Kamwe: Simba ijifunze Kwa Yanga jinsi ya kumchapa Mwarabu

Mkuu ili mpira uende lazima vitu hivi vitokee
 
Aliwashindwa Al Hilal ya Sudan hapoooo, leo atatuambia nn tenaaa??? Khaaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ibenge ni moto mwingine ww
 
Kamwe kipindi Simba inawazabua Almereickh,Zamaleck,Al ahly,Ismailia alikua bado yupo kijijini anachunga ng'ombe,hajui masikini hajui kabisa msimlaumu.
 
Haras El hodood alipiga Tano,Al ahly shandy alipiga Tano,Al ahly Cairo hizo Tano Tano hazihesabiki,achilia mbali enyimba kishatumbukiza goli 17 mkiani
Anajadiliwa Kamwe hapa.Hizo tano-tano piga nazo picha uweke sebuleni kwa mjomba wako.
 
Mm ni shabiki wa Simba ila kusema kweli tuna la kujifunza toka Yanga, sisi tumewafunga waarabu huku kwetu tu lkn hatujawahi kumfunga muarabu akiwa nyumbani kwao.
 
Mm ni shabiki wa Simba ila kusema kweli tuna la kujifunza toka Yanga, sisi tumewafunga waarabu huku kwetu tu lkn hatujawahi kumfunga muarabu akiwa nyumbani kwao.
Mwanasimba unaejitambua
 

Wanaitwa Chura FC; na sifa ya Chura ni maji. Siku hiyo uwanja ulikuwa madimbwi

Pili waarabu haohao waliwafunga Yanga 2, kwenye Kiwanja cha carpet. Kwa hiyo ngoma droo;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…