Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Hili la kuwaza kwa pamoja sijui huwa kuna connection gani tu mkipendana, yani unasikia moyo unafurukuta kutaka kumtafuta fulani lakin kbl haujafanya unashitukia simu inainga[emoji1].

Hii huwa inakuja pale mkiependa sana na kuendana kwa kila kitu, nashuru Mungu nipo nae mpaka sasa na yeye ndie aliyeoza vibaya kwangu. Nampenda sana.
Hiyo ipo ki - spiritual zaidi sio lazima awe mpenzi , inasadikika kwamba roho huwa zinafanya connection
 
Jibu rahisi ni kwamba,
Mademu wana options nyingi ambapo mwanaume wa kawaida hana, mwanamke kupata mwanaume ni rahisi lakini kwa mwanaume kupata demu hasa demu anayemtaka ni ishu, kwa maana ni lazima huyo demu akubali kwanza, ...
Nmependa hpo ulipoutambua uwepo wa wanaume wenye vipaji maalum[emoji2]
 
Mimi na ubahili wangu huu wa kipare mwanamke anaekula pesa yangu anapata wapi ujasiri wa kunifoke nitafute pesa kwa shida wewe kula pesa tu nikubembeleze ukiona mapicha picha piga chini tafuta mwanamke mwingine atakae kula pesa yako kwa adabu
 
Nilichogundua sisi wanaume tunaolalamika kuumizwa ni kwamba tunakosea sehemu moja

Tukipedwa na wanawake huwa tunajisahau sana tuwaamini sana watoto wa kike lakini siku wakitubalikia tunajifanya tunambeleza tunaomba msamaha mwisho wa siku nothing changes

Ni maumivu tuu
Wengine wana mashetani eg me alekuwa mchumba angu baada ya kukamilisha taratibu zote alinibadilkia ghafla nilienda kwa wazazi wake na kwa nduguze karibu wote wale muhimu yaani ankos shangazis brothers friends lakini alikaidi kabisa na akawa hanitaki yaani hapo nimemfungulia biashara hela kwenye akaunti siyo nyingi ila kwa kiasi flani zinatosha lakini wapi.

Ghafla akaolewa na mtu mwingine jamani maumivu yale yasije rudi tena nilipoona hivyo nikapiga moyo konde nikatulia kama mwaka hivi akarejeshwa nyumbani tabia mbofu cha ajabu akaja kwangu ati yupo tayari kurudiana na mimi shetani tu alipita nilimlia wa mbuzi sikumjibu hata kumwangali nikafunga mlango wa nyumba nikasepa.
Kesho yake akaja na shangazi yake na rafiki akke flani ati wamwkuja kumwombea msamaha kuwa turudiane kwani tulikuwa tunapendana kweli kweli sikuongea nao chochote wakaongea muda wote sijibu siitikii wala sitikisi kichwa.

Baadaye nikapata mdada mwingine nikaoa hadi leo ninae plus three children sasa yeye kila akiolewa hamalizi miezi sita anapigwa talaka na taarifa zilizopo keshaolewa na watu 7.
 
Aisee mm kabla ya kuoa nilikiwa na mwanamke alinipenda sana japo mm nilikuwa simpendi nilimfanyia kila aina ya visa ili aniache lkn yule mwanamke alikuwa hayupo tayari kuachana na mm nilimtukana matusi ya kila aina lakini wapi akutaka achana na mimi yule dada alinipenda mno niliahama mji apo ndo nilifanikiwa kuachana nae ila baada ya miaka 15 alikuja kunitafuta nikamwambia ninamke nawatoto 7 aisee akuhamini bado akawa anaendelea nipenda tuu yy kwa sasa ana mtoto mmoja tuu kiukweli kuna wanawake wanapenda bhana ukibahatika kuwapata sema ndo ivo kila mtu na moyo wake.

Now tuna mahusiano ila ya kuficha sana mana namuheshimu wife wangu akijua kama nachepuka pia nae ajaolewa kiukweli ananipenda sana... ningekuwa muislam ningemuoa mke wa pili ila sema mm mkeistu ndo basi tena uwa nsmuombea apate mume amuoe siku akija kuolewa nitafurahi sana aiseee ila all in all huyu mwanamke kuniacha ni ishu awezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine wana mashetani eg me alekuwa mchumba angu baada ya kukamilisha taratibu zote alinibadilkia ghafla nilienda kwa wazazi wake na kwa nduguze karibu wote wale muhimu yaani ankos shangazis brothers friends lakini alikaidi kabisa na akawa hanitaki yaani hapo nimemfungulia biashara hela kwenye akaunti siyo nyingi ila kwa kiasi flani zinatosha lakini wapi.

