Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Jf salaam
Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili).
Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu!
Na daima ni mitamu sana na mivumilivu mno katika Hali zote!
Hii yenu hii iliyoibuka hata nusu haiwezi fikia
Chukulia embe dodo asili linavonukia vizuri vile ule utamu wake!
Angalia mti unavyoweza kuwa mkubwa na kutengeneza kivuli Cha kutosha iwe kiangazi au masika!
Miti ya kisasa ubora wake ni kwamba inaiva Kwa muda mfupi tu na sio vingine.
Matunda sio matamu ladha ya kula Kwa hisia yaani unakula embe dodo huku ukivuta hisia za dodo asili ndo upate mzuka!
Miti ya kisasa inaozesha sana matunda.
Na kuhusu kuambiwa inazaa sana huo ni uongo. Inahitajika nguvu ya ziada mno kuitunza Ili ukupe mavuno mengi tofauti na asili ambapo wenyewe unategemea wingi wa maji tu ukupe kile unachohitaji.
Nilikuwa Kijijini nimeona mapapai hapo nyumbani umebeba mno na matunda ni makubwa.
Ikabidi niulize kwanza walisema ulijiotesha wenyewe yaani walikula mbegu wakatupa ovyo ukaota
Hayupo mtu aliyewa wahi shughulika kupulizia dawa za kujua wadudu au kumwagilia maji.
Matunda uliyo beba Hadi unavunja baadhi ya matawi yake!
Nihitimiahe Kwa kusema iwapo mti wa asili ukiiutunza ukaweka na mjonjo unayofanya Kwa miti ya kisasa nakwambia mavuno utapata ni hakika sio miembe au mapapai.
Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili).
Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu!
Na daima ni mitamu sana na mivumilivu mno katika Hali zote!
Hii yenu hii iliyoibuka hata nusu haiwezi fikia
Chukulia embe dodo asili linavonukia vizuri vile ule utamu wake!
Angalia mti unavyoweza kuwa mkubwa na kutengeneza kivuli Cha kutosha iwe kiangazi au masika!
Miti ya kisasa ubora wake ni kwamba inaiva Kwa muda mfupi tu na sio vingine.
Matunda sio matamu ladha ya kula Kwa hisia yaani unakula embe dodo huku ukivuta hisia za dodo asili ndo upate mzuka!
Miti ya kisasa inaozesha sana matunda.
Na kuhusu kuambiwa inazaa sana huo ni uongo. Inahitajika nguvu ya ziada mno kuitunza Ili ukupe mavuno mengi tofauti na asili ambapo wenyewe unategemea wingi wa maji tu ukupe kile unachohitaji.
Nilikuwa Kijijini nimeona mapapai hapo nyumbani umebeba mno na matunda ni makubwa.
Ikabidi niulize kwanza walisema ulijiotesha wenyewe yaani walikula mbegu wakatupa ovyo ukaota
Hayupo mtu aliyewa wahi shughulika kupulizia dawa za kujua wadudu au kumwagilia maji.
Matunda uliyo beba Hadi unavunja baadhi ya matawi yake!
Nihitimiahe Kwa kusema iwapo mti wa asili ukiiutunza ukaweka na mjonjo unayofanya Kwa miti ya kisasa nakwambia mavuno utapata ni hakika sio miembe au mapapai.