Kamwe! Usikate tamaa!

Kamwe! Usikate tamaa!

Nilifikiri calculator yangu mbovu inanidanganya [emoji23][emoji23][emoji23]. Japo anadai walimuongezea huo mshahara kidogo ila nilipiga hesabu kidogo kwa mwezi wanasave;

50,000+35,000=85,000 ×28=2,380,000 aisee kuna watu wana bahati zao kwa kweli.
Mkuu ni Mungu tu hata siyo uwezo wetu.

Ila Kuna broo anasave 150,,000 kwa siku na bado ni WA kawaida Wala huwezi mdhania
 
Kinachokufanya usianini ni nini?
Story yako haina mpangilio
Kwanza hujasema huo mji uliokwenda ni mji gani?
Hujataja biashara gani.

Umekuja kukimbilia kusema unasevu hela kiasi flani hujaeleza matumizi ni kiasi gani ( operation costs) huwezi tu ukawa unasave pesa.

Kwenye story yako uliandika unafanya kazi na biashara nilipokuhoji unawezaje kujigawa ndipo ukaja na version nyingine kwamba unakijana wa kazi.

Haujataja bidhaaa unazouza na najua huwezi kuzitaja manake ni uongo
Mwisho acha kudanganya kifala fala
 
Mtu anayetaka ufafanuzi Mimi ni muwazi nitamfafanulia

Pengine akitaka nitampa Hadi location ili tu ajiridhishe,

Kwanini haujatoa ufafanuzi mapema kama sio chai?
Umetunga story moja ya hovyo Mimi naomba nitumie picha tu duka lako lilivyo Kwa ndani
 
Sasa bosi unasave fifte na waifu thete faivu pa dei na bado unakomaa na mshahara wa laki kwanini usielekeze nguvu zako huko kwenye biashara yako? Eniwei, asante kwa chapisho lako.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu[emoji50]‍[emoji100][emoji42]

Its too good to be true, hivi motivational za hovyo kabisa:

FB_IMG_1677556854945.jpg
 
Mtu anayetaka ufafanuzi Mimi ni muwazi nitamfafanulia

Pengine akitaka nitampa Hadi location ili tu ajiridhishe,
Usifanye hivyo.

Hakuna faida ya kufanya hivyo

Mitandaoni humu huwezi kumridhisha kila mtu. Maadam wewe unajua kuwa stori yako ni ya kweli basi yatosha. Atakayepata cho chote cha kujifunza kutoka kwayo atafanya hivyo.

Wewe endelea kupambana mpaka siku moja huyo boya aliyekutelekeza stendi akikuona aone aibu!
 
Story yako haina mpangilio
Kwanza hujasema huo mji uliokwenda ni mji gani?
Hujataja biashara gani.
Umekuja kukimbilia kusema unasevu hela kiasi flani hujaeleza matumizi ni kiasi gani ( operation costs) huwezi tu ukawa unasave pesa.
Kwenye story yako uliandika unafanya kazi na biashara nilipokuhoji unawezaje kujigawa ndipo ukaja na version nyingine kwamba unakijana wa kazi.
Haujataja bidhaaa unazouza na najua huwezi kuzitaja manake ni uongo
Mwisho acha kudanganya kifala fala
Kuna mawili
1,kuamini
2, kupuuza,

Kwa hiyo
Ulitaka niweka data zote hapa kuanzia mji nilipo, kazi nayo fanya oparation coast ,ili muamini?
Hapana lengo langu siyo Hilo,
Lengo langu ni kuwatia moyo wale wenye kipato kidogo wasiache kazi ili wajiajiri Bali wajiajiri wakiwa kazini
 
Usifanye hivyo.

Hakuna faida ya kufanya hivyo

Mitandaoni humu huwezi kumridhisha kila mtu. Maadam wewe unajua kuwa stori yako ni ya kweli basi yatosha. Atakayepata cho chote cha kujifunza kutoka kwayo atafanya hivyo.

Wewe endelea kupambana mpaka siku moja huyo boya aliyekutelekeza stendi akikuona aone aibu!
Asante sana mkuu!!!
 
Usifanye hivyo.

Hakuna faida ya kufanya hivyo

Mitandaoni humu huwezi kumridhisha kila mtu. Maadam wewe unajua kuwa stori yako ni ya kweli basi yatosha. Atakayepata cho chote cha kujifunza kutoka kwayo atafanya hivyo.

Wewe endelea kupambana mpaka siku moja huyo boya aliyekutelekeza stendi akikuona aone aibu!
Tunajifunza kwa mifano halisia acha tantalila
 
Mimi hapa,ningependa ushee na sisi hiyo biashara na namna unasave
Nitashea kidogo tu
Niko katika eneo lenye baa, migahawa mingi, na majiko mengi ya kupikia na kuchoma kitimoto, pamoja na maeneo ya kuuza pombe na sigara. Eneo hili ni la shughuli nyingi sana, hasa wakati wa usiku.

