BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Papai kuna aina mingi na oia inatehemea unazilima wapiHi mipapai ya rangi kama nyekundu ndani sipati radha kama ile ya papai za njano ya zamani au ni mdomo wangu umechoka na spirit?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papai kuna aina mingi na oia inatehemea unazilima wapiHi mipapai ya rangi kama nyekundu ndani sipati radha kama ile ya papai za njano ya zamani au ni mdomo wangu umechoka na spirit?
Rangi ya ndani tunda lake zipo za aina ngapi. Si ni mbili tu? Sasa Yale yalio na nyekundu ndani sijapata Radha mimiPapai kuna aina mingi na oia inatehemea unazilima wapi
Nenda google andika the red Giant pawpaw hili papai ni tamu kulki tena jekundu sana kwa ndani na lima mafasi (kashimo) kadogo sana wengine huita carina papaya kama sijakoseaRangi ya ndani tunda lake zipo za aina ngapi. Si ni mbili tu? Sasa Yale yalio na nyekundu ndani sijapata Radha mimi
Saana na yananukia vizuri mnoLeo nimekula Embe langu dodo la Asili aiseee tuendelee kutunza vya asili ni tamu na lina ya hatari😋
Ni tofauti na haya yaliojazana Sokoni . Ambayo ni ya miche mifupi?Nenda google andika the red Giant pawpaw hili papai ni tamu kulki tena jekundu sana kwa ndani na lima mafasi (kashimo) kadogo sana wengine huita carina papaya kama sijakosea
Kwa mbegu za kisasa wengi wana red royal (nadhani ndo unaisemea wewe)Ni tofauti na haya yaliojazana Sokoni . Ambayo ni ya miche mifupi?
Kuna la mbegu ya kienyeji ambalo ndani ni jekundu?Kwa mbegu za kisasa wengi wana red royal (nadhani ndo unaisemea wewe)
kuna malikia f1 nk
Haya sio matamu sana. ukipta nililo kuambia hutakuja kusahu kwanza ni kubwa sana yaani shape ni refu halafu ni gumu hata likidondoka halitepeti. Ndani kama nilivyosema pia mbegu ni chache sana ni kawaida kukuta mbegu si zaidi ya 20 ama zikazidi kulingana na ukubwa mengine unaweza usikute mbegu hata moja.
Kuna mbegu za kienyeji sema kwa sasa zimepotea papai kubwa halafu tamu mno na lina sifa zote
Ndio mkuu hata la nyumbani kwetu kwenye picha ni jekundu kiasi chakeKuna la mbegu ya kienyeji ambalo ndani ni jekundu?
Haya ya ksiasa huwa wanaita kuyaboresha hasa ku kizi soko lakini hawana jipyaKuna la mbegu ya kienyeji ambalo ndani ni jekundu?
Hass hiyo,inachelewa kuiva,ndio maana inasafirishwa nje .Vipelepele ni parachichi aina nyingi zina hiyo outside texture. Yaweza kuwa Hass,fuerte au Pinkerton
Bado hayajakomaa mpaka sasa?Nina mparachichi wa kisasa hapa kwangu (maparachichi yake yanakua kama na vipele vipele kwa nje) umezaa tangu mwaka jana ila matunda hayakomai zaidi ya mwaka sasa. Hata nikiyachuma hayaivi! Tatizo ni nini?