumu kuwabaini kwani wengi wanakuja na mbwembwe na vijembe na kuaminika.

Lakini tukiweka mifumo ya kusimamiana basi mifumo yenyewe itawachambua na tutakuwa na viongozi bora wanaowatumikia wananchi.

Tuweke mifumo ya kila mmoja kubeba mzigo wake.

Lakini wanaojijua ni mizigo wanataka kulazimisha makundi kuhukumiwa pamoja ili wanusurike.

kojoa ulale mijana maneno yako ni yale yale kama ya kwenye khanga.
 
kanga hiyo unayoidharau ndiyo ulifungiwa wewe wakati umezaliwa, kanga hiyo ndiyo inawasitiri kuanzia bibi yako, mama yako mpaka mkeo na bado itaendelea kuwasitiri watoto wako mpaka mpaka wajukuu.

hujuilizi kwa nini maneno hayo hayaandikwi kwenye nguo nyingine?

ni kwa heshima ya khanga yenyewe.

haya unayaona kwenye katiba ni kwa sababu ya heshima ya katiba.

basi tuipe basi katiba heshima yake.

kojoa ulale mijana maneno yako ni yale yale kama ya kwenye khanga.
 
kanga hiyo unayoidharau ndiyo ulifungiwa wewe wakati umezaliwa, kanga hiyo ndiyo inawasitiri kuanzia bibi yako, mama yako mpaka mkeo na bado itaendelea kuwasitiri watoto wako mpaka mpaka wajukuu.

hujuilizi kwa nini maneno hayo hayaandikwi kwenye nguo nyingine?

ni kwa heshima ya khanga yenyewe.

haya unayaona kwenye katiba ni kwa sababu ya heshima ya katiba.

basi tuipe basi katiba heshima yake.

Hiyo khanga walifungiwa Kwenu Huko na ukoo wenu, weka hoja za maana humu.
 
Back
Top Bottom