XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Sio kushinda tu, tulimvua ubingwa zamalek ya MisriMechi Gani Simba kashinda au draw ugenini Kwa warabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kushinda tu, tulimvua ubingwa zamalek ya MisriMechi Gani Simba kashinda au draw ugenini Kwa warabu
Mwambie awaulize Al ahaly kwa mkapa! Je Yanga angetoboa?Afisa habari mkuu wa mabingwa mara 28 wa tanzania na mabingwa watarajiwa wa kombe la shirikisho Africa Ali kamwe amenukuriwa akiwataka Simba Kwa vile unapata ugumu kushinda mbele ya waarabu basi suluhisho limepatikana. wanatakiwa kujifunza Kwa yanga.
Nini Simba wafanye?
Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Kama itakuwa ngumu basi wasisite kumuomba professor nabi aje awape notes na madini jinsi ya kimfunga mwarabu especially mechi yenu na Raja.
NB: Simba tumieni chance hii, waarabu wanafungika.
Bichwa kubwa mwili mdogo mpumbavu yuleAjitahidi kuzingatia kula apate mwili ushauri wake hauna nafasi kwetu
Mwarabu atakayecheza na Simba ni wydad au experience, Tanga alicheza na club African na monssti, sijuinkama msemaje anazijua vizuri rank za hii timu nne za kiarabAfisa habari mkuu wa mabingwa mara 28 wa tanzania na mabingwa watarajiwa wa kombe la shirikisho Africa Ali kamwe amenukuriwa akiwataka Simba Kwa vile unapata ugumu kushinda mbele ya waarabu basi suluhisho limepatikana. wanatakiwa kujifunza Kwa yanga.
Nini Simba wafanye?
Kwa kuwa muda umeisha Simba inabidi wa download mechi za Yanga alizocheza na waarabu then waingie class kupiga kitabu.
Kama itakuwa ngumu basi wasisite kumuomba professor nabi aje awape notes na madini jinsi ya kimfunga mwarabu especially mechi yenu na Raja.
NB: Simba tumieni chance hii, waarabu wanafungika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakuwa kashtuka nanna Raja walimaliza pakiti kwa Mkapa afu mnapaswa kuwafuta "geto".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamwee bhanaaa, anapenda kuwafanya utopoloo wawe mazuzu.
Simba ilishachapa waarabu tena wakubwa, Zamalek, Al Ahly, sasa yeye anaongelea waarabu wepii? Au koko wa kariakoo?
Mxxxxiiiiieeeew
Kweli jf kumejaa watoto wadogo simba ya kina kaseja ishafanya maajabu mara kibao kwenye ardhi ya mwarabu tena zamalek ilikuwa ya moto kweli kweli.Kwao vp lini mlishinda??
Wakati hajazaliwa Raja ilimfunga Yanga 6;0Huyo Kamwe amezaliwa mwaka gani?Anafurahisha sana.Huwa ndiyo anaandika hivyo?Furaha isiyo kifani kumfundisha mnyamwezi au mnyaturu kula mlenda.
Taifa raja alikufa 3....0Wakati hajazaliwa Raja ilimfunga Yanga 6;0
na wakaburuza mkia na ndo kipindi yanga ilikuwa inaonekana ina wachezaji wazoefu kama Anwar awadh, Sekilojo chambua,Bakari malima "jembe ulaya, silvatus Ibrahim polisi, nk waliambulia point 2 tuu
Utoto raha sana
Utoto raha sana.Umehadithiwa au sio?Mlitoa sare 2 sasa hiyo 3 😁 😁 bila imetoka wapi?Taifa raja alikufa 3....0