Kamwe! Usikate tamaa!

Kamwe! Usikate tamaa!

wewe ni wa ku puuza kwani unaeleza vitu ambavyo sio vya kiuhalisia , kadanganye wajingawajinga wenzako pumbavu mkubwa wewe.
Sasa kwa hiyo story yako ambayo hata haieleweki unafikiria utamtia moyo nani. Halafu sijui watu wengine kichwani kwenu kuna matope na sio ubongo.
Unatumia muda mwingi kuandika upumbavu ambao haueleweki halafu unasema eti unawatia moyo watu.
You are rubbish
Kama ni wakipuuzi kwann umtukane si ukae kimya???

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni wakipuuzi kwann umtukane si ukae kimya???

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mimi ninaendelea na kazi ile ile ya mwanzo Hadi leo hii. Ila kwenye biashara mungu ameniinua kwa kiasi nimefungua na branch hivyo mimi kwa sasa nasave 50k kwa siku na mke wangu anasave 35k kwa siku,
Kazini pia napokea mshahara kila mwezi.


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ninaendelea na kazi ile ile ya mwanzo Hadi leo hii. Ila kwenye biashara mungu ameniinua kwa kiasi nimefungua na branch hivyo mimi kwa sasa nasave 50k kwa siku na mke wangu anasave 35k kwa siku,
Kazini pia napokea mshahara kila mwezi.


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwahiyoo una akiba ya million mbili kwa mwezii na unafanya kazi ya mshahara wa laki au teseme laki tatu bado wafanya??bila shakaa utakua ni kiongoz kwenye taasisis furani Kuna kitu wafaidi nje ya mshahara.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Naomba usome kidogo!!!

Hii ni real siyo utani!
Mimi ni kijana wa miaka 32
Mnamo mwaka 2014 nilitoka nyumbani rasmi kuja mjini kutafuta maisha, Niliaga vizuri wazazi wangu nikawaahidi kuwa naenda mjini na nitapokelewa na rafiki yangu na ndie nitakayeishi nae.

Nilifika mjini na begi yangu ndogo iliyoandikwa "unibest". Baada ya kufika mjini mwenyeji wangu alinitelekeza stand bila kosa Wala huruma.

Nilimpigia mara kadhaa Ila hakupokea simu mwishowe ikazimwa, Nilikaa stand Hadi saa sita usiku nikiwa na matumaini labda atanipigia au kunifuata.

Muda ulienda hakutokea nikapata wazo la kutafuta rafiki yangu mwingine ambae nilisoma naye shule ya msingi akinitangulia madarasa 2 mbele. Nilimueleza kisa chote, akanipa pole na akaahidi atakuja kunichukua stend alikuwa anafanya kazi ya kuchoma nyama hivyo alikuja kunichukua saa nane usiku.

Nilifurahi na nilishukuru sana nilikaa nae kwa muda nikawa natafuta kazi kwa bidii, nilipata kazi ya mshahara mdogo sana ya 100,000 kwa mwezi sikujali, sikuangalia nimesoma au sikusoma nilipambana nayo. Nilifanya kazi mithili ya mchwa, nilitaka chochunga nisimuaribie mtu kazi kutokana na bidii yangu, "nisiwe chawa wa boss" Nilibahatika kuongezewa mshahara kidogo.

Nikafanya miezi 8 nikafungua biashara yangu ndogo nilikuwa nasave 5000 kila siku Bora nisile, baada ya muda huku nikiendelea na kazi yangu ile ile ya mwanzo biashara yangu ilizidi kupata kibali ikakua kadri siku zinavyozidi kwenda, nilifanikiwa kusave 12,000 kwa siku nikichangaya na mshahara nikawa kwa mwezi Nina kitu kama laki 5. Sikukata tamaa Wala kubweteka, niliendelea na kazi kwa bidii ile ile tena kwa nidhamu ya juu.

Nilipata dada mmoja aliyekuwa akifanya kazi za ndani Ila alikuwa akipitia manyanyaso sana alikuwa akilala usiku wa saa nane boss wake alikuwa mnywaji hivyo alikuwa halali mpaka amfungulie geti na kuamka saa kumi na nusu kila siku.

Sikupenda Yale maisha kwa ujumla muda mwingi watoto wa boss Wanamdharau dah nilitokea kumuelewa nilimchunguza nikagundua hakuwa na ujuzi wowote japo alifaulu kwa alama nzuri kidato Cha nne. Akiwa Hana hata ujuzi wowote nilimpenda nikampeleka shule akaenda somea ujuzi.

Baada ya hapo nilimuoa na Sasa ni mke wangu.

Baada ya kuhitimu nilimfungulia biashara.

Hadi Sasa anafanya vizuri tu.

Mungu ni mkubwa

Mimi ninaendelea na kazi ile ile ya mwanzo Hadi leo hii. Ila kwenye biashara mungu ameniinua kwa kiasi nimefungua na branch hivyo mimi kwa sasa nasave 50k kwa siku na mke wangu anasave 35k kwa siku,
Kazini pia napokea mshahara kila mwezi.

