Kamwe: Ushindi wa Simba ni sawa na ushindi wa mke wa Hakimi


Umesahau aliyefungwa magoli mengi 6, 5 4 na juzi 2.
 
Dah maiti wa Jumapili kafufuka.Mdomo na ngebe zimewaponza.Haji pamoja na uchizi wake kawaambia ukweli kwamba yeye huwa anajificha chooni mkishinda ndio anatokeza kushangilia. Juzi hata JF uliiona chungu.
Diarra mpaka sasa Haji anadai anaweweseka kwenye ndoto akisikia Kibu D basi anainuka na kubinuka.
 
Ila TULIWAKANDA.
 
Awapi mkuu ....tunabeba ubingwa ....no stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…