Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Afisa habari mkuu wa mabingwa mara 28 wa tanzania na mabingwa watarajiwa wa kombe la shirikisho Africa Ali kamwe amenukuriwa akiwataka Simba Kwa vile unapata ugumu kushinda mbele ya waarabu basi suluhisho limepatikana. wanatakiwa kujifunza Kwa yanga.
Nini Simba wafanye?
Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Kama itakuwa ngumu basi wasisite kumuomba professor nabi aje awape notes na madini jinsi ya kimfunga mwarabu especially mechi yenu na Raja.
NB: Simba tumieni chance hii, waarabu wanafungika.
Nini Simba wafanye?
Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Kama itakuwa ngumu basi wasisite kumuomba professor nabi aje awape notes na madini jinsi ya kimfunga mwarabu especially mechi yenu na Raja.
NB: Simba tumieni chance hii, waarabu wanafungika.