Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwashindwa Al Hilal ya Sudan hapoooo, leo atatuambia nn tenaaa??? KhaaaaaahMsije sema hatukuwaambia [emoji23]
Mkuu ili mpira uende lazima vitu hivi vitokeeSisi Simba tumeamua tucheze mpira na kusema kwa vitendo n kuachana na hizi comedy.
Uzuri huyo alieongea anajua dhahiri kabisa kama anachekesha ila kwasababu anajua mafuasi wa team yake ni watu wa aina gani basi anaamuankwa makusudi kujichetua.
Hakuna team siyo Tanzania bali East Africa hii yenye history ya "kuwakanda" waarabu kama Simba na hao waarabu wenye majina makubwa kwelikweli, Simba alishamvua bingwa mtetezi Zamalek, hapa kwa Mkapa alishawatamdika wengi mno hata hawahesabiki kwakweli kwa uchache tu, Ismailia, JS Soura, Berkane, Al Alhy na wengine wengi mno.
Siku zote asie na kitu ndy hujitutumua ili aonekane ana kitu. Maana sasa hv wanahangaika kutengenezea viji record uchwara ilimradi tu waonekane na wao wapo juu. Huwa najiuliza hii team wangechaguliwa kushiriki Super cup tungekunywa hata maji kweli?
Ijifunze kitu gani kwa hawa?Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Haka kajamaa kama vile kaliruka hatua fulani ya ukuaji wa mwili
Ukiwa Klabu Bingwa unaanzaje kukasirishwa na mtu wa shirikisho?Acha makasiriko
Haras El hodood alipiga Tano,Al ahly shandy alipiga Tano,Al ahly Cairo hizo Tano Tano hazihesabiki,achilia mbali enyimba kishatumbukiza goli 17 mkianiYani leo ndiyo amekuwa mshauri/mnasihi wa Simba?Anaifahamu Simba kuanzia mwaka gani?Anajielewa?Aache vichekesho.Ataua watu kwa kucheka.The comical Kamwe!
Anajadiliwa Kamwe hapa.Hizo tano-tano piga nazo picha uweke sebuleni kwa mjomba wako.Haras El hodood alipiga Tano,Al ahly shandy alipiga Tano,Al ahly Cairo hizo Tano Tano hazihesabiki,achilia mbali enyimba kishatumbukiza goli 17 mkiani
Piga picha wewe mkia uweke kwenye kidaniAnajadiliwa Kamwe hapa.Hizo tano-tano piga nazo picha uweke sebuleni kwa mjomba wako.
Sina shida nazo.Jadili sledi itakavyo na uache kuweweseka.Piga picha wewe mkia uweke kwenye kidani
Mm ni shabiki wa Simba ila kusema kweli tuna la kujifunza toka Yanga, sisi tumewafunga waarabu huku kwetu tu lkn hatujawahi kumfunga muarabu akiwa nyumbani kwao.Sisi Simba tumeamua tucheze mpira na kusema kwa vitendo n kuachana na hizi comedy.
Uzuri huyo alieongea anajua dhahiri kabisa kama anachekesha ila kwasababu anajua mafuasi wa team yake ni watu wa aina gani basi anaamuankwa makusudi kujichetua.
Hakuna team siyo Tanzania bali East Africa hii yenye history ya "kuwakanda" waarabu kama Simba na hao waarabu wenye majina makubwa kwelikweli, Simba alishamvua bingwa mtetezi Zamalek, hapa kwa Mkapa alishawatamdika wengi mno hata hawahesabiki kwakweli kwa uchache tu, Ismailia, JS Soura, Berkane, Al Alhy na wengine wengi mno.
Siku zote asie na kitu ndy hujitutumua ili aonekane ana kitu. Maana sasa hv wanahangaika kutengenezea viji record uchwara ilimradi tu waonekane na wao wapo juu. Huwa najiuliza hii team wangechaguliwa kushiriki Super cup tungekunywa hata maji kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi tungemfurusha yeye.Ibenge ni moto mwingine ww
Afisa habari mkuu wa mabingwa mara 28 wa tanzania na mabingwa watarajiwa wa kombe la shirikisho Africa Ali kamwe amenukuriwa akiwataka Simba Kwa vile unapata ugumu kushinda mbele ya waarabu basi suluhisho limepatikana. wanatakiwa kujifunza Kwa yanga.
Nini Simba wafanye?
Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Kama itakuwa ngumu basi wasisite kumuomba professor nabi aje awape notes na madini jinsi ya kimfunga mwarabu especially mechi yenu na Raja.
NB: Simba tumieni chance hii, waarabu wanafungika.