Ghafla akaolewa na mtu mwingine jamani maumivu yale yasije rudi tena nilipoona hivyo nikapiga moyo konde nikatulia kama mwaka hivi akarejeshwa nyumbani tabia mbofu cha ajabu akaja kwangu ati yupo tayari kurudiana na mimi shetani tu alipita nilimlia wa mbuzi sikumjibu hata kumwangali nikafunga mlango wa nyumba nikasepa.
Kesho yake akaja na shangazi yake na rafiki akke flani ati wamwkuja kumwombea msamaha kuwa turudiane kwani tulikuwa tunapendana kweli kweli sikuongea nao chochote wakaongea muda wote sijibu siitikii wala sitikisi kichwa.

Baadaye nikapata mdada mwingine nikaoa hadi leo ninae plus three children sasa yeye kila akiolewa hamalizi miezi sita anapigwa talaka na taarifa zilizopo keshaolewa na watu 7.
Huyo ana mapepo aiseee
 
Kuna mmoja aliniletea hizo piga nijampigia simu nikamuambia sikutaki tena akanijibu poa . Baada ya mwezi akanitafuta tena eti nimsamehe nikamblock
 
Ngoma bado mbichi,,, ndio kwanza Safari inaanza,, abiria hakikisheni mmechimba dawa...

Mapenzi ni ugonjwa wa akili,,,,nikisoma Comment humu wengi wanazungumzia kupona,, na ili upone means ulikuwa unaumwa...

Kwenye Maisha,, nadharia/Stori za kusadikika za mitandaoni huwa ni tofauti sana na uhalisia wa maisha... Vitu wanavyoaminishwa watu kuwa vikifanyika ndio mapenzi huwa ni tofauti sana na uhalisia ndio maana Wazungu walipokutana na wahaya wakasema "Nice guys finish last"

Mwanaume Jipende,, usiruhusu hisia zikuendeshe,, Wote mlioumizwa nafikiri sasa mmejua hili,, Wewe kwanza, wengine baadae...
 
Kuna muda naona kabisa akili yangu iko sahihi ila mpaka leo sijui kwanini nasikiliza moyo wangu zaidi.Nadhani muda mwingine sio Kama hatujui kuhusu hawa viumbe ila unakuta una sababu 99 za kumuacha lakini bado unatafuta 1 tu ya kubaki nae.
Binafsi ningekuwa natumia akili pekee kuamua masuala yote yanayonihusu,hasa mapenzi nisingewahi umia hata.
Yes mkuu Akili inanguvu kubwa sana katika kupambanua mambo na kutuepusha na majanga ya aina mbalimbali.
 
Hivi mbona tunaolalamika sana kuachwa ni sisi me..?
Wanawake tumewakosea nini..?
Na hii hali itaisha lini..?

Mtafanya nimuamini moja ya mwanasaikolojia alienena kuwa wanaume tupo sensitive sana na mapenzi japo tunajifanyaga makauzu ila hapo tumeshikika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mwendo was kuachwa tyuuuh


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Naandika wosia huu kwa vijana wenzangu baada ya kupona maumivu ya kuachana na mwanamke niliempenda sana miezi kadhaa iliyopitaa ila kitu nilichojifunza mwanamke akionekana ameonesha dalili hakuhitaji tena.

Mwanamke akifikia hatua amekubadilikia na akaonesha dalili za kutaka kuachana na wewe ni bora ukubali matokeo mapema kabla haujafikia hatua ya suffering na stress kwani maumivu yake ni makali zaidi ukiwa ndani ya uhusiano kuliko njee ya uhusiano

Mwanamke akiwa hakuhitaji tena penzi utaliona chungu, dharau kibao, utaishi kwa stress huku ukijiwazia huyu kapata mwingine nini kwani atakutesa mnoo, kitu kidogo ugomvi, maneno.

Ushauri wangu kwa vijana chonde chonde ukiona mabadiliko ya kitabia kwa mwanamke wako ambayo huyaelewi elewi zungumza nae ukiona haelekei kaa nae mbali, ikiwezekana mapema mnoo funga ukurasa kila mtu Asepe na maisha yake, nina mengi ya kusema.
Huu ushauri ni wa kabla au baada ya ndoa.!??
 
Back
Top Bottom