Mambo ya kina Kabwili au sio
Ushamaliza ban yako mkuu??Sawa mkuu
Mda sana mkuu october ya jf ni fupi mnoUshamaliza ban yako mkuu??
Pole sana mkuu...Mda sana mkuu october ya jf ni fupi mno
Asante sana.Pole sana mkuu...
JF waelewa wanajua zile zilikua ngenga za watani
Hzi ni kelele za Vyura kama kawaidaMbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa Simba FC wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
β’ Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
β’ TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
β’ Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
[emoji115] CHUNGU LAKINI NI DAWA (UKWELI).
Hatuna bayaAsante sana.
wana jf wote mbinguni jumla kwa uelewa huo
Kama Inonga πHatuna baya
Kwanza kabisa niwapongeze watani Kwa ushindi wa derby......nilikosa mechi kutokana na safari ya USA.....
Kwanza kabisa niwapongeze watani Kwa ushindi wa derby......
Shushia maji ya bariiiidi kupooza maumivu Mtani [emoji1]Hzi ni kelele za Vyura kama kawaida
Miamba ya soka iko champions league
Hamjulikani kwny ramani..losers
π π π
Sijui kama junia atanielewa nikimueleza huyo golini aliitwa mdaka mishale.
na ile shilingi milioni moja (kama sijakosea) uliyoahidi umesamehewa pia?Asante sana.
wana jf wote mbinguni jumla kwa uelewa huo
Ipi hiyo? Sikuweka ahadi ya pesana ile shilingi milioni moja (kama sijakosea) uliyoahidi umesamehewa pia?
Ndo mnavyojifariji baada ya kukandwa na mume wenu mnyamaMbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa Simba FC wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
β’ Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
β’ TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
β’ Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
[emoji115] CHUNGU LAKINI NI DAWA (UKWELI).