Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Nina mwanamke nimedumu nae kwa miaka 3 sasa na katikati hapo tulikuwa kwenye penzi zito sana. Ndani ya 2022 kuanzia mwezi wa 3 ameamua kufunga vioo nami nikafunga vioo tena na kuniblock kabisa ili nisiwe namsumbua. Akijua nitaumia sana [emoji28] ajabu yeye ndio anarudi tena kulalamika aisee mbona sikuelewi unajua nina hasira na wewe ndio maana unaona hivyo. Nikamjibu wewe endelea na jamaa yako wala sina habari unanitafuta baada ya jamaa kusafiri ili nikusaidie nini?
 
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia

Nimesoma comments zote ila hii imenibd ni reply. Bro nakazia KUJITENGA NA MTU UNAYEMPENDA NI ZAID YA MAUMIVU UNAYOWEZA KUHADITHIA.

Nimejifunza kumsahau na kuishi bila ya yeye n she still knw that kuwa nampenda na naumia kumuona akiwa n mwanaume mwengn haikuw rahisi kuacha hata kumjulia hali yule kiumbe thanks god nimejifunza more than one year nw n still haikuwah rahs kupita siku bila kutaja jina lake. Mungu akubariki huko ulipo n nimekusameh kwa moyo wng wote. [emoji28]

Na umenifanya nije na uzi kumuacha mwnamke aliyenipenda kwa dhati. Bado sijakutana wakufanana n ww mbwaaa. [emoji23]
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Comment yako nzito Sana hii, yaani Unajikuta wewe mwenyewe unajipa mgogoro wa nafsi akili inakuambia fanya Mambo yako at the same time moyo unakuambia I still Loving her ,
Hapo yatakiwa ujitahidi kuushinda moyo always Moyo sifa yake kuu Ni kutuingiza matatizoni ukiendekeza hisia tu umekwisha
Fanya maamuzi magumu kwa kutumia ubongo.
Kumbuka ubongo hauna nyama tofauti na moyo wenye damu na nyama.
 
Fanya maamuzi magumu kwa kutumia ubongo.
Kumbuka ubongo hauna nyama tofauti na moyo wenye damu na nyama.
Raha ya kuishi kwa amani baada ya kuachana na X wako ni kumfanya kuwa rafiki kwa muda.
ukiliwezq hilo moyo wa kupenda penda Mitoto ya watu inakupungua km si kukutokA.maisha yenyewe mafupi mno,tusileteane makwazo kwa kweli
 
Only legends will understand [emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
 
Hivi mbona tunaolalamika sana kuachwa ni sisi me..?
Wanawake tumewakosea nini..?
Na hii hali itaisha lini..?

Mtafanya nimuamini moja ya mwanasaikolojia alienena kuwa wanaume tupo sensitive sana na mapenzi japo tunajifanyaga makauzu ila hapo tumeshikika!

Ukauzu wetu wanaume,ndo udhaifu wetu mkuu,ni kama umeumia afu hutaki kuonekana unalia lia ila moyoni unajua unavuja damu.
 
Wengine wana mashetani eg me alekuwa mchumba angu baada ya kukamilisha taratibu zote alinibadilkia ghafla nilienda kwa wazazi wake na kwa nduguze karibu wote wale muhimu yaani ankos shangazis brothers friends lakini alikaidi kabisa na akawa hanitaki yaani hapo nimemfungulia biashara hela kwenye akaunti siyo nyingi ila kwa kiasi flani zinatosha lakini wapi.

Ghafla akaolewa na mtu mwingine jamani maumivu yale yasije rudi tena nilipoona hivyo nikapiga moyo konde nikatulia kama mwaka hivi akarejeshwa nyumbani tabia mbofu cha ajabu akaja kwangu ati yupo tayari kurudiana na mimi shetani tu alipita nilimlia wa mbuzi sikumjibu hata kumwangali nikafunga mlango wa nyumba nikasepa.
Kesho yake akaja na shangazi yake na rafiki akke flani ati wamwkuja kumwombea msamaha kuwa turudiane kwani tulikuwa tunapendana kweli kweli sikuongea nao chochote wakaongea muda wote sijibu siitikii wala sitikisi kichwa.

Baadaye nikapata mdada mwingine nikaoa hadi leo ninae plus three children sasa yeye kila akiolewa hamalizi miezi sita anapigwa talaka na taarifa zilizopo keshaolewa na watu 7.
Hiyo mbussusu sii ilishaku mlepweto 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilichogundua sisi wanaume tunaolalamika kuumizwa ni kwamba tunakosea sehemu moja

Tukipedwa na wanawake huwa tunajisahau sana tuwaamini sana watoto wa kike lakini siku wakitubalikia tunajifanya tunambeleza tunaomba msamaha mwisho wa siku nothing changes

Ni maumivu tuu

Mkuu mi huwa naamini kitu kimojakwenye mahusiano nmejiwekea notion kuwa hata kama now ananipenda iko siku atabadilika tu,so huwa namtumia tu kuhusu mapenzi HAPANA.
 
Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho

Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..

Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]
Kha roho mbaya nyie wananwake...sasa akiwa anagegeda nje huko na unajua sii umuache tuu wee usepe zako.
 
ukijipenda kwanza kabla yakupenda mwengine, alafu ukitambua kila mtu ana mama yake na zaliwa mwenyewe na utazikwa mwenyewe sidhanikama itakuumiza kichwa. usipende kumtegemea mwanadamu utaangamia juaa kila mtu ni temporary hata mama hufariki pengine na maisha yakaendelea
 
Nina mwanamke nimedumu nae kwa miaka 3 sasa na katikati hapo tulikuwa kwenye penzi zito sana. Ndani ya 2022 kuanzia mwezi wa 3 ameamua kufunga vioo nami nikafunga vioo tena na kuniblock kabisa ili nisiwe namsumbua. Akijua nitaumia sana [emoji28] ajabu yeye ndio anarudi tena kulalamika aisee mbona sikuelewi unajua nina hasira na wewe ndio maana unaona hivyo. Nikamjibu wewe endelea na jamaa yako wala sina habari unanitafuta baada ya jamaa kusafiri ili nikusaidie nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungekulaa alafu kimyaaa
 
Nimesoma comments zote ila hii imenibd ni reply. Bro nakazia KUJITENGA NA MTU UNAYEMPENDA NI ZAID YA MAUMIVU UNAYOWEZA KUHADITHIA.

Nimejifunza kumsahau na kuishi bila ya yeye n she still knw that kuwa nampenda na naumia kumuona akiwa n mwanaume mwengn haikuw rahisi kuacha hata kumjulia hali yule kiumbe thanks god nimejifunza more than one year nw n still haikuwah rahs kupita siku bila kutaja jina lake. Mungu akubariki huko ulipo n nimekusameh kwa moyo wng wote. [emoji28]

Na umenifanya nije na uzi kumuacha mwnamke aliyenipenda kwa dhati. Bado sijakutana wakufanana n ww mbwaaa. [emoji23]
Nilikuwa na mmoja alinishika sana akili na mwili tukio la kwanza akadanganywa na mchungaji wake mchungaji kanipigia cm anadai n mke wake baada ya muda akaomba msamaha tukio la pili akarudi tena kwa mchungaji wake then akaomba msamaha nikampokea hapo tulikuwa mapenzi tu hatukai pamoja.nikamfungulia biashara baada ya kuanza kukaa pamoja akashindwa kuendesha kwa kwa siri akatafuta chumba lkn tukaliongea likaisha

Nikaanza kumtoa akilini kumbe alishakuwa na ujauzito wangu wakati huohuo na mm nilishaanza kuwa na mbadala wake ambaye pia alikuwa mjamzito.Walipojuana ukaanza ugomvi kati yao sasa nyumban tulipopanga kukawa hakuna hakuna Amani ugomvi wa mara kwa mara. Tumepigana Mara tatu hadi nikaona sasa tutafanyiana ubaya nikaona nimwachie baadhi vitu alipokuwa nmesafr niendeleze maisha na mbadala wake

Natunga tu mtoto sasa maisha yanasonga nipo na mbadala wake ambaye yupo vzr kuchwani sana kichwani
 
Mimi kwa kwelii kipindi mwanamke wangu kuna mambo matatu nilikuwa najitahidi kuyafanya ili nisimpoteze mpenzi wangu

1. Nilijitahidi sana kufanya mambo yote anayoyataka yeye ili moyo wake uridhike

2. Nilijitahidi kuonyesha moyo wangu unampenda, nilijitoa kwake ili nisimpoteze

3. Nikimkosea kidogo najitahidi kuomba msamaha

Ila mwisho wa game nilianza kujiona mjinga kwani dharau zilizidi hatari ilifikia hatua hata mimi na yeye kuongozana barabarani njia moja hataki kila mtu atembee kivyake kama hatujuani.

Siku ambayo nakuja kufanya maamuzi magumu ya kuanza kujitoa kwenye penzi lake ni baada ya kupewa story chini ya kapeti mwanamke wangu anatafuta Chumba ajee kuhama kimya kimya hapo ndo nilipogundua sipedwiiiii
I can feel your pain mkuu
 
Naandika wosia huu kwa vijana wenzangu baada ya kupona maumivu ya kuachana na mwanamke niliempenda sana miezi kadhaa iliyopitaa ila kitu nilichojifunza mwanamke akionekana ameonesha dalili hakuhitaji tena.

Mwanamke akifikia hatua amekubadilikia na akaonesha dalili za kutaka kuachana na wewe ni bora ukubali matokeo mapema kabla haujafikia hatua ya suffering na stress kwani maumivu yake ni makali zaidi ukiwa ndani ya uhusiano kuliko njee ya uhusiano

Mwanamke akiwa hakuhitaji tena penzi utaliona chungu, dharau kibao, utaishi kwa stress huku ukijiwazia huyu kapata mwingine nini kwani atakutesa mnoo, kitu kidogo ugomvi, maneno.

Ushauri wangu kwa vijana chonde chonde ukiona mabadiliko ya kitabia kwa mwanamke wako ambayo huyaelewi elewi zungumza nae ukiona haelekei kaa nae mbali, ikiwezekana mapema mnoo funga ukurasa kila mtu Asepe na maisha yake, nina mengi ya kusema.
Inaweza kuwa kweli
 
Back
Top Bottom