Kamwe miti ya matunda ya kisasa haiwezi lingana na ya asili iwe utamu au kuzaliana

Kamwe miti ya matunda ya kisasa haiwezi lingana na ya asili iwe utamu au kuzaliana

Tatizo ni muda mkuu ndio unafanya watu wakimbilie kupanda ya kisasa

Mnazi wa kienyeji unachukua miaka kuanzia 10 kuzaa wakati wa kisasa miaka miwili tu

Embe dodo asili ukipanda leo wataanza kuvuna wajukuu zako
Mnazi asilia ni miaka 10 kweli kuanza kuzaa, ila embe dodo asilia ni miaka5, labda kuwe na shida kwenye udongo.
 
If nature didn't make it don't take it. Ngano tunayokula imefanyiwa manjonjo miaka 1950 mkulima anapata 10 times ya mavuno ya Ile ngano asili. Na unaambiwa inapandisha blood sugar more than sugar itself.
So inafanya kazi mno ya ku release insulin ikarudishe blood sugar normal.

Nanasi, karoti, swaumu kitunguu, zimefanyiwa hybridization.


Icho kilimo ni Cha biashara na sio Cha kiafya.

Utajua why watu wanaogua mno nowdays about Figo and sukari ni kutokana na vyakula ambavyo mbegu yake sio Ile ya asili. Mahindi zamani tulikula ugali bila mboga saivi pamoja na mboga ni tizi bado
 
If nature didn't make it don't take it. Ngano tunayokula imefanyiwa manjonjo miaka 1950 mkulima anapata 10 times ya mavuno ya Ile ngano asili. Na unaambiwa inapandisha blood sugar more than sugar itself.
So inafanya kazi mno ya ku release insulin ikarudishe blood sugar normal.

Nanasi, karoti, swaumu kitunguu, zimefanyiwa hybridization.


Icho kilimo ni Cha biashara na sio Cha kiafya.

Utajua why watu wanaogua mno nowdays about Figo and sukari ni kutokana na vyakula ambavyo mbegu yake sio Ile ya asili. Mahindi zamani tulikula ugali bila mboga saivi pamoja na mboga ni tizi bado
Mkuu hakuna tafiti za kisayansi zinazothibitisha kwamba ulaji wa nyama au mazao yaliokuwa hybridization ni hatari kwa afya

Yes yanaweza yasiwe na virutubisho kwa wingi kama asili lakini hiyo haina shida yoyote kwa mtumiaji

Tafiti zinaonyesha hayo magonjwa tunayoona yanaongezeka sana ni kwasababu ya life style yetu na namna tunavyokula.
Vyakula hatari ni vile vinatumia chemical za viwandani kama soda bia juice korie nk nk
 
Ni kweli kabisa matunda asilia yana ladha yake na virutubisho vyake. Hili halipingiki hata kidogo.

Ila changamoto iliyopo kwa sasa ni ongezeko la watu na uhitaji wa matunda. Huwezi kusema usubilie embe la kienyeji msimu hadi msimu, wakati kuna biashara zinahitaji embe kila siku. Mfano parachichi linahitajika kila siku kwenye mlo haya viwandani.

Zamani tulikuwa wachache ila sasa tupo wengi na maarifa yameongezeka kikubwa tu ni kuangalia mbegu zipi na madawa yapi yatumike ili kuondoa magojwa ya hapo baadae.
Matunda ya asili ni ya polini,haya mengine yote yameletwa,
 
If nature didn't make it don't take it. Ngano tunayokula imefanyiwa manjonjo miaka 1950 mkulima anapata 10 times ya mavuno ya Ile ngano asili. Na unaambiwa inapandisha blood sugar more than sugar itself.
So inafanya kazi mno ya ku release insulin ikarudishe blood sugar normal.

Nanasi, karoti, swaumu kitunguu, zimefanyiwa hybridization.


Icho kilimo ni Cha biashara na sio Cha kiafya.

