Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Hata ungekuwa nao 100 kwa wakati mmoja, lazima kuna mmoja tu ambaye jicho lako na moyo wako vitakuwa kwake na ndio huyo akikutenda sasa lazima utapetape kama mfa maji
Very true waweza kuwa nao 1000 Ila Kuna yule mmoja kwake hupumua na huyo akikuumiza utakoma
 
Yes brother na hapo ndipo nilipokosea

Yaani nilivyojifanya mzee wa kuomba msamaha

Mzeee wa upendo kumbe ndo nazidi kumpa moto wa kuniona mimi boya
Hahaha haya mambo jamani, we upo unaomba msamaha daily unakula blue ticks kesho huchoki upo tena, unajitahidi kujishusha kumbe unampandisha mwenzio ego zake anajikuta yeye ndiyo yeye.
 
Poa za kwako
Nzuri tu mamii.. nimehamu kulitomasa pindo lako!.. niyafute machozi yako mrembo,umenitia kiu cha kutaka kuyafariji majonzi yako!.. naomba usiwe mchoyo wa fadhira ikakushika hasira nikakukosa cariha!.. nataka niutangazie umma nimekupata mrembo usiekuwa na mapengo!,asiemtovu wa mienendo bali mkarimu wa matendo na mpole kwa upendo..

Wasemaje mpenzi..😉
 
Nzuri tu mamii.. nimehamu kulitomasa pindo lako!.. niyafute machozi yako mrembo,umenitia kiu cha kutaka kuyafariji majonzi yako!.. naomba usiwe mchoyo wa fadhira ikakushika hasira nikakukosa cariha!.. nataka niutangazie umma nimekupata mrembo usiekuwa na mapengo!,asiemtovu wa mienendo bali mkarimu wa matendo na mpole kwa upendo..

Wasemaje mpenzi..[emoji6]
Hahaaa jamani haya maneno matamu yamenipa Hadi usingizi na nikasinzia kabisa
 
Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho

Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..

Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]

Mfyuu zake sio zetu [emoji51]
 
Hahaaa jamani haya maneno matamu yamenipa Hadi usingizi na nikasinzia kabisa
Ndio unipe nafasi ili nikutoe kashkash.. sema ndio nikufute kilio mrembo.. kwako nitatulia utasahau kulia!
Nalitaka neno lako ili niyaenzi mapenzi yako, na hakika sintotoka kwako nitakiapa na kiapo..

Sema Basi mama..
 
Mimi kwa kwelii kipindi mwanamke wangu kuna mambo matatu nilikuwa najitahidi kuyafanya ili nisimpoteze mpenzi wangu

1.Nilijitahidi sana kufanya mambo yote anayoyataka yeye ili moyo wake uridhike

2.Nilijitahidi kuonyesha moyo wangu unampenda Nilijitoa kwake ili nisimpoteze

3.Nikimkosea kidogo najitahidi kuomba msamaha

Ila mwisho wa game nilianza kujiona mjinga kwani dharau zilizidi hatari ilifikia hatua hata mimi na yeye kuongozana barabarani njia moja hataki kila mtu atembee kivyake kama hatujuani

Siku ambayo nakuja kufanya maamuzi magumu ya kuanza kujitoa kwenye penzi lake ni baada ya kupewa story chini ya kapeti mwanamke wangu anatafuta Chumba ajee kuhama kimya kimya hapo ndo nilipogundua sipedwiiiii

Huko sio kupenda ni ubwege..

Sema kila mwanaume huwa anapitia hiyo hali, usirudie tena huo ufala
 
Ndio unipe nafasi ili nikutoe kashkash.. sema ndio nikufute kilio mrembo.. kwako nitatulia utasahau kulia!
Nalitaka neno lako ili niyaenzi mapenzi yako, na hakika sintotoka kwako nitakiapa na kiapo..

Sema Basi mama..
[emoji23][emoji23][emoji23] Yani wewe kenzy
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Yani wewe kenzy
Nalisubiri jibu lako ili niuhamishie Moyo wangu kwako.. we ndo mwenye funguo ya furaha ndani mwako.. niruhusu nije kwako nikupe utakacho.. uamuzi upo kwako wa kuijaza furaha ndani kwako..😉

Mi ntakusubiri hata ukitia shubiri Tena ntakulinda kwa siri ila tu kipenzi usiwe mkatili..
 
Nalisubiri jibu lako ili niuhamishie Moyo wangu kwako.. we ndo mwenye funguo ya furaha ndani mwako.. niruhusu nije kwako nikupe utakacho.. uamuzi upo kwako wa kuijaza furaha ndani kwako..[emoji6]

Mi ntakusubiri hata ukitia shubiri Tena ntakulinda kwa siri ila tu kipenzi usiwe mkatili..
[emoji23][emoji23][emoji23]nimependa shairi lako
 
Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho

Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..

Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]
Hahahahah kwahio kumbe wewe hata mwanaume asiye na hela unadate nae tu huna shida? 😂😂😂

Maana wengi humu wanajifanyaga wana date ma meneja, Wakurugenzi na wafanyabiashara wakubwa tu.
 
Sasa hapo ndiyo umekuwa kidume. Nishayapitia majaribu kama yako, kiukweli yanaumiza. Mwanamke akikuchoka huwa anadharau sana, utafanyiwa kila visa ili mradi akuumize moyo ili umuache. Baada ya kufanyiwa visa vilivyoenda shule ilibidi nimuache kimya kimya. Ila namshukuru sana maana kama alinitoa kwenye usingizi wa mapenzi na kupenda mwanamke
Kwasasa nina moyo mgumu na pia mapenzi nayachukulia kitu cha kawaida sana. Imepita miaka 3 tangu nimuache 2017/8/22 ila mwezi wa 9 amenipigia simu nikaongea naye dk32 baada ya kumtafuta kupitia kwa mama yake. Niliongea naye vizuri utafikiri bado tupo wapenzi mpaka sasa, amenichumu kupitia simu. Bado hajaolewa na inaonesha amenimiss sana na hata nikihitaji mchezo 100% atanipa. Sina chuki naye hata akihitaji msaada nitamsaidia
Kiukweli nilimpenda sana zaidi ya sana. Ilifika mpaka hatua kosa anafanya yeye lakini nilikuwa naomba msamaha mimi. Mapenzi ni ujinga kiwango cha PHD
Nimepona kwa kweliiii
 
Ukipenda usitegemee chochote kutoka kwa unaempenda.

Mwanamke hawezi muache mwanaume anaempenda never penGine sisi tunachukua pisi za watu at the end. Tunaanza kulialia

Kuna member alishawahi changia kitu kwenye uzi fulani . Komment yake ilisema hivi÷

Kwenye mapenzi kinachopewa kipaumbele ni vitu gani umefanya ? hasa kwa mwanamke , kama ulikuwa unatoa huduma fresh kwa "SHE" basi wewe kausha tu one day utaona anarudisha matak♡ yake trust me
 
Back
Top Bottom