Lkn kumbuka kamwe alikuwa mchambuzi before.... So inawezekana Kuna weakness kaziona pale kwetu Wana simbaHuyo Kamwe amezaliwa mwaka gani?Anafurahisha sana.Huwa ndiyo anaandika hivyo?Furaha isiyo kifani kumfundisha mnyamwezi au mnyaturu kula mlenda.
Yani leo ndiyo amekuwa mshauri/mnasihi wa Simba?Anaifahamu Simba kuanzia mwaka gani?Anajielewa?Aache vichekesho.Ataua watu kwa kucheka.The comical Kamwe!Lkn kumbuka kamwe alikuwa mchambuzi before.... So inawezekana Kuna weakness kaziona pale kwetu Wana simba
Raja atafungika kirahisi mkitumia hyo mbinuMtakatifu Chama[emoji16][emoji116]
View attachment 2560073
Mkuu ....ukubwa wa umri siyo kigezo Cha kuyajua yote ......the world is changingYani leo ndiyo amekuwa mshauri/mnasihi wa Simba?Anaifahamu Simba kuanzia mwaka gani?Anajielewa?Aache vichekesho.Ataua watu kwa kucheka.The comical Kamwe!
Msije sema hatukuwaambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamwee bhanaaa, anapenda kuwafanya utopoloo wawe mazuzu.
Simba ilishachapa waarabu tena wakubwa, Zamalek, Al Ahly, sasa yeye anaongelea waarabu wepii? Au koko wa kariakoo??
Mxxxxiiiiieeeew
Kujua jambo kwa kuliona na kujulishwa kwa kusoma au simulizi ni mambo mawili tofauti.Zingatia.Mkuu ....ukubwa wa umri siyo kigezo Cha kuyajua yote ......the world is changing
Trh 31/03/2023Raja atafungika kirahisi mkitumia hyo mbinu
Uarabuni kutawaka Moto yaanThat's y katoa SoMo mapema mkuu