Utajua why watu wanaogua mno nowdays about Figo and sukari ni kutokana na vyakula ambavyo mbegu yake sio Ile ya asili. Mahindi zamani tulikula ugali bila mboga saivi pamoja na mboga ni tizi bado
Umeenda shule?:Ngano ipi ya asili? Karoti za silini zipi hizo? Utasikia mtu anakuambia mahindi ya asili, asili ipi? mahindi yaliletwa kutoka Mexco ba Wamisionaries na wakoloni,hakuna mahindi ya asiliAfrica. Matunda ya asili ni ya mwituni ambayo oia ni mazuri sana tofauti na matunda ya mwituni mengine yote ni ya kigeni.
 
Umeenda shule?:Ngano ipi ya asili? Karoti za silini zipi hizo? Utasikia mtu anakuambia mahindi ya asili, asili ipi? mahindi yaliletwa kutoka Mexco ba Wamisionaries na wakoloni,hakuna mahindi ya asiliAfrica. Matunda ya asili ni ya mwituni ambayo oia ni mazuri sana tofauti na matunda ya mwituni mengine yote ni ya kigeni.
Mkuu hapa neno asili linamaana ukichukua mbegu ya mtunda wa asilili kijijini kwenu ukaenda kuupanda USA bila kuufanyia chochote basi utakua ni asili huko huko USA

Hapa inazungumziwa hybridization
 
Kama hiii?😂
 

Attachments

  • IMG-20240405-WA0035.jpg
    IMG-20240405-WA0035.jpg
    97.1 KB · Views: 12
HA
Mkuu hapa neno asili linamaana ukichukua mbegu ya mtunda wa asilili kijijini kwenu ukaenda kuupanda USA bila kuufanyia chochote basi utakua ni asili huko huko USA

Hapa inazungumziwa hybridization
ta mahindi mnayo sema ya asili still bado nihighbrid ambayo ni ya kitambo sana
 
HA

ta mahindi mnayo sema ya asili still bado nihighbrid ambayo ni ya kitambo sana
Mkuu hybridization sio kitu cha ajabu sana wala sio binadamu aliyekigundua
hybridization ilikua inatokea yenyewe by nature pale JAMII moja za kiumbe zenye AINA tofauti zinapounganika na kuzalisha aina mpya ya jamii hiyo kwa njia ya kujamiiana, uchavushaji kwanjia ya wadudu ndege upepo, mimea kuungana nk nk

Hakuna tafiti yoyote inayoonyesha cross breeding inamadhara kiafya kwasababu mimea yote iliounganishwa yote ilikua haina madhara

Mbegu zinafanyiwa maboresho kila uchwao mkuu
Zamani wakati mimi nakua mbegu ya muda mfupi ilikua miezi 6 na indi lake mtoto hachumi lilivyokua juu
Hizo mbegu za sili sijui hata zilipoteaga karne gani
 
Dunia inakwenda mrama, mabo ni shaghala bagala, kila kitu ni mwendo w kisasa, hatimae maradhi ya hovyo hovyo yanazidi.

Eti leo unapanda mahindi, kisha mahindi hayo mwakani huwezi kutumia kama mbegu, ukipandatena huambulii kitu, sasa unajiuliza wametia nini.

Zamani ilikuwa ni mayai yasiyokuwa na baba, na mikuku isiyo na baba, lakini sasa hivi vitu vingi ni vya kuchakachulia, unywe maziwa ya ng'ombe wa kisasa, sijui nazi ya mnazi wa kisasa, mnazi miaka mi3 mi4 unaanza kuzaa😂,
Hii ni moja ya hasara za teknolojia
 
Dunia inakwenda mrama, mabo ni shaghala bagala, kila kitu ni mwendo w kisasa, hatimae maradhi ya hovyo hovyo yanazidi.

Eti leo unapanda mahindi, kisha mahindi hayo mwakani huwezi kutumia kama mbegu, ukipandatena huambulii kitu, sasa unajiuliza wametia nini.

Zamani ilikuwa ni mayai yasiyokuwa na baba, na mikuku isiyo na baba, lakini sasa hivi vitu vingi ni vya kuchakachulia, unywe maziwa ya ng'ombe wa kisasa, sijui nazi ya mnazi wa kisasa, mnazi miaka mi3 mi4 unaanza kuzaa😂,
Hii ni moja ya hasara za teknolojia
Hahahaaa.... Sasa haya mahindi ya sasahivi yanabunguliwa yakiwa shambini bado aseee.
 
Back
Top Bottom