Nina bustani ya mboga mboga, hoho za aina zote nauza kwenye hotel za kitalii mwenyewe,

LENGO LA KUANDIKA HUU UJUMBE
Sijaandika huu ujumbe kwa ajili ya kuwafafanulia au kuwatambia Kwa namna yoyote ile Bali kukutia moyo ewe rafiki yangu ambaye umekata tamaa kabisa pengine mshahara ni mdogo na unataka kuacha kazi kamwe jiongeze huko huko

Muombe mungu akupe mambo makuu matatu
1: Mtu sahihi wa kukushauri /mke/mume
2: Moyo usiobweteka Wala kukata tamaa
3: Sehemu sahihi ya kukuongezea kipato/biashara

Hayo yote yatafanikiwa endapo tu utakuwa ni mtu wa kushukuru japo kwa kidogo, fungu la kumi na sadaka ni jambo muhimu sana, Pia kuwa mtu wa haki kuanzia kazini unakofanya hadi nyumbani unakoishi

Ukiita Mungu Mungu ataitika muda huo huo na utaongea naye naye Mungu atakuitikia

Mungu awabariki
Hii ni chai imechanganywa natangawizi
 
wewe ni wa ku puuza kwani unaeleza vitu ambavyo sio vya kiuhalisia , kadanganye wajingawajinga wenzako pumbavu mkubwa wewe.
Sasa kwa hiyo story yako ambayo hata haieleweki unafikiria utamtia moyo nani. Halafu sijui watu wengine kichwani kwenu kuna matope na sio ubongo.
Unatumia muda mwingi kuandika upumbavu ambao haueleweki halafu unasema eti unawatia moyo watu.
You are rubbish
Asante sana,
 
So unahisi anakudanganya ili apate faida gani

Unamjua huyu jamaa wote hatumjui
. Nadhani tungejikita kwenye theme ya message ya jamaa kutokata tamaa mengine tumwachie yeye na mungu wake
Anaonekana mshari
Tumuache
 
wewe ni wa ku puuza kwani unaeleza vitu ambavyo sio vya kiuhalisia , kadanganye wajingawajinga wenzako pumbavu mkubwa wewe.
Sasa kwa hiyo story yako ambayo hata haieleweki unafikiria utamtia moyo nani. Halafu sijui watu wengine kichwani kwenu kuna matope na sio ubongo.
Unatumia muda mwingi kuandika upumbavu ambao haueleweki halafu unasema eti unawatia moyo watu.
You are rubbish
Kuna chochote utapungukiwa ikiwa utapita na Imani yako? Unaonekana una kasirika bila sababu
Kwan umelazimishwa kuamini!?
We ni kiongozi wa familia kweli?
 
"Nikaamua kumpeleka shule" Ada ya shule mjini si chini ya laki 5 kwa muhula, mshahara wako ni laki 1, ukijitahidi sana na biashara yako unapata laki 2, Na hapo unasema uliendelea na kazi yako na hiyo biashara unayohangaika kusave! Mbona hii chai haina tangawizi
Fundi chetehani
Ususi
Urembo
Cherehan
Upishi
Hivi vyote
Ada yake haizidi laki 3 kwa kozi nzima
 
Kwahiyoo una akiba ya million mbili kwa mwezii na unafanya kazi ya mshahara wa laki au teseme laki tatu bado wafanya??bila shakaa utakua ni kiongoz kwenye taasisis furani Kuna kitu wafaidi nje ya mshahara.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu Mimi Sina maslahi mengine Ila tu Nina eshimiana na bosi na naheshimu nilikotoka kazi yangu
Ni kweli silipwi tena hicho kiasi kwa kuwa nimefanya kazi mda mrefu Sasa nachopewa ni mshahara wa 4.7k Ila ni a service charge kila tarehe 15 ya kila mwezi ya makadirio ya 120k-149k na nauli ya 3000 kila siku
Ni hayo tu
 
Acha uongo yaani uingize 50000 uendelee kufanya kazi kwa mtu labda serikalini ukiwa unasubili kiinua mgongo
 
Uvumilivu na amani ya moyo ndiyo nguzo , keep it up-kila la kheri brother.
 
Acha uongo yaani uingize 50000 uendelee kufanya kazi kwa mtu labda serikalini ukiwa unasubili kiinua mgongo
Hata nikiwa naingiza 200k kwa siku naweza kuendelea kufanya kazi
Hiyo kiinua mgongo hata Mimi nakuja tegemea kwa kuwa ninakatwa kila mwezi 47000 na boss ananiweke47000=94000 kila mwezi
Kwa hiyo inategemea kama nimeweza kufikia hapa nikiwa na kazi siini sababu ya kuacha kazi labda nikiongeza but ashara ya aina nyingine itakayohitaji uwepo wangu kwa asilimia kubwa, lengo kabla nifike miaka 40 niwe na uwezekano wa kutengeneza 300k kwa siku
 
Back
Top Bottom