TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Copy & paste toka kipindi mnyama anabeba kombe misimu minne mfululizo ushindi kombe lenu ilikuwa kumfunga simba tuu huku hamshiriki chochote kimataifa.Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa Simba FC wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
[emoji115] CHUNGU LAKINI NI DAWA (UKWELI).
Simba bado yupo kwenye mbio za ubingwa league, FA na CAFCC. Wacha kujitoa ufahamu uto.