Biashara yangu ni kuuza mahitaji yote ya jikoni, kama vile karatasi za aluminiamu, viungo vya jikoni kama vile sosu ya soya na viungo vingine, vinywaji baridi, pombe, sigara, gasi, voucha, nafaka, sabuni, na vifungashio vya plastiki na karatasi. Ninapokea malipo ya kifedha na pia ninanunua mafuta ya alizeti na kuuza kwa Lita 1 au nusu Lita.

Kwa sababu niko katika eneo ambalo wauzaji wengine wanauza kwa bei kubwa, mimi huwa ninauza kwa bei nafuu kidogo. Kwa kuuza vitu hivyo, ninapata faida ya asilimia 30% au zaidi, isipokuwa kwa mauzo ya gasi na voucha ambapo faida yangu ni ndogo kidogo. Ninaweka sehemu ya faida kando ili kuendeleza biashara yangu.
 
Nitashea kidogo tu
Nipo eneo lenye pub na migahawa, mingi bar na majiko mengi ya choma choma naya kitimoto pia ni eneo lililo changamka sana hasa nyakati za usiku,

Nachofanya
Nauza mahitaji yote ya Yale majiko kama
Aluminum foil zote
Viungo vyote vya jikoni mfano soy sauce zote, masala zote, vifungashio vyote,
Pombe na wine kias
Vinywaji baridi vyote
Sigara zote
Gas aina zote
Voucha aina zote
Nafaka, sabuni aina zote mifuko na bahasha saizi zote,
Miamala ya kifedha nk nanunua mafuta ya alizeti nanunua vifungashio napima Lita 1 au nusu Lita
Kwa kuwa nipo location siuzi ghali nauza Lita 4500 huku wengine wakiuza 5000 hivyo wateja wanakuja!

Kwenye uhalisia

Vitu vyote nilivyovitaja hapo vina FAIDA ya 30% au Zaid ukitoa vocha na gas tu!
Nachofanya natoa sehemu ya FAIDA tu nyingine naiacha iendelee kukuza biashara
Nimekusoma! AHSANTE
 
Kwa kuongeza tu, ili kupata faida katika biashara hii, ni muhimu kutafuta vyanzo vya bidhaa kwa bei rahisi. Kwa mfano, unaweza kupata soy sauce dark kwa bei ya jumla ya 125,000 badala ya bei ya maduka mengi ya 145,000 kwa carton. Vilevile, Mama Sita inauzwa kwa 218,000 badala ya bei ya kawaida ya 232,000.

Kuna bidhaa nyingine nyingi ambazo zinaweza kupatikana kwa bei rahisi kwa kutafuta katika machimbo. Kwa kuongezea, ninauza wine na spirit kwa bei rahisi kuliko bar, ambayo inavutia wateja wengi kuja kununua kwangu kuliko bar hasa wakati wa usiku
 
Kuna mawili
1,kuamini
2, kupuuza,

Kwa hiyo
Ulitaka niweka data zote hapa kuanzia mji nilipo, kazi nayo fanya oparation coast ,ili muamini?
Hapana lengo langu siyo Hilo,
Lengo langu ni kuwatia moyo wale wenye kipato kidogo wasiache kazi ili wajiajiri Bali wajiajiri wakiwa kazini
wewe ni wa ku puuza kwani unaeleza vitu ambavyo sio vya kiuhalisia , kadanganye wajingawajinga wenzako pumbavu mkubwa wewe.
Sasa kwa hiyo story yako ambayo hata haieleweki unafikiria utamtia moyo nani. Halafu sijui watu wengine kichwani kwenu kuna matope na sio ubongo.
Unatumia muda mwingi kuandika upumbavu ambao haueleweki halafu unasema eti unawatia moyo watu.
You are rubbish
 
Naomba usome kidogo!!!

Hii ni real siyo utani!
Mimi ni kijana wa miaka 32
Mnamo mwaka 2014 nilitoka nyumbani rasmi kuja mjini kutafuta maisha, Niliaga vizuri wazazi wangu nikawaahidi kuwa naenda mjini na nitapokelewa na rafiki yangu na ndie nitakayeishi nae.

Nilifika mjini na begi yangu ndogo iliyoandikwa "unibest". Baada ya kufika mjini mwenyeji wangu alinitelekeza stand bila kosa Wala huruma.

Nilimpigia mara kadhaa Ila hakupokea simu mwishowe ikazimwa, Nilikaa stand Hadi saa sita usiku nikiwa na matumaini labda atanipigia au kunifuata.

Muda ulienda hakutokea nikapata wazo la kutafuta rafiki yangu mwingine ambae nilisoma naye shule ya msingi akinitangulia madarasa 2 mbele. Nilimueleza kisa chote, akanipa pole na akaahidi atakuja kunichukua stend alikuwa anafanya kazi ya kuchoma nyama hivyo alikuja kunichukua saa nane usiku.

Nilifurahi na nilishukuru sana nilikaa nae kwa muda nikawa natafuta kazi kwa bidii, nilipata kazi ya mshahara mdogo sana ya 100,000 kwa mwezi sikujali, sikuangalia nimesoma au sikusoma nilipambana nayo. Nilifanya kazi mithili ya mchwa, nilitaka chochunga nisimuaribie mtu kazi kutokana na bidii yangu, "nisiwe chawa wa boss" Nilibahatika kuongezewa mshahara kidogo.

Nikafanya miezi 8 nikafungua biashara yangu ndogo nilikuwa nasave 5000 kila siku Bora nisile, baada ya muda huku nikiendelea na kazi yangu ile ile ya mwanzo biashara yangu ilizidi kupata kibali ikakua kadri siku zinavyozidi kwenda, nilifanikiwa kusave 12,000 kwa siku nikichangaya na mshahara nikawa kwa mwezi Nina kitu kama laki 5. Sikukata tamaa Wala kubweteka, niliendelea na kazi kwa bidii ile ile tena kwa nidhamu ya juu.

Nilipata dada mmoja aliyekuwa akifanya kazi za ndani Ila alikuwa akipitia manyanyaso sana alikuwa akilala usiku wa saa nane boss wake alikuwa mnywaji hivyo alikuwa halali mpaka amfungulie geti na kuamka saa kumi na nusu kila siku.

Sikupenda Yale maisha kwa ujumla muda mwingi watoto wa boss Wanamdharau dah nilitokea kumuelewa nilimchunguza nikagundua hakuwa na ujuzi wowote japo alifaulu kwa alama nzuri kidato Cha nne. Akiwa Hana hata ujuzi wowote nilimpenda nikampeleka shule akaenda somea ujuzi.

Baada ya hapo nilimuoa na Sasa ni mke wangu.

Baada ya kuhitimu nilimfungulia biashara.

Hadi Sasa anafanya vizuri tu.

Mungu ni mkubwa

Mimi ninaendelea na kazi ile ile ya mwanzo Hadi leo hii. Ila kwenye biashara mungu ameniinua kwa kiasi nimefungua na branch hivyo mimi kwa sasa nasave 50k kwa siku na mke wangu anasave 35k kwa siku,
Kazini pia napokea mshahara kila mwezi.

Nina bustani ya mboga mboga, hoho za aina zote nauza kwenye hotel za kitalii mwenyewe,

LENGO LA KUANDIKA HUU UJUMBE
Sijaandika huu ujumbe kwa ajili ya kuwafafanulia au kuwatambia Kwa namna yoyote ile Bali kukutia moyo ewe rafiki yangu ambaye umekata tamaa kabisa pengine mshahara ni mdogo na unataka kuacha kazi kamwe jiongeze huko huko

Muombe mungu akupe mambo makuu matatu
1: Mtu sahihi wa kukushauri /mke/mume
2: Moyo usiobweteka Wala kukata tamaa
3: Sehemu sahihi ya kukuongezea kipato/biashara

Hayo yote yatafanikiwa endapo tu utakuwa ni mtu wa kushukuru japo kwa kidogo, fungu la kumi na sadaka ni jambo muhimu sana, Pia kuwa mtu wa haki kuanzia kazini unakofanya hadi nyumbani unakoishi

Ukiita Mungu Mungu ataitika muda huo huo na utaongea naye naye Mungu atakuitikia

Mungu awabariki
Humu hamna tea bila sugar kweli? Anyway Big Up.
 
Story yako haina mpangilio
Kwanza hujasema huo mji uliokwenda ni mji gani?
Hujataja biashara gani.

Umekuja kukimbilia kusema unasevu hela kiasi flani hujaeleza matumizi ni kiasi gani ( operation costs) huwezi tu ukawa unasave pesa.

Kwenye story yako uliandika unafanya kazi na biashara nilipokuhoji unawezaje kujigawa ndipo ukaja na version nyingine kwamba unakijana wa kazi.

Haujataja bidhaaa unazouza na najua huwezi kuzitaja manake ni uongo
Mwisho acha kudanganya kifala fala
So unahisi anakudanganya ili apate faida gani

Unamjua huyu jamaa wote hatumjui
. Nadhani tungejikita kwenye theme ya message ya jamaa kutokata tamaa mengine tumwachie yeye na mungu wake
 
"Nikaamua kumpeleka shule" Ada ya shule mjini si chini ya laki 5 kwa muhula, mshahara wako ni laki 1, ukijitahidi sana na biashara yako unapata laki 2, Na hapo unasema uliendelea na kazi yako na hiyo biashara unayohangaika kusave! Mbona hii chai haina tangawizi
 
Tena bado unasema ulikuwa na mfanyakazi ambaye unamlipa 🤣🤣🤣
Nilikuwa natoka kazini saa tisa kamili kila siku.

Natumia muda huo kununua mzigo na kuupeleka dukani.

Nina mfanyakazi muda wote yeye yupo dukani na Mimi Huwa baada ya kununua mzigo nampokea anapumzika anarudi saa nne kunipokea ili Mimi nikapumzike kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini kesho.

Ila Mimi napata kias kidogo.

Kuna broo yupo anasave 150,000kila iitwapo Leo na anauza vitu vya kawaida m
 
Back
Top Bottom